-
Kushadidi hatua za wapinzani wa kisiasa Kongo dhidi ya serikali
Aug 14, 2016 03:05Hatua za kupinga serikali za wapinzani wa kisiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimepamba moto tangu kurejea nchini mwanasiasa mkongwe ambaye pia ni kiongozi wa upinzani nchini humo mzee Etienne Tshisekedi.
-
Besigye amtaka Mkuu wa Polisi Uganda ajiuzulu
Aug 11, 2016 14:30Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Dakta Kizza Besigye amemtaka Mkuu wa Polisi nchini humo ajiuzulu mara moja, kufuatia kesi ya jinai inayomkabili.
-
Upinzani Zambia: Uchaguzi mkuu hautakuwa huru na wa haki
Aug 08, 2016 03:01Kinara wa upinzani nchini Zambia ameituhumu serikali ya nchi hiyo kuwa inatumia sheria kandamizi ili kuwawekea mbinyo wapinzani na kuzuia kampeni zao, na kusisitiza kuwa uchaguzi mkuu wa Alkhamisi ijayo hautakuwa huru na wa haki.
-
Katumbi: Uchaguzi Kongo DR unapasa kufanyika kama ilivyopangwa
Aug 03, 2016 02:24Kiongozi wa upinzani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye sasa yupo uhamisoni amesema uchaguzi wa Rais nchini humo ni lazima ufanyike katika muda ulioainishwa.
-
Waziri: Makubaliano ya amani Sudan Kusini yamevunjika
Aug 02, 2016 07:24Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan Kusini umechukua mwelekea mpya baada ya Waziri wa Kilimo wa nchi hiyo kutoka upande wa upinzani kujiuzulu na kusisitiza kuwa makubaliaono ya amani yaliyosainiwa na pande mbili yamevunjika.
-
Rais wa Gabon awatahadharisha wapinzani wake
Aug 01, 2016 07:29Rais wa Gabon amewatahasharisha wapinzani wa serikali yake kuhusu kuzusha machafuko wakati wa uchaguzi.
-
Bahrain yavunja chama cha Kiislamu cha al-Wefaq
Jul 17, 2016 15:54Mahakama moja nchini Bahrain imekivunja chama kikuu cha upinzani nchini humo cha al-Wefaq, mwezi mmoja baada ya serikali ya Manama kusimamisha shughuli za chama hicho.
-
Mkuu wa upinzani DRC apuuza waranti ya kukamatwa dhidi yake
Jul 05, 2016 13:22Moise Katumbi, kinara wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepuuzilia mbali waranti ya kukamatwa iliyotolewa dhidi yake na serikali ya nchi hiyo na kusema kuwa atarejea nchini karibuni hivi kwa ajili ya kuwania urais.
-
Serikali na wapinzani wakabana koo Madagascar
Jun 27, 2016 16:03Serikali ya Madagascar na wapinzani wake wanatuhumiana kuhusika na mlipuko uliotokea katika mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Mkuu wa upinzani Kongo DR ahukumiwa miaka 3 jela
Jun 23, 2016 07:54Mahakama moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemhukumu miaka mitatu jela, kinara wa upinzani nchini humo ambaye pia ni mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu ujao, Moise Katumbi, aliyekuwa anakabiliwa na tuhuma za mauzo ya nyumba kinyume cha sheria.