-
Iran yaikosoa Magharibi kwa uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi
Aug 06, 2016 03:25Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa hatua ya nchi za Magharibi ya kuipaka matope Jamhuri ya Kiislamu kwa hatua yake ya kutekeleza hukumu ya kifo dhidi ya magaidi hapa nchini.
-
UN: Maafisa usalama Sudan Kusini wameua na kubaka
Aug 04, 2016 10:37Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Sudan Kusini kuwachukulia hatua za kisheria maafisa usalama walioua raia na kunajisi wanawake na mabinti wadogo katika machafuko ya mwezi uliopita katika mji mkuu Juba.
-
Wanafunzi Waislamu Ulaya walaani mauaji ya watoto Yemen
Aug 03, 2016 02:55Muungano wa vyama vya wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya umemuandikia barua Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ukitaka hatua za makusudi zichukuliwe kukomesha mauaji ya raia wasio na hatia na hususan watoto wadogo nchini Yemen.
-
Sudan Kusini kuzishawishi UN na IGAD zikubali mabadiliko ya uongozi
Jul 31, 2016 11:49Serikali ya umoja wa kitaifa ya Sudan Kusini imemteua Makamu mpya wa Rais aliyechukua nafasi ya Riek Machar kuufafanulia Umoja wa Mataifa sababu za kufanyika mabadiliko ya uongozi ndani ya chama cha upinzani cha SPLM-IO.
-
UN yaafiki kutumwa askari polisi nchini Burundi
Jul 30, 2016 03:43Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha pendekezo la Ufaransa la kutumwa askari polisi zaidi ya 200 wa umoja huo nchini Burundi kwa lengo la kuhitimisha machafuko ya zaidi ya mwaka mmoja nchini humo.
-
Mashirika ya misaada Sudan Kusini yaitaka UN kuwasaidi walioathiriwa na vita
Jul 29, 2016 22:09Mashirika ya misaada ya kibinadamu yanayohudumu Sudan Kusini yameutaka Umoja wa Mataifa uandae uwanja mzuri wa kuwasaidia raia walioathiriwa na vita vya ndani nchini humo.
-
UN yatoa wito wa kupambana na Boko Haram
Jul 29, 2016 12:08Afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameitolea wito kwa jamii ya kimataifa kuunga mkono pakubwa mapambano dhidi ya kundi la Boko Haram.
-
UN: Wakenya 42,000 walikuwa wakimbizi 'bandia' Dadaab
Jul 27, 2016 03:24Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa, Wakenya 42,000 wamekuwa wakijifanya wakimbizi katika kambi ya Dadaab kwa shabaha ya kufaidika na misaada ya kibinadamu.
-
UN: Mzunguko wa pesa haramu watishia uchumi wa Afrika
Jul 26, 2016 22:12Kamisheni ya Uchumi wa Afrika ya Umoja wa Mataifa (UNECA) imetahadharisha kuwa, mzunguko wa pesa haramu katika akthari ya nchi za Afrika unatishia ukuaji wa uchumi wa bara hilo.
-
Radiamali ya UN kwa vitendo vya kichokozi na kujitanua vya Israel
Jul 26, 2016 03:23Umoja wa Mataifa na viongozi wa Palestina wamelaani vikali mipango ya Israel ya kupanua ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.