Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uhusiano

  • Maulamaa wa Bahrain walaani uhusiano wa nchi yao na Israel

    Maulamaa wa Bahrain walaani uhusiano wa nchi yao na Israel

    Dec 26, 2016 03:44

    Maulamaa nchini Bahrain wamelaani juhudi za utawala wa nchi hiyo za kuweka uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ufaransa kushirikiana na nchi za Afrika katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Ufaransa kushirikiana na nchi za Afrika katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Nov 23, 2016 00:48

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Bernard Cazeneuve amesema nchi yake itapanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika kupambana na ugaidi.

  • Hamas yakadhibisha madai ya kuwepo mgogoro katika uhusiano wake na Iran

    Hamas yakadhibisha madai ya kuwepo mgogoro katika uhusiano wake na Iran

    Nov 17, 2016 12:29

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekadhibisha madai ya kuwepo mgogoro katika uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Larijani: Uhusiano wa Iran na Russia unaridhisha mno

    Larijani: Uhusiano wa Iran na Russia unaridhisha mno

    Nov 14, 2016 04:29

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema uhusiano wa pande mbili kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Russia ni wa kuridhisha mno.

  • Maafisa wa Israel wafanya ziara ya siri huko Imarati

    Maafisa wa Israel wafanya ziara ya siri huko Imarati

    Nov 05, 2016 00:05

    Licha ya Umoja wa Falme za Kiarabu kutokuwa na uhusiano wa kidiplomasia wala kutoutambua utawala haramu wa Israel, lakini maafisa wa ngazi za juu wa utawala huo wa Kizayuni wamefanya safari ya siri mjini Dubai.

  • Rouhani: EU yawania kurejesha uhusiano na Iran baada ya JCPOA

    Rouhani: EU yawania kurejesha uhusiano na Iran baada ya JCPOA

    Oct 26, 2016 11:38

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Umoja wa Ulaya zipo mbioni kurejesha na kuimarisha uhusiano wao na Tehran, tokea yafikiwe mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Mbunge: Uwezekano wa Misri kukata uhusiano na Saudia ni mkubwa

    Mbunge: Uwezekano wa Misri kukata uhusiano na Saudia ni mkubwa

    Oct 15, 2016 04:50

    Mbunge mmoja nchini Misri ameonya kuwa uwezekano wa Cairo kukata uhusiano wake na Saudi Arabia ni mkubwa sana na kusisitiza kuwa iwapo nchi mbili hizo zitakata uhusiano wao, itakuwa ni kwa manufaa na maslahi ya Ulimwengu wa Kiarabu.

  • Hamu ya Hamas ya kuimarisha uhusiano na Iran

    Hamu ya Hamas ya kuimarisha uhusiano na Iran

    Oct 06, 2016 04:15

    Mmoja wa viongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa harakati hiyo ina hamu ya kuimarisha uhusiano kati yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran yapania kuimarisha uhusiano na nchi za bara Asia

    Iran yapania kuimarisha uhusiano na nchi za bara Asia

    Jul 30, 2016 03:47

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza juu ya umuhimu wa kuimarisha uhusiano wake na nchi za bara Asia.

  • Uganda: Hatubabaishwi na matamshi ya vitisho ya Marekani

    Uganda: Hatubabaishwi na matamshi ya vitisho ya Marekani

    Jul 24, 2016 03:37

    Katika kile kinaachoonekana ni kuzidi kuingia doa uhusiano wa Uganda na Marekani, Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki amesema serikali ya Kampala haibabaishwi na matamshi ya vitisho yaliyotolewa hivi karibuni na Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS