-
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa mahakama ya ICC ataka kutolewa hati ya kukamatwa Netanyahu na Waziri wa Vita wa Israel
Aug 24, 2024 23:12Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ametoa wito wa kutolewa hati cha kukamatwa Waziri Mkuu na Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kutenda jinai za kivita.
-
Iran yakaribisha kustawisha uhusiano na Ulaya katika anga ya kuheshimiana
Aug 24, 2024 07:51Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje ya serikali ya 14 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo ya simu na Josep Borrell mwakilishi wa ngazi ya juu wa Umoja wa Ulaya katika masuala ya usalama na sera za je kwamba: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inakaribisha na kuunga mkono kustaiwsha uhusiano na Umoja wa Ulaya katika mazingira ya kuheshimiana pande mbili.
-
Russia: Ukraine imeingia Kursk kwa ushirikiano wa mashirika ya ujasusi ya Magharibi
Aug 23, 2024 22:42Idara ya Ujasusi wa Nje ya Russia (FIS) imetangaza kwamba kuingia Ukraine katika eneo la nchi hiyo katika jimbo la Kursk kulifanywa kwa ushirikiano wa mashirika ya ujasusi ya nchi za Magharibi.
-
Kiwewe cha Wazayuni katika kusubiri jibu la kushtukiza la Iran
Aug 23, 2024 06:49Kadiri jibu la Iran kwa kitendo cha kigaidi cha utawala wa Kizayuni wa Israel linavyozidi kuchukua muda mrefu, ndivyo taathira za kimaada, kiroho na kisaikolojia zinavyozidi kuongezeka na kuwaumiza Wazayuni.
-
Jibu la China kwa waraka wa mkakati wa nyuklia wa Marekani
Aug 22, 2024 23:09Baada ya kutangazwa habari ya kuthibitishwa waraka wa siri wa kistratijia wa nyuklia wa Marekani wa kukabiliana na kile kinachotajwa kuwa upanuzi wa haraka wa silaha za nyuklia za China, Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hii imesema waraka huo ni kisingizio tu cha kupanua mpango wa silaha za nyuklia wa Marekani.
-
Makadirio ya zaidi ya dola bilioni 80 za mashambulio ya utawala wa Kizayuni Gaza
Aug 21, 2024 22:47Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa kutokana na mashambulizi ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza, ukarabati na ujenzi mpya wa ukanda huo utagharimu zaidi ya dola bilioni 80 na mchakato huo kuchukua miongo minane kukamilika.
-
Sauti unayozidi kupaza Umoja wa Mataifa kulalamikia jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina
Aug 21, 2024 05:47Umoja wa Mataifa umeendeleza msimamo wake wa kulalamikia jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina kwa kutangaza kuwa, umetiwa na wasiwasi na uamuzi wa hivi karibuni uliotangazwa na Israel wa kupanua vitongoji vya walowezi na kubadilisha hali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Uwezo wa kisiasa wa matembezi ya Arubaini ya Imamu Hussein (a.s)
Aug 20, 2024 23:00Mamilioni ya watu kutoka nchi tofauti wanashiriki katika matembezi ya Arubaini ya Imamu Hussein (a.s).
-
Kujikusanya tena wananchi wa Marekani kwa ajili ya kuunga mkono watu wa Gaza sambamba na Kongamano la Chama cha Kidemokrasia
Aug 20, 2024 10:41Baada ya mapumziko mafupi, wimbi la maandamano ya kuunga mkono watu wa Gaza na Palestina linaongezeka huko Marekani, na inaonekana kwamba mchakato huu utapata kasi na kasi zaidi wakati wanafunzi watakaporejea katika vyuo vikuu baada ya kumalizika likizo.
-
Juhudi za wajumbe wa Kiislamu katika Kongamano la Kitaifa la Democratic kwa ajili ya kuiwekea vikwazo Israel
Aug 20, 2024 02:26Makumi ya wajumbe na makundi ya Kiislamu yanayokerwa na uungaji mkono wa Marekani kwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza, wanapanga kufanya mabadiliko katika mpango wa uchaguzi wa Chama cha Democratic na kutilia mkazo suala la kuwekwa vikwazo vya silaha dhidi ya Israel.