-
Jeshi la Yemen: Meli mbili zinazozama ni zawadi yetu ya Idi kwa muqawama wa Palestina
Jun 16, 2024 23:49Msemaji wa jeshi la Yemen ametangaza kuwa, meli mbili zinazozama ni zawadi ya Eid al-Adh'haa ya jeshi la Yemen kwa muqawama wa Palestina kutokana na kusimama kwao kidete.
-
Kundi la Taliban kushiriki mkutano wa Doha Qatar
Jun 16, 2024 23:46Serikali inayoongozwa na kundi la wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan imetangaza rasmi nia yake ya kutuma wajumbe katika mkutano wa Doha Qatar utakaozungumzia hali ya taifa hilo.
-
Saudi Arabia inatishia na kuchochea chuki dhidi ya mahujaji wanaotetea Palestina
Jun 16, 2024 22:57Katika msimu huu wa ibada tukufu ya Hija, watawala wa Saudi Arabia wamejaribu kutisha, kuchochea chuki na kuwachafulia jina mahujaji wanaoonyesha mshikamano na watu wa Palestina huku kukiwa na malalamiko ya kimataifa kuhusu vita vya kikatili vinavyoendeshwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya watu Ukanda wa Gaza.
-
Wapalestina waswali Swala ya Iddi Masjidul Aqsa licha ya mbinyo
Jun 16, 2024 06:30Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Iddul Adh'ha iliyosaliwa leo kwenye Msikiti wa al-Aqsa mjini Baitul Muqaddas, licha ya kuwekewa vizuizi na kukabiliwa na hatua kali za kiusalama zilizochukuliwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mji huo unaoukalia kwa mabavu.
-
Kiongozi wa upinzani wa Israel ataka kuuzuliwa Netanyahu
Jun 16, 2024 04:07Kinara wa upinzani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema wakati umefika wa kuiangusha serikali ya utawala huo inayoongozwa na Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu.
-
Je, utawala wa Israel utaangukia kwenye mtego wa Hizbullah ya Lebanon au la?
Jun 16, 2024 03:56Kufuatia kuongezeka minong'ono ya vyombo vya habari na kisiasa kuhusu uwezekano wa jeshi la utawala haramu wa Israel kuanzisha mashambulizi ya pande zote kusini mwa Lebanon, uvumi umeenea kuwa Hizbullah imejiandaa vilivyo kutoa pigo kali la kulipiza kisasi dhidi ya utawala huo wa kigaidi iwapo utafanya mashambilizi hayo.
-
Tovuti ya Kizayuni: Hizbullah inatumia akili mnemba katika droni zake
Jun 16, 2024 03:04Tovuti ya Walla ya lugha ya Kiebrania imekiri katika ripoti yake mpya kabisa kwamba harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imeweza kupenya kwenye ukuta wa ulinzi wa jeshi la Israel kwa droni na ndege zake zisizo na rubani na kuchota taarifa za kijasusi.
-
Hizbullah yayatwanga tena kwa makombora maeneo ya Wazayuni
Jun 15, 2024 23:14Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefanya mashambulio mapya dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuuni ikiwa ni kujibu mauaji ya hivi karibuni ya Israel ya kamanda mmoja mkubwa wa harakati hiyo huko kusini mwa Lebanon.
-
Kambi ya kijeshi ya Israel yateketea kwa moto baada ya kushambuliwa na HAMAS
Jun 15, 2024 23:12Duru za habari zimetangaza kuwa, kambi moja ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni karibu na Ukanda wa Ghaza imeteketea kwa moto baada ya kushambuliwa na wanamapambano wa Izzuddin al Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.
-
Serikali ya Sudan yakanusha kuwepo njaa nchini humo
Jun 15, 2024 23:09Serikali ya Sudan imekanusha uwezekano wa kutokea baa la njaa nchini humo. Hayo ni kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan.