Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Iran na Zimbabwe zajadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    Iran na Zimbabwe zajadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    May 17, 2017 09:27

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimejadili njia mbalimbali za kukuza na kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi baina ya nchi mbili hizo.

  • Uislamu unaenea kwa kasi nchini Zimbabwe

    Uislamu unaenea kwa kasi nchini Zimbabwe

    May 15, 2017 23:34

    Uislamu unaenea kwa kasi nchini Zimbabwe huku wakaazi wengi wa nchi hiyo wakiwa sasa wanafahamu na kukubali mafundisho ya dini hiyo tukufu.

  • Iran kufungua kampuni ya kutengeneza trekta nchini Zimbabwe

    Iran kufungua kampuni ya kutengeneza trekta nchini Zimbabwe

    May 14, 2017 02:48

    Balozi wa Iran mjini Harare amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuanzisha kampuni ya kutengeneza tingatinga nchini Zimbabwe.

  • Jumapili 7 Mei

    Jumapili 7 Mei

    May 06, 2017 22:07

    Leo ni Jumapili tarehe 10 Sha'aban 1438 Hijria, sawa na tarehe 7 Mei 2017.

  • Viongozi wa upinzani Zimbabwe kuungana ili kupambana na Rais Mugabe katika uchaguzi wa 2018

    Viongozi wa upinzani Zimbabwe kuungana ili kupambana na Rais Mugabe katika uchaguzi wa 2018

    Apr 20, 2017 02:35

    Wapinzani wawili wakuu wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe wamesema wameamua kuungana ili kuhakikisha kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 93 haendelei kubaki tena madarakani kwa muhula mwengine wa miaka mitano.

  • Jumanne, 18 Aprili, 2017

    Jumanne, 18 Aprili, 2017

    Apr 18, 2017 02:28

    Leo ni Jumanne tarehe 20 Rajab 1438 Hijria sawa na Aprili 18, 2017

  • Makumi ya watu waaga dunia kwa malaria Zimbabwe

    Makumi ya watu waaga dunia kwa malaria Zimbabwe

    Mar 27, 2017 23:24

    Wizara ya Afya ya Zimbabwe imetangaza kuwa watu wasiopungua 150 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa malaria nchini Zimbabwe katika muda wa miezi miwili iliyopita.

  • Wapinzani waandamana Zimbabwe, wadai kuna njama za kuiba kura

    Wapinzani waandamana Zimbabwe, wadai kuna njama za kuiba kura

    Mar 22, 2017 11:12

    Maelfu ya wafuasi wa vyama vya upinzani nchini Zimbabwe wameshiriki maandamano katika mji mkuu Harare, kulalamikia kile wanachodai kuwa ni njama ya kuiba kura katika uchaguzi ujao wa rais.

  • Iran na Zimbabwe kuendeleza ushirikiano wa kibiashara

    Iran na Zimbabwe kuendeleza ushirikiano wa kibiashara

    Mar 15, 2017 13:04

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji mkuu wa Zimbabwe, Harare, ameonana na mkuu mtendaji wa taasisi ya ustawi wa kibiashara ya nchi hiyo na pande mbili zimesisitizia haja ya kuimarishwa ushirikiano wa kiuchumi baina yao.

  • Iran na Zimbabwe kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    Iran na Zimbabwe kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

    Mar 03, 2017 04:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimesisitiza juu ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika uga wa uchumi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS