-
Mwenendo chanya wa mazungumzo ya Vienna; kilichobakia ni azma ya kweli ya Wamagharibi
Jan 08, 2022 06:39Mazungumzo kati ya wawakilishi wa Iran na wa kundi la 4+1 linaloundwa na Russia, China, Uingereza, Ufaransa na Ujerumani kuhusu kuiondolea Iran vikwazo yangali yanaendelea huku vikao mbalimbali nyeti na muhimu kuhusu masuala tofauti vikifanyika mtawalia na kwa wakati mmoja.
-
Spika wa Bunge, Mawaziri Wakuu wa zamani wa Tunisia kupandishwa kizimbani
Jan 07, 2022 23:19Spika wa bunge lililovunjwa la Tunisia na Mawaziri Wakuu wa zamani wa nchi hiyo watafikishwa kizimbani kwa tuhuma za kukiuka sheria za kampeni za kisiasa na kutobainisha vyanzo vya fedha zao wakati wa kampeni za uchaguzi.
-
Sisitizo la China la kuitaka Marekani iiondolee vikwazo Iran
Jan 07, 2022 04:02Kabla ya kuanza duru ya nane ya mazungumzo ya Vienna kuhusu JCPOA, China imeitaja Marekani kuwa mhusika katika uvurugaji mapatano ya JCPOA na hivyo imeitaka isitishe utekelezaji wa sera zake za vikwazo na mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran. Zhao Lijian Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema ni wazi kuwa, kwa mtazamo wa kisheria na kimaadili, vikwazo vyote vya Marekani dhidi ya Iran vinapaswa kuondolewa.
-
Ujumbe wa kimkakati wa kutekwa na kutwaliwa meli ya Imarati katika maji ya Yemen
Jan 06, 2022 23:52Kutekwa na kutwaliwa meli ya Imarati katika maji ya Yemen kunatuma ujumbe muhimu kwa nchi vamizi zinazoongozwa na Saudi Arabia.
-
Kuongezeka vitendo vya ukatili nchini Marekani; 400 wauawa katika siku nne za mwanzo wa mwaka 2022
Jan 06, 2022 05:11Vitendo vya ukatili na utumiaji mabavu vinatishia kwa kiwango kikubwa sana maisha ya raia wa Marekani na ripoti zinassma kuwa, Wamarekani 400 wameuawa kwa kupigwa risasi katika siku nne tu za mwanzo za mwaka huu mpya wa 2022 na wengine 277 wamejeruhiwa.
-
Uzayuni hauna nafasi yoyote katika mustakbali wa dunia
Jan 05, 2022 23:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu upayukaji wa waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, Tehran iko imara katika kulinda maslahi yake ya kitaifa na kwamba, Uzayuni hauna nafasi katika mustakbali wa dunia.
-
Tarehe mpya ya Uchaguzi wa Rais nchini Libya
Jan 05, 2022 06:31Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Libya imetangaza tarehe 24 mwezi huu wa Januari 2022 kuwa siku ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo licha ya kwamba bado kuna hitilafu kuhusu wakati hasa unaopaswa kufanyika uchaguzi huo.
-
Kujiuzulu Waziri Mkuu Hamdok na kushitadi mgogoro wa kisiasa nchini Sudan
Jan 04, 2022 23:10Abdalla Hamdok, Waziri Mkuu wa Sudan ambaye hivi karibuni alitishia kujiuzulu, hatimaye Jumapili usiku alitangaza rasmi kujiuzulu nafasi hiyo mbele ya waandishi wa habari.
-
Luteni Jenerali shahidi “Qassem Soleimani” nembo ya matumaini, kujiamini, ushujaa na siri ya muqawama na ushindi
Jan 04, 2022 09:29Jumatatu ya jana tarehe 3 Januari 2022, ilisadifiana na kumbukumbu ya mwaka wa pili wa mauaji ya Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaliyofanywa na serikali ya Marekani.
-
Ahadi ya Marekani ya kuilinda Ukraine
Jan 03, 2022 23:15Jumapili iliyopita Rais wa Marekani Joe Biden alizungumza kwa njia ya simu na mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelinsky, na kujadili jinsi Marekani na washirika wake watakavyojibu shambulio lolote la kijeshi la Russia dhidi ya nchi hiyo.