-
Hatua mpya ya serikali ya Biden ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni
Dec 30, 2023 07:42Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kupitia taarifa kuwa imetumia mamlaka iliyopewa kisheria kuuzia utawala wa haramu wa Israel shehena ya silaha bila idhini ya wabunge wa Kongresi ya nchi hiyo.
-
Mauaji ya watoto huko Gaza; Kazi ya siku zote ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 30, 2023 03:44Ripoti iliiyotolewa na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) imesema kwamba mwaka 2023 ulikuwa mwaka mbaya zaidi kwa watoto katika Ukingo wa Magharibi.
-
Taasisi za kimataifa zaelezea wasiwasi wao kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza
Dec 29, 2023 22:59Kuendelea vita vya kikatili na jinai zinazotekelezwa na utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza kumeamsha hasira na wasiwasi wa tasisis za kimataifa kuhusiana hali mbaya na ya kusikitisha ya kibinadamu katika ukanda huo.
-
Kuuawa shahidi, zawadi ya juhudi kubwa alizofanya Sayyid Razi katika umri wake
Dec 29, 2023 05:07Mazishi ya mwili wa Sayyid Razi Mousavi yalifanyika jana Alhamisi mjini Tehran ambapo umati mkubwa wa wananchi na viongozi wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran walihudhuria.
-
Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani
Dec 28, 2023 23:00Pedro Sanchez Waziri Mkuu wa Uhispania amepinga uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuunga mkono Muungano wa Baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu. Sanchyez amesisitiza kuwa: 'Tunapinga kutumiwa vikosi vya baharini vya Ulaya dhidi ya maharamia kwa jina la oparesheni ya "Atalanta" kwa ajili ya kulinda meli za kibiashara katika Bahari Nyekundu mkabala wa mashambulizi ya Yemen.'
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kuhusu mtazamo wa kimantiki na wa hoja wa Uislamu kuhusu wanawake
Dec 28, 2023 08:12Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana na maelfu ya wanawake na wasichana na kubainisha mtazamo wa kimantiki na kiakhlaqi wa Uislamu kuhusu nyuga mbalimbali za uwepo wa wanawake katika familia na shughuli zao zisizo na kikomo katika jamii, katika uga wa siasa na katika kusimamia majukumu katika ngazi mbalimbali.
-
Radiamali dhidi ya uamuzi mbovu wa Papa kuhusu ndoa za watu wa jinsia moja kanisani
Dec 28, 2023 03:42Katika hali ya kutatanisha na ambayo haijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ametoa ruhusa rasmi kwa makasisi kufanya sherehe na kubariki ndoa za watu wa jinsia moja katika kanisa hilo.
-
Wazayuni wakiri kushindwa katika vita vya Gaza
Dec 28, 2023 00:51kuchukua muda mrefu vita vya Gaza kumewafanya, baadhi ya Wazayuni kukiri kushindwa utawala ghasibu wa Israel katika vita vyake vya jinai huko Gaza.
-
Kuendelea jinai za kivita za Israel huko Gaza kwa ushirikiano wa moja kwa moja wa Marekani na serikali ya Biden
Dec 27, 2023 08:07Uvamizi wa utawala ghasibu katika Ukanda wa Gaza umeingia katika siku ya 82. Jeshi la utawala huo ghasibu limeshambulia vikali miji ya Khan Yunis ulioko kusini na Jabalia kaskazini pamoja na wa Gaza ulioko katikati mwa ukanda huo.
-
Kuongezeka mashinikizo ya familia za mateka wa Israel dhidi ya Netanyahu
Dec 27, 2023 04:18Kutokana na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, kushindwa kuwakomboa mateka wa Kizayuni kutoka mikononi mwa wapiganaji wa Hamas, mashinikizo ya ndani dhidi ya waziri mkuu huyo wa utawala ghasibu yameongezeka.