-
Kuendelea safari ya kieneo ya Araghchi; kutumia njia mbili za vita na za kidiplomasia
Oct 15, 2024 09:21Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku ya Jumatatu ya jana aliwasili Muscat, mji mkuu wa Oman katika muendelezo wa safari zake za kieneo.
-
Ulazima wa kuwekewa vikwazo na kufukuzwa utawala wa Kizayuni katika Umoja wa Mataifa
Oct 14, 2024 22:46Wigo wa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni huko Gaza na kupanuka jinai hizo hadi Lebanon, jambo ambalo linakinzana waziwazi na misingi ya Hati ya Umoja wa Mataifa na sheria za kimataifa, hauhalalishi kwa namna yoyote kuendelea kuwepo utawala huo katika Umoja wa Mataifa na katika taasisi nyingine za kimataifa.
-
Kushindwa Wazayuni kukabiliana na oparesheni za kibunifu za Hizbullah ya Lebanon
Oct 14, 2024 08:33Shambulio la ubunifu la Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon katika makao makuu ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, kwa mara nyingine tena limefichua kushindwa na udhaifu wa Wazayuni mkabala wa oparesheni za kijeshi za makundi ya muqawama.
-
Kikao cha Moscow na suala la wahamiaji wa Afghanistan
Oct 13, 2024 22:54Mjumbe Maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya Afghanistan amesema kuwa kikao kilichofanywa hivi karibuni na nchi jirani za Afghanistan huko Moscow, kilifanyika katika fremu ya mpango wa kikanda wa kuisaidia Afghanistan katika kupambana na ugaidi na kuisaidia kupata maendeleo, ili kuepusha wimbi la wahamiaji kutoka nchi hiyo.
-
Mkakati wa Iran ni kuunga mkono muqawama na kukabiliana na hatua za utawala wa Kizayuni za kuibua mivutano katika eneo
Oct 13, 2024 08:02Mkakati wa siku zote wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuunga mkono muqawama kwa lengo la kukabiliana na siasa za utawala wa Kizayuni za kuibua vita na migogoro katika eneo.
-
Kuundika mwafaka wa kimataifa dhidi ya Israel
Oct 12, 2024 22:39Utawala wa Kizayuni unaendelea kulaaniwa na kukosolewa pakubwa kimataifa kufuatia kuendelea jinai kubwa za utawala huo katika vita vya Gaza hususan mauaji ya kimbari unayotekekeleza dhidi ya Wapalestina na hivi sasa mashambulizi ya kila upande dhidi ya Lebanon ambayo yamewaua shahidi maelfu ya watu na kujeruhi makumi ya maelfu ya wengine huko Gaza na Lebanon.
-
Migongano katika maneno na matendo ya Marekani mbele ya jinai za Wazayuni
Oct 11, 2024 23:18Hatua zinazochukuliwa na viongozi wa Marekani mbele ya jinai na ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa ni pamoja na kujifanya kuwa hawana taarifa yoyote kuhusu jinai hizo, ni ushahidi wa wazi wa siasa za nyuso mbili na za kindumilakuwili baina ya maneno na vitendo vya Marekani.
-
Kuendelea juhudi za Iran za kutanua ushirikiano wa kikanda
Oct 11, 2024 11:13Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameendelea na safari yake ya kuzitembelea nchi za eneo hili la Asia Magharibi ambapo baada ya kuitembelea Saudia ameitembelea pia Qatar katika jitihada za kuleta ushirikiano mkubwa zaidi wa kieneo na kutafuta njia za kukomesha jinai za Israel huko Palestina na Lebanon.
-
Kusalia Imara Mhimili wa Muqawama
Oct 10, 2024 23:05Baada ya kutekelezwa Oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa, Utawala wa Kizayuni wa Israel ulidhani kuwa ungeweza kuiangamiza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa mashambulizi ma kubwa na kuigeuza Gaza kuwa ardhi iliyoungua.
-
Misimamo inayokinzana ya Ulaya katika vita vya Gaza: Kutoka vikwazo hadi mauzo ya silaha
Oct 09, 2024 08:00Licha ya madai yote ya nchi za Magharibi kuwa zinajaribu kuizuia Israel kuendeleza vita dhidi ya Wapalestina wanaoishi Gaza, lakini nchi hizo hizo bado zinauuzia silaha utawala huo wa Kizayuni na hivyo kuendelea kuunga mkono na kuupa silaha za kila aina ili uendelee kuwaua kikatili watu wa Palestina na Lebanon.