Matukio
  • Salman Al-Farsi; mhangaikaji wa kutafuta haki na ukweli

    Salman Al-Farsi; mhangaikaji wa kutafuta haki na ukweli

    Aug 15, 2026 13:58

    Assalamu Alaykum mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Tarehe 31 ya mwezi wa nne wa Tir katika kalenda ya Hijria Shamsia ya Kiirani ni siku rasmi katika kalenda hiyo ya Kumuenzi Salman Al-Farsi. Kutokana na tarehe hiyo kusadifiana na Julai 22, makala yetu ya wiki kwa juma hili itaangazia kwa ufupi kisa cha maisha ya sahaba huyo mtukufu aliyeenziwa na kupewa hadhi maalumu na Bwana Mtume SAW. Kuwa pamoja nami basi kuanzia awali hadi tamati ya safari hii.

  • Kwa nini Marekani imeshindwa na Iran

    Kwa nini Marekani imeshindwa na Iran

    Aug 11, 2026 11:38

    Hujambo mpenzi msikiilizaji. Je, matukio nyeti katika kanda ya Asia ya Magharibi yanaweza kueleweka vyema zaidi kwa mtazamo wa mwanadiplomasia wa Kijapani? Katika kipindi hiki, tunatupia jicho kitabu kilichopewa jina "Why America Was Defeated by Iran" (Kwa Nini Marekani Imeshindwa na Iran) kilichoandikwa na Mitsugu Saito, balozi wa zamani wa Japan nchini Iran.

  • Siku ya Mashahidi wa Uimara na Umoja wa Kitaifa

    Siku ya Mashahidi wa Uimara na Umoja wa Kitaifa

    Jul 02, 2026 07:59

    Natumai hamjambo wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo. Karibuni kuwa nami katika Makala yetu ya Wiki, ambayo kwa juma hili, itaangazia maadhimisho, ya Siku ya Mashahidi wa Uimara na Umoja wa Kitaifa.

  • Kombe la Dunia 2026: Timu za Asia na Afrika Zilivyokumbana na Vikwazo Marekani Hata Kabla ya Kupulizwa Kipenga cha Kwanza

    Kombe la Dunia 2026: Timu za Asia na Afrika Zilivyokumbana na Vikwazo Marekani Hata Kabla ya Kupulizwa Kipenga cha Kwanza

    Jun 17, 2026 07:43

    Huku nikitumai kuwa hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo, nakukaribisha kuwa nami katika Makala ya Wiki ya juma hili itakayoangazia jinsi mamlaka za Marekani, ambayo ni moja ya wenyeji wa mashindano ya Dunia ya soka yaliyoanza siku ya Alkhamisi, zilivyozitendea timu za nchi washiriki wa mashindano hayo zilipowasili nchini humo.

  • EID Gadir na Kumbukumbu ya Kuaga Dunia Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu)

    EID Gadir na Kumbukumbu ya Kuaga Dunia Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu)

    Jun 17, 2026 07:32

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamdu zote ni za Mwenyezi Mungu aliyetujaalia kuwa miongoni mwa wanaoshikamana na Wilaya ya Amirul Muuminin, Ali bin Abi Talib AS.

  • “Hormuz, Lango Takatifu”

    “Hormuz, Lango Takatifu”

    Jun 17, 2026 07:20

    Matumaini yangu mpenzi msikilizaji ni kuwa hujambo popote pale ulipo. Karibu kuwa pamoja nami katika makala yetu ya wiki hii yenye anuani: “Hormuz, Lango Takatifu”.

  • Almasi Zilizochongwa kwa Machozi ya Afrika-Sehemu ya Kwanza: Maumivu ya Ukoloni

    Almasi Zilizochongwa kwa Machozi ya Afrika-Sehemu ya Kwanza: Maumivu ya Ukoloni

    May 30, 2026 08:17

    Wapenzi wasikilizaji, Ukoloni wa karne ya kumi na tisa haukuwa wa kuhodhi ardhi tu za mataifa, bali ulikuwa mfumo na utaratibu maalumu ulioratibiwa kwa ajili ya kuuhamisha utajiri wa Afrika na kuupeleka Ulaya. Katika kipindi kilichojulikana kama “ Uvamizi wa Afrika”, Uingereza ilitumia nguvu zake za kiuchumi pamoja na makampuni binafsi kuanzisha ubeberu wa kimuundo na ulio endelevu wa kuzihodhi rasilimali za bara hilo.

  • Arsenal yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya Man City kulazimishwa sare na FC Bournemouth

    Arsenal yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya Man City kulazimishwa sare na FC Bournemouth

    May 20, 2026 03:56

    Hatimaye baada ya miaka 22 ya ukame, Arsenal au ukipenda waite The Gunners wametwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu wa 2025-26 baada ya Man City kulazimishwa sare ya bao moja kwa moja na The Cherries ambao nao walikuwa wanafukuzia angalau alama moja ili wafaulu kushiriki kombe la Uefa Conference Cup msimu ujao.

  • Washington Katika Mkwamo

    Washington Katika Mkwamo

    May 15, 2026 07:40

    Jarida la Marekani la The Atlantic hivi karibuni lilichapisha ripoti iliyochunguza kwa mapana na marefu vipengele vya makabiliano ya kijeshi kati ya Marekani na Iran pamoja na athari zake. Ripoti hiyo inaonyesha kuwa, sera na hatua za Washington hadi sasa hazijawa na matokeo yaliyotarajiwa, na zimeisababishia Marekani vizuizi na changamoto kali.