-
Umoja wa Mataifa waunga mkono kufanyika uchaguzi wa Libya katika wakati mwafaka
Dec 24, 2021 08:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amehimiza kufanyika uchaguzi mkuu wa Bunge na Rais katika tarehe mwafaka nchini Libya.
-
Kupasisha UN azimio la kufungua njia za misaada Afghanistan baada ya maandamano ya kulalamikia ubeberu wa Marekani mjini Kabul
Dec 23, 2021 22:59Wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano walipasisha kwa kauli moja azimio la kurahisisha kutumwa misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan baada ya wakazi wa Kabul, mji mkuu wa Afghanistan kufanya maandamano ya kulalamikia ubeberu wa Marekani wa kuzuia mali za nchi yao na kuwasababishia matatizo makubwa wananchi hao.
-
Safari ya Guterres na kunyamazia kwake kimya ukaidi wa Israel wa kutoheshimu anga ya Lebanon
Dec 23, 2021 04:57Spika wa Bunge la Lebanon, Nabih Berri Jumatatu alifanya mazungumzo na waandishi wa habari akiwa pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres na alikumbushia wajibu wa kuchorwa mpaka wa wazi baina ya Lebanon na ardhi za Palestina.
-
Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya
Dec 22, 2021 23:20Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake ina haki kamili ya kujihami dhidi ya hatua zisizo za kirafiki za Marekani na akabainisha kwamba Moscow itachukua hatua mwafaka za kijeshi na kiufundi juu ya suala hilo.
-
Kufa shahidi Balozi wa Iran nchini Yemen na ukubwa wa jinai ya mzingiro iliowekewa nchi hiyo na utawala wa Aal Saud
Dec 22, 2021 07:30Kufa shahidi Hasan Irlu, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Sana'a kumedhihirisha ukubwa wa jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Saud nchini humo.
-
Radiamali ya Taliban kwa matamshi ya Waziri Mkuu wa Pakistan
Dec 21, 2021 23:06Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa serikali ya Taliban ametoa radiamali kwa matamshi ya Waziri Mkuu wa Pakistan akisema kuwa: Hakuna mtu atakayeruhusiwa kutumia ardhi ya Afghanistan dhidi ya mataifa mengine.
-
Kuendelea mgogoro nchini Sudan sambamba na kukandamizwa wapinzani
Dec 21, 2021 06:05Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ungali unaendelea. Akthari ya raia wa Sudan wameendelea kujitokeza katika barabara na mitaa ya miji mbalimbali ya nchi hiyo wakionyesha upinzani wao dhidi ya utawala wa kijeshi na kusisitiza kueendeleza maandamano hadi demokrasia itakapochukua mkondo wake.
-
Ulegezaji kamba katika misimamo ya Taliban, kutoka maneno hadi vitendo
Dec 20, 2021 23:12Msimamizi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Afghanistan katika serikali ya mpito ya Taliban amesema kuwa kushirikishwa Waafghani wote katika muundo wa serikali ya nchi hiyo ni jambo la lazima.
-
2021; mwaka wa vifo vingi zaidi vya watoto wa Palestina katika kipindi cha miaka 7 iliyopita
Dec 20, 2021 06:33Tovuti moja ya habari ya utawala wa Kizayuni wa Israel imeripoti kuwa, baada ya mwaka 2014 yaani wakati vilipotokea vita vya siku 51 na kuuawa shahidi idadi kubwa ya watoto wa Palestina, mwaka huu wa 2021 ndio ulioshuhudia idadi kubwa zaidi ya watoto wa Kipalestina waliouliwa shahidi na Israel.
-
Takwa la China la kuondolewa vikwazo vya Iran
Dec 19, 2021 23:01Mwakilishi wa China katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ametaka kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Geng Shuang amesema Marekani imekosea katika kuanzisha mgogoro wa nyuklia wa Iran na kuitaka Washington iondoe vikwazo vyake vya upande mmoja ili kuandaa mazingira ya kurejea katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.