-
El Fasher, Hadithi ya Kuanguka Mji
Nov 07, 2025 16:32El Fasher sio jina la mji tu; bali ni jeraha lililowazi la dhamiri ya dunia. Katika kipindi chetu leo, tunasimulia mzingiro uliozuia mkate wa watu, na hujuma iliokata pumzi za watoto. Ni simulizi fupi lakini sahihi, inayotuhimiza sisi sote kuelekeza mazingatio yetu kwa maafa ya binadamu yanayotokea huko Sudan....
-
Vyombo vya habari vinavyotumikia jinai (Google; mshirika katika jinai za Netanyahu)
Oct 30, 2025 12:21Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika kipindi chetu cha Makala ya Wiki. Kipindi hiki kinachunguza dhulma ya vyombo vya habari kuanzia namna taarifa zilivyokusanywa na kufikishwa kwa watu hadi matangazo kuhusu kampeni za kipropaganda zilizofanywa na serikali ya Israel na kinafafanua ni kwa namna gani ueledi wa masuala ya vyombo vya habari na haja ya kuwepo uwazi vinaweza kudhihirisha uhakika na kuutoa chini ya vifusi vya upotoshaji. ******
-
Jumatatu, tarehe 27 Oktoba, 2025
Oct 27, 2025 02:30Leo ni Jumatatu tarehe 5 Jamadil Awwal mwaka 1447 Hijria sawa na Oktoba 27 mwaka 2025.
-
Ulimwengu wa Spoti, Okt 20
Oct 20, 2025 07:02Hujambo msikilizaji mpenzi, nina wingi wa matumaini kwamba u mzima wa afya. Karibu tuangazie japo kwa ufupi, baadhi ya matukio makubwa yaliyojiri viwanjani katika muda wa siku zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa. Nakusihi usibanduke hapo ulipo hadi tamati ya kipindi….
-
"Weupe wa Matumaini" - Maadhimisho ya Siku ya Vipofu na Fimbo Nyeupe Duniani
Oct 18, 2025 09:11Karibuni wasikilizaji wapendwa wa Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran katika makala yetu ya wiki hii ambayo tumewaandalia kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Vipofu na Fimbo Nyeupe Duniani; siku ya kusherehekea irada, uhuru na utu wa watu wasioona au vipofu na kuanzishwa jitihada za kisayansi, kiteknolojia na kijamii nchini Iran na ulimwenguni kwa ujumla ili kuwaandalia jamii ya watu hao maisha rahisi na bora zaidi.
-
Ulimwengu wa Spoti, Okt 13
Oct 13, 2025 11:51Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio yaliyotifua mavumbi viwanjani ndani ya siku zilizopita duniani, kuanzia hapa Iran hadi barani Afrika.
-
Kuanguka kizoro katika uso wa Israel - Mwaka wa Pili wa Kimbunga cha al Aqsa
Oct 07, 2025 10:35Historia muda wote imethibitisha kwamba, msimamo imara na kutotetereka mataifa ya dunia katika kupigania ukombozi, siku zote hushinda utumiaji mabavu, vita, njama na mauaji ya umati. Hiyo ni ahadi ya Qur'ani Tukufu ambapo katika Surat Muhammad, aya ya 7 tunasoma: "Mkimnusuru Mwenyezi Mungu basi na Yeye atakunusuruni."
-
Sayyid Hassan Nasrullah; Tunu Adhimu ya Ulimwengu wa Kiislamu; Kumbukumbu ya kuuawa shahidi
Oct 07, 2025 05:56Karibuni wasikilizaji wapendwa kutegea sikio kipindi hiki cha makala ya wiki tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kutimia mwaka mmoja tangu kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Lebanon Hizbullah, kuweni nami hadi tamati.
-
"Akili Mnemba na Ushindani wa Kimataifa", Mpango Mkuu wa AI wa Marekani na Umuhimu Wake wa Kimkakati Kimataifa, Sept 25
Oct 07, 2025 05:48Kipindi hiki kinahusu mpango mkuu wa AI wa Marekani, matumizi yake ya kijeshi, vyombo vya habari, uwekezaji, umuhimu wa kielimu na ushindani wa kimataifa.
-
Turathi zinazoibwa na utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi, Sept 9
Oct 07, 2025 05:43Karibuni wapendwa wasikilizaji wa Redio Tehran katika Makala ya Wiki ambapo leo tutazungumzia jinai ya kiutamaduni inayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa kuyakalia kwa mabavu maeneo ya kale ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Utawala huo umejimilikisha turathi za utamaduni za Wapalestina kwa ajili ya kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na kambi zao kwa kisingizio cha kujilinda.