-
Maandamano ya Bahman 22, tangazo jingine la wananchi wa Iran la imani yao kwa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 13, 2022 04:59Maadhimisho ya mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yalifikia kileleni Ijumaa ya 11 Februari kwa kufanyika maandamano ya mamilioni ya watu katika karibu miji 1,500 na vijii 3,000 vya Iran.
-
Mahakama Kuu ya India na mtihani mgumu wa kutekeleza sheria au kuchagua misimamo ya kuchupa mipaka
Feb 13, 2022 00:46Kushadidi kwa mizozo na hitilafu juu ya vazi la hijabu la wasichana na wanawake wa Kiislamu katika vyuo na taasisi za elimu katika jimbo la Karnataka huko kusini mwa India kumezusha hali ya wasiwasi na hofu kwa jamii za Waislamu nchini humo.
-
Kuongezeka indhari kuhusu uwezekano wa kutokea vita mashariki mwa Ulaya
Feb 12, 2022 06:43Nchi za Magharibi zinaendelea kutoa tahadhari mbalimbali kuhusu uwezekano wa Russia kuishambulia Ukraine kufuatia kuongezeka mivutano huko Ulaya Mashariki kati ya Moscow na Kiev.
-
Hatua ya "PLO" ya kusimamisha ushirikiano wa kiusalama na utawala wa Israel
Feb 11, 2022 23:02Baraza Kuu la Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imetangaza kusimamisha kuutambua rasmi utawala wa Kizayuni wa Israel na ushirikiano wa kiusalama na utawala huo. Baraza Kuu la PLO pia limetangaza kuwa, limesimamisha uratibu wowote wa kiusalama na utawala wa Kizayuni kwa njia mbalimbali.
-
Mapinduzi ya Kiislamu na kusambaratika satwa ya madola ya kiistikbari duniani
Feb 11, 2022 11:30Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran tarehe 11 Februari 1979 ulikuwa tukio muhimu na la kipekee katika historia ya maelfu ya miaka ya Iran. Haya ni mapinduzi ambayo yalipelekea kuibuka mabadiliko ya kimsingi katika jamii ya Iran katika nyanja za kisiasa, kijamii, kiuchumi na kiutamaduni.
-
Radiamali kwa hatua ya wanajeshi wa Israel ya kuwauwa shahidi vijana 3 wa Nablus
Feb 10, 2022 23:00Katika hali ambayo wakazi wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wameamua kufanya mgomo kama jibu lao kwa hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwauwa shahidi vijana watatu wa Kipalestina, maafisa wa utawala huo wametamka wazi kuwa Israel iko huru kufanya oparesheni yoyote ya mauaji.
-
DiCarlo: Vikwazo vya UN vimekuwa kibogoyo, havina tena taathira
Feb 10, 2022 05:29Wakati Umoja wa Mataifa ukiendelea kutumia vikwazo kama sera ya kuziadhibu nchi mbalimbali duniani, Naibu Katibu Mkuu wa umoja huo katika Masuala ya Siasa na Kujenga Amani, Rosemary Anne DiCarlo amekiri kwamba utumiaji wa vikwazo hauna tena taathira kama ilivyokuwa hapo awali.
-
Tahadhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali mbaya eneo la Pembe ya Afrika
Feb 09, 2022 23:27Huku mizozo ya kisiasa na kijamii ikiendelea katika ukanda wa Afrika Mashariki, nchi nyingi za kanda hiyo zinakabiliwa na ukame mkubwa; na ambamba na hayo Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa ukame umesababisha takriban watu milioni 13 katika Pembe ya Afrika kukumbwa na njaa.
-
Vipengee vya kimkakati katika matamshi ya Sayyid Hassan Nasrullah
Feb 09, 2022 07:09Mahojiano maalumu ya televisheni ya Al-Alam na Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah, Jumanne jioni, kuhusu hali ya ndani ya Lebanon na matukio ya kikanda na kimataifa, yamepewa mazingatio katika vyombo vya habari vya kimataifa kutokana na vipengee vya masuala ya kistratijia yaliyojadiliwa katika mahojiano hayo.
-
Kuanza tena mazungumzo ya Vienna; je mara hii Marekani ina azma ya kufikiwa makubaliano?
Feb 08, 2022 22:54Duru ya nane ya mazungumzo ya nyuklia ya Vienna kwa ajili ya kuiondolea vikwazo Iran iliyosimama kwa siku kadhaa, ilianza tena Jumanne ya jana tarehe 8 Februari.