-
Arsenal yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya Man City kulazimishwa sare na FC Bournemouth
May 20, 2026 03:56Hatimaye baada ya miaka 22 ya ukame, Arsenal au ukipenda waite The Gunners wametwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu wa 2025-26 baada ya Man City kulazimishwa sare ya bao moja kwa moja na The Cherries ambao nao walikuwa wanafukuzia angalau alama moja ili wafaulu kushiriki kombe la Uefa Conference Cup msimu ujao.
-
Washington Katika Mkwamo
May 15, 2026 07:40Jarida la Marekani la The Atlantic hivi karibuni lilichapisha ripoti iliyochunguza kwa mapana na marefu vipengele vya makabiliano ya kijeshi kati ya Marekani na Iran pamoja na athari zake. Ripoti hiyo inaonyesha kuwa, sera na hatua za Washington hadi sasa hazijawa na matokeo yaliyotarajiwa, na zimeisababishia Marekani vizuizi na changamoto kali.
-
Spoti, Feb 23
Feb 23, 2026 04:43Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku saba zilizopita kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 16
Feb 16, 2026 07:26Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tuzamie baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku saba zilizopita katika pembe tofauti za dunia.
-
Jumatano, tarehe 11 Februari, 2026
Feb 11, 2026 03:31Leo ni Jumatano tarehe 22 Sha'ban 1447 Hijria sawa na Februari 11 mwaka 2026.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 9
Feb 09, 2026 03:38Natumai hujambo msikilizaji mpenzi na karibu tutupie jicho matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Alfajiri Kumi- Sekta ya afya ya Iran kabla na baada ya Mapinduzi
Feb 05, 2026 11:20Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Kipindi chetu kinazungumzia mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu katika sekta ya afya na ustawi wa jamii.
-
Jumatano, 04 Februari, 2026
Feb 03, 2026 22:48Leo ni Jumatano tarehe 15 Sha'ban 1447 Hijria sawa na 04 Februari 2026.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 2
Feb 02, 2026 03:14Hujambo msikilizaji mpenzi na karibu tutupie jicho matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Jumatatu, 26 Januari, 2026
Jan 25, 2026 23:06Leo ni Jumatatu 6 Sha'ban 1447 Hijria ambayo inasadifiana na 26 Januari 2026.