-
MDC: Tsvangirai atawania urais 2018 licha ya hali yake ya afya
Dec 02, 2016 07:12Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe MDC kimesema kiko imara licha ya kuugua kiongozi wake Morgan Tsvangirai.
-
Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani
Nov 24, 2016 13:36Serikali ya Sudan imewakamata viongozi wanne mashuhuri wa upinzani nchini humo akiwemo mwanasiasa mkongwe Sadiq Youssef.
-
Polisi Kongo DR wazima maandamano ya wapinzani Kinshasa
Nov 06, 2016 07:34Maafisa wa polisi wa kupambana na ghasia wametumia mabomu ya kutoa machozi kuzima maandamano ya wapinzani katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.
-
Upinzani: Matokeo ya kura ya maoni Kodivaa ni bandia
Nov 02, 2016 14:23Wapinzani nchini Ivory Coast wamepuuzilia mbali matokeo ya kura ya maoni ya kupitisha au kukataa katiba mpya ya nchi na kusema kuwa matokeo hayo ni bandia na ambayo hayaakisi sauti ya wananchi walio wengi.
-
Wapinzani Mauritania wataka kufanya mazungumzo na serikali
Oct 27, 2016 13:55Baadhi ya wapinzani nchini Mauritania wametaka kufanya mazungumzo mapya na serikali.
-
Ethiopia yapitisha sheria kali zaidi za hali ya hatari
Oct 17, 2016 14:19Wizara ya Ulinzi ya Ethiopia imetangaza habari ya kuanzisha sheria kali zaidi za hali ya hatari nchini humo.
-
Wapinzani Nigeria wataka marekebisho ya Katiba
Oct 16, 2016 02:39Vyama vya upinzani nchini Nigeria vimetaka kufanyike mabadiliko ya sheria za chaguzi za miji katika katiba ya nchi hiyo.
-
Wapinzani Kongo watakiwa kujongea kwenye meza ya mazungumzo ya kitaifa
Oct 15, 2016 12:42Jumuiya ya Ustawi ya Kusini mwa Afrika (SADC) imewatolea wito wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa.
-
Wapinzani Kongo DR watakiwa kujongea kwenye mazungumzo
Oct 15, 2016 03:58Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imewataka wapinzani wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa ya nchi hiyo.
-
Wapinzani wakusanyika Kisangani wakitaka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa
Oct 10, 2016 14:14Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekusanyika katika mji wa Kisangani nchini humo wakitaka kuachiwa huru wanaharakati wa kisiasa wanaoipinga serikali.