-
DRC: Hukumu ya kesi ya Rais wa zamani Joseph Kabila kutolewa leo Ijumaa
Sep 18, 2025 23:07Katika hali ya kushangaza, Mahakama Kuu ya Kijeshi mjini Kinshasa imepanga Ijumaa ya leo kuwa siku ya kutoa uamuzi wake wa kesi ya kihistoria ya uhalifu wa kivita inayomkabili Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila licha ya mahakama hiyo kuchelewa kuwapa waendesha mashtaka muda wa kuwasilisha ushahidi mpya ambao unaweza kumhusisha na madai ya kulifadhili kundi la waasi la M23.
-
UNHCR: Karibu wakimbizi 61 wa Sudan wamefariki dunia katika ajali ya boti Libya
Sep 18, 2025 03:53Boti iliyokuwa ikiwasafirisha wahamiaji 74 ilipatwa na maafa katika pwani ya Libya, na kusababisha vifo vya wahamiaji 61. Taarifa hii imetolewa na Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa( UNHCR).
-
CEDAW: Nigeria ina dhima ya ukiukaji mkubwa na wa kimfumo wa haki za wanawake waliotekwa nyara
Sep 18, 2025 00:14Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Kutokomeza Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (CEDAW) imesema, serikali ya Nigeria inawajibika kwa ukiukaji mkubwa na wa kimfumo wa haki za wanawake na wasichana katikati ya matukio ya utekaji wa watu wengi
-
Mahakama Afrika Kusini yakataa rufaa ya familia ya rais wa zamani wa Zambia kuhusu usafirishaji wa mwili wake
Sep 17, 2025 08:35Mahakama Kuu ya Afrika Kusini imekataa rufaa iliyowasilishwa na familia ya marehemu Rais Edgar Lungu wa Zambia, iliyolenga kuzuia usafirishaji wa mwili wake kurejeshwa Zambia kwa ajili ya maziko ya kitaifa.
-
Wamalawi wasubiri kwa hamu matokeo ya uchaguzi wa urais
Sep 17, 2025 08:25Zoezi la kuhesabu kura linaendelea nchini Malawi huku raia wakisubiri kwa hamu matokeo ya uchaguzi wa urais na wa bunge uliofanyika hivi karibuni.
-
Je, kuondolewa ukoloni na kuhuishwa utambulisho wa kitaifa kumeathiri vipi sekta ya utalii barani Afrika?
Sep 17, 2025 06:48Bara la Afrika limerekodi kasi ya juu ya ukuaji wa utalii katika nusu ya kwanza ya mwaka huu, kadiri kwamba safari za watalii wa kimataifa wanaotembelea bara hili zimeongezeka kwa asilimia 12 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliopita.
-
Ripoti: Rushwa iliyokithiri inatishia ustawi wa Sudan Kusini
Sep 16, 2025 22:49Tume ya haki za binadamu ya umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, imetoa wito kwa idara za uchunguzi kuchunguza tuhuma za rushwa na utakatishaji fedha ambao unatishia ustawi wa nchi hiyo.
-
Rwanda yaikemea Ulaya kwa 'kuingilia haki' kwa kutaka Victoire Ingabire aachiliwe huru
Sep 16, 2025 22:49Bunge la Rwanda limetoa tamko kali likilaani azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) linalotaka kuachiwa huru mwanasiasa wa upinzani, mwanamama Victoire Ingabire.
-
Wananchi wa Malawi wanapiga kura leo, uchumi wazidi kuzorota
Sep 15, 2025 23:38Wananchi wa Malawi wanaelekea kwenye vituo vya kupigia kura leo Jumanne katika uchaguzi utakaomchuanisha Rais Lazarus Chakwera na mtangulizi wake Peter Mutharika, huku mfumuko wa bei uliokithiri na uhaba wa mafuta ukizidi kuongeza hasira za wananchi na kuleta uwezekano wa kutoshiriki kwa wingi wananchi kwenye uchaguzi huo.
-
Ripoti: Ulanguzi wa dawa za kulevya Afrika Magharibi waambatana na matumizi yasiyodhibitiwa
Sep 15, 2025 23:37Eneo la Afrika Magharibi linakabiliwa na ulanguzi mkubwa wa dawa za kulevya unaoambatana na matumizi yasiyodhibitika.