-
Waungaji mkono wa usitishaji vita wamkalia kooni Netanyahu kwa kuandamana dhidi yake Tel Aviv na Haifa
Aug 19, 2024 04:34Makumi ya maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji ya Tel Aviv na Haifa dhidi ya baraza la mawaziri la Netanyahu na kutaka yafikiwe makubaliano ya kusitisha vita na harakati ya HAMAS.
-
Onyo la Guterres kuhusu mporomoko wa ubinadamu huko Gaza
Aug 18, 2024 22:48Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ameonya kwamba eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina liko katika "mporomoko huru wa ubinadamu". Guterres ameyasema hayo akizungumzia hali mbaya na mgogoro mkubwa unaowasumbua na kuwatesa wakazi wa eneo hilo.
-
Mchakato wa upigaji kura katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ili kuidhinisha baraza la mawaziri
Aug 18, 2024 09:49Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) inaendelea na vikao vya kujadili sifa waliopendekezwa kuwa mawaziri katika serikali ya awamu 14 kabla ya kupigiwa kura.
-
Wazayuni waingiwa kiwewe na hofu kutokana na uwezo wa makombora ya Hizbullah
Aug 17, 2024 22:54Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, kwa mara ya kwanza, imeonyesha picha na video za miji yake ya makombora, ambayo ni ishara ya uwezo wa Muqawama kwa ajili ya kujihama, jambo ambalo limesababisha hofu na wahka miongoni mwa Wazayuni.
-
Wanafunzi wa vyuo vikuu Marekani kuanza tena maandamano ya kupinga mauaji ya kimbari Gaza
Aug 17, 2024 10:07Huku likizo ya majira ya joto ikikaribia kumalizika na kufunguliwa tena vyuo vikuu nchini Marekani, kunashuhudiwa mkakati wa kuanzishwa tena maandamano ya wanafunzi dhidi ya uhalifu na mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel ikishirikiana na Marekani huko Gaza.
-
Athari za jinai za Marekani nchini Afghanistan
Aug 17, 2024 00:52Kundi la Taliban linaloongoza Afghanistan limetoa taarifa likitaja maadhimisho ya kumbukumbu ya kuondoka Marekani nchini humo kuwa ni muhimu, fakhari na Siku ya ushindi kwa nchi hiyo.
-
Mchango wa madola ya Magharibi katika machafuko ya Asia Magharibi
Aug 16, 2024 07:05Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Massoud Pezeshkian amesema kuwa, himaya na uungaji mkono wa baadhi ya nchi za Magharibi kwa utawala wa Kizayuni ndio sababu kuu na muhimu katika kuhatarisha usalama wa eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Guterres akosoa muundo wa Baraza la Usalama na kuunga mkono uanachama wa mwakilishi wa Afrika katika baraza la UN
Aug 15, 2024 22:57Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametangaza uungaji mkono wake wa kufanyika mabadiliko katika muundo wa Baraza la Usalama na umoja huo na uanachama wa kudumu wa mjumbe wa Afrika katika chombo hicho.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu alihimiza taifa la Iran kusimama kidete katika vita vya kisaikolojia vya adui
Aug 15, 2024 06:35Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amezungumzia hila na njama za wasiolitakia mema taifa la Iran katika kuanzisha vita vya kisaikolojia na kutaka kulirudisha nyuma katika nyuga mbalimbali na kusema, utambuzi wa uwezo wa ndani na kuepuka kutia chumvi nguvu za maadui ndiyo njia pekee ya kukabiliana na njama hizo.
-
Hali ya kutisha ya zama za mwisho huko Gaza
Aug 15, 2024 01:05Huku nchi za Magharibi zikiunga mkono jinai zinazoongezeka kila siku za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina hasa katika kuwalazimisha watu wa Gaza kuyahama makazi yao, weledi wa mambo wanasema wigo wa jinai hizo unaweza kuzikumba nchi hizo pia baada ya muda usio mrefu.