-
DRC: Joseph Kabila ahukumiwa adhabu ya kifo
Sep 30, 2025 23:18Mahakama ya kijeshi katika Jamhuri yya Kidemokrasia ya Congo imemhukumu adhabu ya kifo aliyekuwa rais wa nchi hiyo Joseph Kabila, ikimtia hatiani kwa usaliti na uhalifu dhidi ya binadamu.
-
Gen-Z wa Morocco waendelea kuandamana wakitaka kuboreshwa elimu, afya
Sep 30, 2025 23:03Maandamano yanayoongozwa na vijana wa kizazi cha Gen-Z ya kushinikiza kuboreshwa huduma hospitalini na shuleni yameenea katika miji mbali mbali ya Morocco.
-
Wimbi jipya barani Afrika la kuunga mkono Palestina na kulaani Israel
Sep 30, 2025 09:04Wananchi na viongozi wa nchi za Kiafrika wamelaani jinai za Israel katika wimbi jipya la kuwaunga mkono Wapalestina.
-
Wafanyakazi wa sekta ya mafuta Nigeria waendelea na mgomo wakipinga kupunguzwa wafanyakazi katika kiwanda cha Dangote
Sep 30, 2025 08:28Ofisi za idara ya Udhbiti wa Mafuta na Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Nigeria zimefungwa kutokana na mgomo wa kitaifa ulioanzishwa na jumuiya ya wafanyakazi wa sekta ya mafuta baada ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote kuwafuta kazi zaidi ya wafanyakazi 800.
-
Namibia yafanikiwa kuzuia kuenea moto uliounguza zaidi ya theluthi moja ya mbuga ya taifa
Sep 30, 2025 08:28Indileni Daniel Waziri wa Mazingira, Misitu na Utalii wa Namibia amesema kuwa nchi yake imeathiriwa na moto mkubwa wa nyika ambao umeteketeza zaidi ya theluthi moja ya Mbuga ya Taifa ya Etosha, mojawapo ya hifadhi kubwa zaidi barani Afrika.
-
Rais wa Madagascar avunja serikali sambamba na watu wasiopungua 22 kuuawa katika maandamano
Sep 30, 2025 03:35Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameivunja serikali yake siku ya Jumatatu kutokana na kupamba moto maandamano ya upinzani yanayoongozwa na vijana ya kulalamikia uhaba mkubwa wa maji na umeme, mgogoro ambao kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa umesababisha vifo vya watu wasiopungua 22 na kujeruhiwa zaidi ya 100 katika kile kinachotajwa kama changamoto kubwa zaidi kuukabili utawala wake baada ya miaka kadhaa.
-
Sudan yatoa "tahadhari nyekundu" kuhusu uwezekano wa kutokea mafuriko nchini
Sep 29, 2025 22:59Sudan imetoa "tahadhari nyekundu" kuhusu uwezekano wa kutokea mafuriko katika majimbo matano kando ya Mto Nile, ikisema kuwa viwango vya maji vimeongezeka katika vijito vyake viwili vikuu, Blue na White Nile.
-
Je, uzoefu wa kupambana na ubaguzi wa rangi unaweza kuulazimisha utawala wa Kizayuni kuondoka Ghaza?
Sep 29, 2025 22:53Wananchi wa Afrika Kusini walifanya maandamano makubwa na ya kihistoria hivi karibuni wakitaka kuvunjwa kikamilifu uhusiano wa kidiplomasia na kibiashara wa nchi hiyo na utawala dhalimu na wa ubaguzi wa rangi wa Israel.
-
Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda wa Januari 2026 zaanza rasmi
Sep 29, 2025 08:03Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda zimeanza rasmi leo Jumatatu kabla ya uchaguzi huo wa Januari 206 ambao huenda ukawa mpambano kati ya Rais aliyeko madarakani Yoweri Kaguta Museveni na mpinzani wake mkuu Robert Kyagulanyi Ssentamu, almaarufu Bobi Wine, ukitazamwa kama marudio ya uchaguzi wa 2021.
-
Watu 95 wafariki dunia kwa njaa na magonjwa Sudan
Sep 29, 2025 03:06Watu 95 wamefariki dunia kutokana na njaa pamoja na magonjwa katika kipindi cha siku 40 zilizopita kwenye kambi ya wakimbizi ya Abu Shouk huko El Fasher nchini Sudan. Hayo yameelezwa na wafanyakazi wa kujitolea.