Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • Kuendelea malalamiko na maandamano ya wananchi nchini Ethiopia

    Kuendelea malalamiko na maandamano ya wananchi nchini Ethiopia

    Oct 08, 2016 12:46

    Malalamiko ya wananchi na maandamano ya wapinzani wa kisiasa wa serikali ya sasa ya Ethiopia yangali yanaendelea.

  • Hatima ya Mugabe kutolewa madarakani na mahakama ya katiba Zimbabwe

    Hatima ya Mugabe kutolewa madarakani na mahakama ya katiba Zimbabwe

    Oct 08, 2016 14:05

    Hatima ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu ijinyakulie uhuru sasa ipo mikononi mwa mahakama ya katiba ya nchi hiyo.

  • Wapinzani Kongo DR wasusia mazungumzo ya kitaifa

    Wapinzani Kongo DR wasusia mazungumzo ya kitaifa

    Sep 24, 2016 04:36

    Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesusia kushiriki kikao cha mazungumzo ya kitaifa.

  • Mkuu wa upinzani Gabon ataka kufanyika mgomo wa nchi nzima

    Mkuu wa upinzani Gabon ataka kufanyika mgomo wa nchi nzima

    Sep 05, 2016 13:59

    Jean Ping kiongozi wa upinzani nchini Gabon leo ametoa wito wa kufanyika mgomo wa nchi nzima dhidi ya kile alichokiita kuwa ushindi wa kuingia tena madarakani kwa udanganyifu kwa Ali Bongo.

  • Wapinzani Gabon waomba msaada wa kimataifa

    Wapinzani Gabon waomba msaada wa kimataifa

    Sep 01, 2016 15:48

    Kiongozi wa upinzani Gabon huko katikati mwa Afrika ameomba msaada wa kimataifa ili kusaidia kuwalinda raia nchini humo kufuatia shambulio lililofanywa na vikosi vya serikali kwenye makao makuu ya wapinzani huko Libreville mji mkuu wa nchi hiyo, baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa Rais yaliyopingwa na wapinzani.

  • Rais wa Zambia ataka wapinzani waache fujo

    Rais wa Zambia ataka wapinzani waache fujo

    Aug 24, 2016 15:22

    Rais mteule wa Zambia, Edgar Lungu amewataka wapinzani wa nchi hiyo waache vitendo vya fujo na watumie njia za amani kuelezea malalamiko yao.

  • Kutangazwa muda wa kujiuzulu Rais Omar al Bashir wa Sudan

    Kutangazwa muda wa kujiuzulu Rais Omar al Bashir wa Sudan

    Aug 22, 2016 08:02

    Rais Omar al Bashir wa Sudan ametangaza kuwa, ana nia ya kuachia madaraka ifikapo mwaka 2020. Amesema atalazimika kuachana na siasa kwani katiba ya Sudan haitomruhusu kubakia madarakani.

  • 133 wakamatwa na polisi Zambia kwa kupinga ushindi wa Rais Lungu

    133 wakamatwa na polisi Zambia kwa kupinga ushindi wa Rais Lungu

    Aug 16, 2016 15:21

    Polisi nchini Zambia imewatia mbaroni makumi ya wafuasi wa upinzani wanaopinga ushindi wa Rais Edgar Lungu katika uchaguzi wa rais uliofanyika Alkhamisi iliyopita.

  • Mkutano mkubwa wa wapinzani wa serikali ya Zimbabwe katika mji mkuu Harare

    Mkutano mkubwa wa wapinzani wa serikali ya Zimbabwe katika mji mkuu Harare

    Aug 16, 2016 03:46

    Viongozi wa mrengo wa upinzani unaoipinga serikali ya Zimbabwe wamekusanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare na kufanya mkutano mkubwa uliowajumuisha wafuasi wa vyama vya upinzani.

  • Upinzani Ethiopia: Serikali iache kuua na kukandamiza waandamanaji

    Upinzani Ethiopia: Serikali iache kuua na kukandamiza waandamanaji

    Aug 14, 2016 06:53

    Vyama vya upinzani nchini Ethiopia vimevunja kimya chao na kuitaka serikali ya nchi hiyo kukomesha mauaji na ukandamizaji dhidi ya waandamanaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS