Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • MDC: Tsvangirai atawania urais 2018 licha ya hali yake ya afya

    MDC: Tsvangirai atawania urais 2018 licha ya hali yake ya afya

    Dec 02, 2016 07:12

    Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe MDC kimesema kiko imara licha ya kuugua kiongozi wake Morgan Tsvangirai.

  • Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani

    Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani

    Nov 24, 2016 13:36

    Serikali ya Sudan imewakamata viongozi wanne mashuhuri wa upinzani nchini humo akiwemo mwanasiasa mkongwe Sadiq Youssef.

  • Polisi Kongo DR wazima maandamano ya wapinzani Kinshasa

    Polisi Kongo DR wazima maandamano ya wapinzani Kinshasa

    Nov 06, 2016 07:34

    Maafisa wa polisi wa kupambana na ghasia wametumia mabomu ya kutoa machozi kuzima maandamano ya wapinzani katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.

  • Upinzani: Matokeo ya kura ya maoni Kodivaa ni bandia

    Upinzani: Matokeo ya kura ya maoni Kodivaa ni bandia

    Nov 02, 2016 14:23

    Wapinzani nchini Ivory Coast wamepuuzilia mbali matokeo ya kura ya maoni ya kupitisha au kukataa katiba mpya ya nchi na kusema kuwa matokeo hayo ni bandia na ambayo hayaakisi sauti ya wananchi walio wengi.

  • Wapinzani Mauritania wataka kufanya mazungumzo na serikali

    Wapinzani Mauritania wataka kufanya mazungumzo na serikali

    Oct 27, 2016 13:55

    Baadhi ya wapinzani nchini Mauritania wametaka kufanya mazungumzo mapya na serikali.

  • Ethiopia yapitisha sheria kali zaidi za hali ya hatari

    Ethiopia yapitisha sheria kali zaidi za hali ya hatari

    Oct 17, 2016 14:19

    Wizara ya Ulinzi ya Ethiopia imetangaza habari ya kuanzisha sheria kali zaidi za hali ya hatari nchini humo.

  • Wapinzani Nigeria wataka marekebisho ya Katiba

    Wapinzani Nigeria wataka marekebisho ya Katiba

    Oct 16, 2016 02:39

    Vyama vya upinzani nchini Nigeria vimetaka kufanyike mabadiliko ya sheria za chaguzi za miji katika katiba ya nchi hiyo.

  • Wapinzani Kongo watakiwa kujongea kwenye meza ya mazungumzo ya kitaifa

    Wapinzani Kongo watakiwa kujongea kwenye meza ya mazungumzo ya kitaifa

    Oct 15, 2016 12:42

    Jumuiya ya Ustawi ya Kusini mwa Afrika (SADC) imewatolea wito wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa.

  • Wapinzani Kongo DR watakiwa kujongea kwenye mazungumzo

    Wapinzani Kongo DR watakiwa kujongea kwenye mazungumzo

    Oct 15, 2016 03:58

    Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imewataka wapinzani wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa ya nchi hiyo.

  • Wapinzani wakusanyika  Kisangani wakitaka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa

    Wapinzani wakusanyika Kisangani wakitaka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa

    Oct 10, 2016 14:14

    Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekusanyika katika mji wa Kisangani nchini humo wakitaka kuachiwa huru wanaharakati wa kisiasa wanaoipinga serikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS