Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa shambulizi la Munich, Ujerumani

    Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa shambulizi la Munich, Ujerumani

    Jul 23, 2016 02:27

    Umoja wa Mataifa umelaani shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea katika jumba la biashara katika mji wa Munich nchini Ujerumani.

  • UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa kuondoa majeshi yao Sudan Kusini

    UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa kuondoa majeshi yao Sudan Kusini

    Jul 21, 2016 01:12

    Umoja wa Mataifa umezikosoa nchi tatu za Ulaya kwa kuondoa askari wao katika nchi iliyotumbukia tena katika mapigano ya ndani ya Sudan Kusini.

  •  MONUSCO: Uganda na Congo zishirikiane kuwamaliza waasi

    MONUSCO: Uganda na Congo zishirikiane kuwamaliza waasi

    Jul 19, 2016 03:10

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (MONUSCO) umetoa wito wa kufanyika mashambulizi ya pamoja ya nchi za Uganda na Congo dhidi ya waasi The Allied Democratic Forces (ADF) wanaodhaniwa kufanya mauaji ya raia huko mashariki mwa Congo.

  • Marekani yakiri, Iran imetekeleza JCPOA

    Marekani yakiri, Iran imetekeleza JCPOA

    Jul 19, 2016 03:09

    Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amekiri kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hadi sasa imetekeleza vipengee vyote vya makubaliano ya nyuklia maaufu kwa kifupi JCPOA.

  • Mustafa Ali: UN inabeba dhima ya masaibu yanayowapata watoto Yemen

    Mustafa Ali: UN inabeba dhima ya masaibu yanayowapata watoto Yemen

    Jul 18, 2016 09:47

    Mkuu wa Jumuiya ya Watoto nchini Yemen amesema kuwa, Umoja wa Mataifa, Baraza la Usalama la umoja huo na asasi za kimataifa zinabeba dhima ya hali mbaya ya kibinadamu nchini Yemen hususan masaibu yanayowapata watoto wa nchi hiyo.

  • Mkutano wa UNCTAD wafunguliwa Nairobi, Kenya

    Mkutano wa UNCTAD wafunguliwa Nairobi, Kenya

    Jul 18, 2016 00:33

    Mkutano wa 14 Umoja wa Mataifa wa Biashara na Maendeleo (UNCTAD) uliofunguliwa jana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya mjini Nairobi umeanza kwa kutolewa wito wa kuwepo ushirikiano zaidi kati ya nchi za dunia.

  • Wapalestina washiriki mkutano wa ustawi wa biashara wa mjini Nairobi

    Wapalestina washiriki mkutano wa ustawi wa biashara wa mjini Nairobi

    Jul 17, 2016 11:23

    Duru za Palestina zimetangaza kuwa, ujumbe wa kiuchumi wa Wapalestina unashiriki katika Mkutano wa 14 wa Biashara na Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNCTAD) unaofanyika mjini Nairobi Kenya.

  • UN yataka kuanza mazungumzo ya kitaifa Kongo

    UN yataka kuanza mazungumzo ya kitaifa Kongo

    Jul 16, 2016 00:05

    Mkuu wa kikosi cha kimataifa cha kulinda amani katika Jamhuri yqa Kidemokrasia ya Kongo ametilia mkazo udharura wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa kwa ajili ya kuzuia kushadidi mgogoro nchini humo.

  • Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan Kusini

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan Kusini

    Jul 11, 2016 08:28

    Wanachama 15 wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wametoa taarifa wakitaka kuhitimishwa mapigano katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba.

  •  Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na mapigano yanayoendelea Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na mapigano yanayoendelea Sudan Kusini

    Jul 09, 2016 11:31

    Mapigano yaliyoshtadi katika siku kadhaa zilizopita huko Sudan Kusini yamemfanya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kueleza wasiwasi wake kutokana na machafuko yanayoendelea huko Juba mji mkuu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS