-
Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu vita vya Ghaza; makabiliano ya Marekani na Jamii ya Kimataifa
Aug 14, 2024 07:45Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa cha kujadili shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Skuli ya Al-Tabeen katika Ukanda wa Ghaza kilifanyika siku ya Jumanne ambapo akthari ya wanachama wa Baraza hilo walilaani jinai ya utawala huo na kusisitiza juu ya ulazima wa kusitishwa vita mara moja huko Ghaza.
-
Kukanushwa tuhuma za Marekani dhidi ya Iran
Aug 13, 2024 22:52Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema, Marekani ndiyo muungaji mkono na muenezaji mkuu wa ugaidi katika eneo na dunia.
-
Sisitizo la China la kuunga mkono mamlaka ya kitaifa ya Iran
Aug 13, 2024 07:18Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa China Wang Yi anasema Beijing inaiunga mkono Iran katika kutetea "mamlaka yake, usalama na heshima ya taifa" huku Tehran ikiahidi kuiadhibu vikali Israel kutokana na mauaji ya aliyekuwa Ismail Haniyeh, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.
-
Utawala wa Kizayuni, mbunifu wa mbinu mpya za mauaji ya kimbari
Aug 12, 2024 23:04Katika kitendo kingine cha jinai na uhalifu wa kutisha, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshambulia shule ya al-Tabiin huko Gaza na kuuwa shahidi na kujeruhiwa mamia ya Wapalestina.
-
Juhudi zisizo na matunda za Waziri Mkuu wa Uingereza za kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu
Aug 12, 2024 08:26Keir Starmer Waziri Mkuu wa Uingereza ameshindwa kukamilisha mapumziko ya mwishoni mwa wiki na kurejea katika jengo nambari 10 huko Downing Street kufuatia vurugu na ghasia zinazoendelea kufanywa na wafuasi wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali.
-
Takwa la Pakistan la kutofanya biashara ya mafuta na utawala wa Kizayuni
Aug 11, 2024 23:15Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amelaani kuuawa shahidi Ismail Haniye aliyekuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na kuelezea wasiwasi wake mkubwa alionao kuhusiana na chokochoko zinazoongezeka za utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.
-
Takwa la Waislamu wa Marekani kwa Biden la kulaani ugaidi wa kiserikali wa Israel
Aug 11, 2024 10:10Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limemtaka Rais Joe Biden wa nchi hiyo ajibu na kulaani vitendo vya ugaidi wa kiserikali vinavyofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
BRICS yakaribisha pendekezo la Iran kwa ajili ya mabadilishano ya fedha
Aug 11, 2024 02:35Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia ameeleza kuwa nchi wanachama wa kundi la BRICs wamekaribisha na kuunga mkono pendekezo la Iran kuhusu kubuni mifumo ya kubadilishana fedha ambayo itazifanya nchi wanachama kutohitajia mifumo ya nchi za Magharibi.
-
Kipaumbele cha Iran ni usitishaji vita huko Gaza, utawala wa Israel utatiwa adabu
Aug 10, 2024 07:06Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, haki ya kujilinda kuhusiana na mauaji ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas mjini Tehran haina uhusiano wowote na usitishaji vita huko Gaza na kusema kuwa, usitishaji vita katika eneo la Magharibi mwa Asia ni kipaumbele cha Iran.
-
Hali ngumu za watoto wa Gaza na bwabwaja za Wamagharibi
Aug 09, 2024 23:00Wakati Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu huko Palestina akitangaza kuwa mienendo isiyo ya kibinadamu ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watoto wa Kipalestina ni jinai ya kivita, duru za Magharibi zinazodai kutetea haki za binadamu zinaendelea kunyamaza kimya mbele ya jinai hiyo na kukataa hata kuilaani kwa maneno tu.