-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; nishati ya nyuklia ni kwa ajili ya kuhudumia maendeleo ya kisayansi ya Iran
Feb 18, 2022 13:19Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa dunia ya leo inazidi kutegemea nishati ya nyuklia siku baada ya nyingine na kwamba Iran pia itahitajia pakubwa nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani.
-
Kumairishwa ushirikiano wa kiusalama na kiintelijinsia kati ya Uturuki na Israel
Feb 17, 2022 23:14Mgogoro wa kiuchumi na matatizo ya kifedha yanayoikabili Uturuki yameendelea kugonga vichwa vya habari katika magazeti ya nchi hiyo.
-
Sisitizo la Ufaransa la kuendelea kuwepo eneo la Sahel
Feb 17, 2022 06:51Pamoja na kushuhudiwa mivutano hivi karibuni kati ya Ufaransa na baadhi ya nchi za eneo la Sahel barani Afrika ikiwemo Mali, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ufaransa Jean Yves Le Drian amesisitiza kuwa Ufaransa haitatoka katika eneo la Sahel hata kama itaondoa wanajeshi wake kikamilifu huko Mali.
-
Putin asisitiza, Russia haina nia ya kuingia vitani na Ukraine
Feb 16, 2022 23:18Rais Vladimir Putin wa Rassia aliuambia mkutano wa waandishi wa habari siku ya Jumanne baada ya kukutana na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz, huko Kremlin kwamba ametoa wito kwa nchi za Magharibi kujiepusha kupeleka silaha za kivita kwenye mipaka ya Russia na kwamba zinapaswa kusitisha upanuzi wa shirika la NATO upande wa Mashariki.
-
Safari ya Waziri Mkuu wa Israel Bahrain katika siku ya kumbukumbu ya mwamko wa Februari 14
Feb 16, 2022 07:34Naftali Bennett Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel hivi karibuni amefanya safari huko Bahrain kwa mwaliko rasmi wa Mfalme Hamad bin Isa wa nchi hiyo, ikiwa ni katika kumbukumbu ya mwaka wa 11 wa mwamko wa watu wa nchi hiyo dhidi ya utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa.
-
Hotuba ya Imran Khan kuhusu kuwa na matokeo hasi vita vya Marekani dhidi ya ugaidi
Feb 15, 2022 23:05Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amekosoa sera na utendaji wa Marekani nchini Afghanistan na kusisitizia ulazima wa Washington kubadilisha mtazamo wake kuhusiana na hatua zake za kijeshi nje ya nchi; na akasema kuwa, vita vya Marekani dhidi ya ugaidi vimekuwa na matokeo hasi na vimesababisha kuongezeka ugaidi duniani.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran nchini Pakistan; majirani wawili wenye maslahi na daghadagha ya pamoja
Feb 15, 2022 08:58Jumatatu ya jana tarehe 14 Februari, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alifanya safari ya nchini Pakistan.
-
Juhudi za Marekani za kuendelea kuisaidia UAE katika vita dhidi ya watu wa Yemeni
Feb 14, 2022 22:50Ndege kadhaa za kivita za Marekani ain ya F-22 siku ya Jumamosi ziliwasili katika Kituo cha Ndege za Kivita cha Al-Dhafra katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Kwa mujibu wa Jeshi la Anga la Marekani, kutumwa kwa ndege hizo za kivita kunafuatia mapatano baina ya ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin, na Mrithi wa Ufalme wa Abu Dhabi, Mohammed bin Zayed Al Nahyan.
-
Mwaka wa 11 wa mwamko wa wananchi; mpasuko kati ya ukoo wa Al Khalifa na watu wa Bahrain waongezeka
Feb 14, 2022 09:01Februari 14, 2022 inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 11 ya mwamko na vuguvugu la watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa Al Khalifa.
-
Mazungumzo ya Vienna; anga nzuri ndani ya kivuli cha ubunifu wa Iran
Feb 13, 2022 23:41Awamu ya nane ya mazungumzo ya Vienna baina ya Iran na kundi la 4+1 inaendelea katika Hoteli ya Palais Coburg nchini Austria huku kukiwa na dalili nzuri za kufanyika mazungumzo katika mazingira yenye kuleta matumaini. Mazungumzo hayo yanaendelea baada ya kusimama kidogo kwa ajili ya kutoa fursa kwa timu za mazungumzo kurejea katika nchi zao kwa mashauriano.