Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uvunjaji wa haki za binadamu

  • HRW yaitaka Misri ichunguze mauaji ya mamia ya watu 2013

    HRW yaitaka Misri ichunguze mauaji ya mamia ya watu 2013

    Aug 15, 2016 03:36

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelitaka bunge la Misri lianzishe uchunguzi huru na usioegemea upande wowote juu ya mauaji ya mamia ya waandamanaji mnamo Julai mwaka 2013.

  • Haki za binadamu, fimbo ya siasa za nje za madola ya mabeberu

    Haki za binadamu, fimbo ya siasa za nje za madola ya mabeberu

    Jul 14, 2016 23:41

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, haki za binadamu zinatumiwa kama fimbo ya siasa za nje ya madola ya kibeberu na kwamba Umoja wa Mataifa umeshindwa kukabiliana na mashinikizo ya madola hayo.

  • Umoja wa Mataifa wasikitishwa na uvunjaji wa haki za binadamu DRC

    Umoja wa Mataifa wasikitishwa na uvunjaji wa haki za binadamu DRC

    Jul 14, 2016 11:20

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa imeelezea kusikitishwa kwake na kuendelea vitendo vya uvunjanji wa haki za binadamu nchini Kongo na kusema kuwa, zaidi ya kesi elfu mbili za uvunjaji wa haki za binadamu zimeripotiwa nchini humo katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu.

  • IHRC yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mateso ya Waislamu wa Myanmar

    IHRC yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mateso ya Waislamu wa Myanmar

    Jul 08, 2016 03:28

    Kamisheni ya Kiislamu ya Haki za Binadamu yenye makao yake London nchini Uingereza (IHRC) imesema kuwa kutokuwepo mashinikizo ya kimataifa ndiyo sababu ya kuendelea mateso na ukandamiza wa mabudha wenye misimamo mikali dhidi ya Waislamu nchini Myanmar.

  • Seikali ya Burundi yatuhumiwa kuwatesa wapinzani

    Seikali ya Burundi yatuhumiwa kuwatesa wapinzani

    Jul 08, 2016 03:00

    Serikali ya Burundi kwa mara nyingine tena imetuhumiwa kwamba inawatesa wapinzani wake.

  • Amnesty yataka kusitishwa uanachama wa Saudia katika Baraza la Haki Binadamu

    Amnesty yataka kusitishwa uanachama wa Saudia katika Baraza la Haki Binadamu

    Jul 02, 2016 03:31

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International kwa mara nyingine tena limetoa wito wa kusimamishwa uanachama wa Saudi Arabia katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.

  • Nchi kadhaa za Ulaya zapinga vitendo vya kunyongwa wapinzani Saudia

    Nchi kadhaa za Ulaya zapinga vitendo vya kunyongwa wapinzani Saudia

    Jun 27, 2016 00:00

    Wawakilishi wa nchi za Ufaransa na Ireland katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa wamesema kuwa idadi ya watu walionyongwa nchini Saudi Arabia katika mwaka uliopita wa 2015 ni maafa makubwa.

  • Wanaharakati wataka kukomeshwa ukiukwaji wa haki za binadamu Burundi

    Wanaharakati wataka kukomeshwa ukiukwaji wa haki za binadamu Burundi

    Jun 25, 2016 23:42

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ishughulikie ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Burundi.

  • Ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu waripotiwa Kongo

    Ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu waripotiwa Kongo

    Jun 23, 2016 11:23

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Malkia wa Uingereza akosolewa kwa kushirikiana na Mfalme wa Bahrain

    Malkia wa Uingereza akosolewa kwa kushirikiana na Mfalme wa Bahrain

    May 19, 2016 03:33

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Amnesty International na Human Rights Watch yamemjia juu Malkia Elizabeth II wa Uingereza kwa kumualika Mfalme wa Bahrain Hamad bin Isa Al-Khalifa katika sherehe za kuadhimisha miaka 90 ya kuzaliwa kwake, licha ya kufahamu dhulma na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Manama dhidi ya wananchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS