-
Ulimwengu wa Spoti, Jan 19
Jan 19, 2026 08:47Hujambo msikilizaji mpenzi, na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku zilizopita, ikiwemo fainali ya michuano ya AFCON. Nakusihi tuwe sote hadi tamati ya kipindi…..Karibu…….
-
Ulimwengu wa Spoti, Jan 12
Jan 12, 2026 06:37Natumai mambo yako yanakuendea shwari msikilizaji mpenzi, na karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Kumbukumbu Maalumu ya Kuuawa Shahidi Jenerali Haj Qassem Soleimani
Jan 10, 2026 07:33Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuuliwa shahidi Meja Jenerali Qassim Soleimani.
-
Gaza: Mtihani kwa Dhamiri ya Ulimwengu katika mwaka 2026
Jan 10, 2026 06:18Makala yetu ya wiki inazungumzia hali ya Ukanda wa Gaza ambapo watu wanataabika kutokana na mafuriko, mvua kubwa, nyumba zilizobomoka, na uhaba mkubwa wa chakula na maji ya kunywa katika majira ya msimu wa baridi kali baada ya miaka mingi ya vita na uharibifu unaofanywa na utawala wa Israel.
-
Ulimwengu wa Spoti, Jan 5
Jan 05, 2026 08:04Natumai huna neno hapo ulipo mskilizaji mpenzi. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu yaliyoshuhudiwa viwanjani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
"Ufalme wa Simulizi" - Marekani Inajitakasishaje Kupitia Vyombo vya Habari?
Dec 30, 2025 10:54Kipindi hiki kinachunguza kwa makini nafasi ya vyombo vya habari vya Hollywood na mitandao ya habari yenye uhusiano na taasisi zenye nguvu na madaraka huko Marekani, hasa kampuni ya utengenezaji filamu ya Millennium Media, katika kujenga upya, kutakatisha sura ya Marekani na kuhalalisha sera zake za kuingilia kati masuala ya nchi nyingine duniani. ********
-
Ulimwengu wa Spoti, Dec 29
Dec 29, 2025 07:04Hujambo mpenzi mskilizaji na hususan mfuatiliaji wa matukio ya spoti na karibu katika kipindi chetu cha mwisho mwaka huu 2025, tuangazie baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbali mbali za dunia ikiwemo michuano ya AFCON inayoendelea kurindima nchini Morocco.
-
Ulimwengu wa Spoti, Dec 22
Dec 22, 2025 08:26Hujambo mpenzi mskilizaji na karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyoshuhudiwa ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbali mbali za dunia ukiwemo ufunguzi wa michuano ya AFCON 2025 nchini Morocco.
-
Leo ni Ijumaa tarehe 19 Disemba 2025
Dec 19, 2025 03:31Leo ni Ijumaa tarehe 28 Jamadithani 1447 Hijria sawa na 19 Disemba 2025.
-
Ulimwengu wa Spoti, Dec 15
Dec 15, 2025 10:55Hujambo mpenzi mskilizaji na karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa yaliyojiri viwanjani ndani ya siku saba zilizopita kote duniani.