Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulimwengu wa Michezo

  • Kombe la Dunia U17; Ujerumani bingwa

    Kombe la Dunia U17; Ujerumani bingwa

    Dec 03, 2023 07:29

    Kwa mara ya kwanza, Ujerumani imetwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa vijana wa kiume wenye chini ya umri wa miaka 17.

  • Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini mabingwa wa Ligi ya Soka ya Afrika

    Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini mabingwa wa Ligi ya Soka ya Afrika

    Nov 13, 2023 02:47

    Klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini imetwaa ubingwa wa Kombe la Ligi ya Kandanda ya Afrika baada ya kuicharaza Wydad Casablanca jumla wa mabao 3-2 kwenye fainali ya mkondo wa pili iliyopigwa Jumapili hii ya Novemba 12.

  • Persepolis yapoteza mechi yake ya kwanza Ligi ya Klabu Bingwa Asia

    Persepolis yapoteza mechi yake ya kwanza Ligi ya Klabu Bingwa Asia

    Sep 20, 2023 10:38

    Mechi za raundi ya 1 ya Ligi ya Klabu Bingwa barani Asia zilifanyika jana Jumanne.

  • Iran yaitandika Angola 4-0 katika Fifa Day

    Iran yaitandika Angola 4-0 katika Fifa Day

    Sep 13, 2023 00:46

    Timu ya taifa ya soka ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitandika timu ya soka ya taifa ya Angola mabao 4 kwa sifuri katika mechi ya kirafiki iliyochezwa katika dimba la Azadi mjini Tehran.

  • Mabinti wa Iran watwaa ubingwa wa Asia wa mchezo wa Taekwondo

    Mabinti wa Iran watwaa ubingwa wa Asia wa mchezo wa Taekwondo

    Sep 05, 2023 03:30

    Duru ya 12 ya Mashindano ya Vijana ya Taekwondo nchini Lebanon ilimalizika Jumatatu kwa timu ya mabinti ya Iran kutwaa taji la ubingwa wa Asia.

  • Arsenal yaigaragaza Manchester United 3-1

    Arsenal yaigaragaza Manchester United 3-1

    Sep 04, 2023 01:15

    Timu ya soka ya Arsenal ya Uingereza jana iliendeleza matokeo mazuri ya msimu huu wa Ligi Kuu ya EPL baada ya kuwatandika watani wao wa jadi Manchester United mabao 3 kwa moja la kufutia machozi.

  • Mwanasoka wa kwanza aliyevalia Hijabu ashiriki katika Kombe la Dunia la Wanawake

    Mwanasoka wa kwanza aliyevalia Hijabu ashiriki katika Kombe la Dunia la Wanawake

    Jul 25, 2023 05:24

    Nouhaila Benzina amekua mwanasoka wa kwanza wa kike aliyevalia Hijabu kushiriki katika Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake alipocheza mechi ya kwanza ya timu ya Morocco dhidi ya Ujerumani.

  • Ufaransa yapiga marufuku hijabu katika mashindano ya soka

    Ufaransa yapiga marufuku hijabu katika mashindano ya soka

    Jun 30, 2023 04:09

    Mahakama Kuu ya Utawala nchini Ufaransa imetoa kibali kwa Shirikisho la Soka la nchi hiyo cha kupiga marufuku vazi la hijabu katika mashindano ya soka ya wanawake.

  • Al-Ahly ya Misri wafalme wa soka barani Afrika 2023

    Al-Ahly ya Misri wafalme wa soka barani Afrika 2023

    Jun 12, 2023 04:50

    Klabu ya Al-Ahly ya Misri imetwaa ubingwa wa Ligi ya Klabu Bingwa Barani Afrika. Mafarao hao wa Misri wametwaa kombe hilo la kibara, licha ya mchuano wa fainali kumalizika kwa sare ya bao 1-1.

  • Fedheha ya ubaguzi wa rangi katika mchezo wa soka barani Ulaya

    Fedheha ya ubaguzi wa rangi katika mchezo wa soka barani Ulaya

    May 25, 2023 22:18

    Ubaguzi wa rangi ni silaha ya tangu na tangu, ambayo siku hizi, na licha ya kauli mbiu zote za kuwepo usawa baina ya watu wote na haki za binadamu kwa wote, ingali inatumiwa katika Ulimwengu wa Magharibi dhidi ya watu weusi na wasio Wazungu. Siku hizi katika nchi za Magharibi, watu wa rangi zingine hasa weusi, hawana hadhi sawa na weupe, licha ya wanavyojituma na michango mingi mno wanayotoa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS