-
Radiamali ya Iran kuhusu jinai ya utawala wa Israel ya kulipua vyombo vya mawasiliano vya pager nchini Lebanon
Sep 19, 2024 07:03Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani jinai ya kigaidi ya Wazayuni ya kulipua vyombo vya mawasiliano vya "pager" katika maeneo tofauti ya Lebanon na kusema jinai hiyo ni aibu kubwa kwa nchi za Magharibi hususan Marekani.
-
Iran na Russia katika njia ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Sep 19, 2024 03:11Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Baraza la Usalama la Shirikisho la Russia kwa madhumuni ya kuboresha mahusiano ya pande mbili.
-
Nia njema ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuendeleza uhusiano na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA)
Sep 19, 2024 01:00Mohammad Eslami, Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kando ya Mkutano Mkuu wa 68 wa wakala huo huko Vienna, kwamba Uhusiano wa Iran na wakala huo utaendelea kuwa imara na kwamba mchakato huo utadumishwa madamu maslahi ya Iran yatazingatiwa.
-
Marekani yaondoka kabisa kijeshi Niger
Sep 18, 2024 04:35Jeshi la Marekani limetangaza katika taarifa kuwa mpango wa kuondoa wanajeshi wake katika ardhi ya Niger umekamilika.
-
Vizingiti vya washirika wa uhalifu wa Netanyahu katika kutolewa hukumu katika mahakama ya ICC
Sep 17, 2024 22:50Katika hali ambayo, wasiwasi wa duru za Kizayuni kuhusiana na utoaji wa hati za kukamatwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai dhidi ya Netanyahu na Gallant kwa tuhuma za kufanya jinai za kivita, Mwanasheria Mkuu wa mahakama hii amefichua kuwa wakuu wa baadhi ya nchi wamemshinikiza asitoe waranti wa kutiwa mbaroni Gallant na Netanyahu.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la ulazima wa umoja wa Umma wa Kiislamu
Sep 17, 2024 09:47Kwa miaka mingi, umoja wa ulimwengu wa Kiislamu ni miongoni mwa masuala makuu na ya kimsingi ambayo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi amekuwa akiyasisitizia kila mara katika miongozo na jumbe zake kwa kuwapa nasaha wanachuoni, wasomi, viongozi wa kisiasa na Umma wa Kiislamu juu ya ulazima wa kuunda umoja wa jamii na serikali za Kiislamu.
-
Kombora la jeshi la Yemen dhidi ya Tel Aviv; kushindwa kukubwa kwa ulinzi wa anga wa utawala wa Kizayuni
Sep 16, 2024 22:57Ikiwa ni katika kuendelea kuwatetea wananchi wa Ukanda wa Gaza dhidi ya mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni, Harakati ya Ansarullah ya Yemeni imelenga mji wa Tel Aviv kwa kombora la balistiki ambapo mifumo ya ulinzi wa anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel imeshindwa kuzuia kombora hilo.
-
Kuendelea visa vya watu kujichoma moto huko Marekani; nembo ya kupinga vita vya Ukanda wa Gaza
Sep 16, 2024 07:47Raia mmoja wa Marekani aliyejulikana kwa jina na Matt Nelson amejichoma moto katika mji wa Boston akipinga na kulalamikia vita vya Israel dhidi ya watu wa Gaza.
-
Safari ya Mohammad Eslam mjini Vienna inayolenga kubainisha pande tofauti za mpango wa amani wa nyuklia wa Iran
Sep 15, 2024 22:59Mohammad Eslami, Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekwenda Vienna Austria kushiriki katika mkutano mkuu wa mwaka wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kwa lengo la kufafanua pande tofauti za mpango wa nyuklia wa Iran wenye malengo ya amani.
-
Kuafikiana makundi ya Kipalestina juu ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa na kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni
Sep 14, 2024 22:45Kikao cha pande tatu kati ya harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Harakati ya Ukombozi ya Kiarabu na Harakati ya Ukombozi wa Palesetina kimefanyika na washiriki wa kikao hicho kusisitiza kuhusu haki ya wananchi wa Palestina ya kuendesha mapambano ya ukombozi dhidi ya maghasibu wa Kizayuni.