-
Tehran: Afrika ni bara lenye fursa nyingi kwa makampuni ya Iran
Feb 06, 2024 08:56Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Uratibu wa Diplomasia ya Uchumi amesema Afrika ni bara lenye fursa nyingi kwa makampuni ya Iran.
-
"Akthari ya madini yanayohitajika na sekta ya nishati duniani yapo Afrika"
Feb 06, 2024 07:31Rais wa Afrika Kusini amesema aghalabu ya madini ya thamani yanayohitajika katika mageuzi makubwa kwenye sekta ya nishati duniani yanapatikana katika ardhi ya Afrika.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kutolewa pigo kali la mataifa ya Kiislamu dhidi ya Israel
Feb 06, 2024 03:56Kiongozi Muadhamu ametahadharisha kuhusu "maafa ya binadamu" yanayotokea Ukanda wa Gaza kwa himaya na misaada ya Marekani kwa utawala wa Israel na kubainisha kwamba, shakhsia na watu mashuhuri katika uulimwengu wa Kiislamu wanapaswa kuhimiza mwito wa kutoa pigo kali kwa utawala haramu wa Israel.
-
Iran: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iraq, Syria ni ukiukaji wa sheria za kimataifa
Feb 06, 2024 03:41Iran imelaani vikali mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani dhidi ya Iraq na Syria ikiyataja kuwa ni kinyume cha sheria na ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
-
Rais Raisi: Sera ya msingi ya Iran ni kuunga mkono nchi zinazojitenga na Israel
Feb 05, 2024 23:30Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema sera ya msingi ya Jamhuri ya Kiislamu ni kuunga mkono nchi zinazojitenga na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ukuaji wa mara 11 ya wastani wa kimataifa wa uzalishaji sayansi nchini Iran katika kipindi cha miaka 45 iliyopita
Feb 05, 2024 23:25Katika wakati huu wa kukaribia kufanyika uchaguzi wa bunge na Baraza la Wanavyuoni Wataalamu la kumchagua Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran tarehe mosi Machi, kwa mara nyingine tena maadui wa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu wameamua kutumia vyombo vyao vya habari kujaribu kufunika na kufifiliza mafanikio ya miaka 45 ya Mapinduzi ya Kiislamuu na kuzihadaa fikra za walio wengi ili kuwafanya wananchi wasishiriki katika chaguzi hizo.
-
Kiongozi Muadhamu anawataka wasomi wa Kiislamu kuanzisha matakwa ya umma ya kukata uhusiano na Israel
Feb 05, 2024 12:14Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, anasema wasomi wa Ulimwengu wa Kiislamu wanabeba dhima nzito kuhusiana na matukio yanayojiri huko Gaza na kwamba wanapaswa kuanzisha matakwa ya umma ya kukata uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Amir Abdollahian: Ni muhimu kufunguliwa tena balozi za Iran na Sudan ili kupanua ushirikiano
Feb 05, 2024 12:04Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa suala la kufunguliwa tena balozi za Iran na Sudan na kurejea shughuli za mabalozi wa nchi hizo mbili kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano wa pande zote lina umuhimu mkubwa, na kueleza kwamba kuna matumaini ya kustawishwa zaidi ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.
-
Iran yazionya Marekani na Uingereza: Msijaribu kuzipima ghadhabu za mataifa ya eneo
Feb 05, 2024 03:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amelaani vitendo vya uchokozi vya hivi karibuni dhidi ya nchi za Asia Magharibi na kuzionya Marekani na Uingereza kwamba zisijaribu kuzipima ghadhabu za mataifa ya eneo hili.
-
Ebrahim Raisi: Mapinduzi ya Kiislamu daima yanatilia mkazo elimu na maarifa
Feb 04, 2024 08:38Rais Ebrahim Raisi amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran muda wote imekuwa ikitilia mkazo elimu na maarifa na kwamba, mara kwa mara Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei anahimiza wajibu wa kuimarishwa na kutiiwa nguvu mashirika yenye msiingi wa elimu katika maisha ya wanadamu.