-
Uhalifu wa Magharibi: Jinsi Marekani ilivyowatumia binadamu 5,000 kama panya wa maabara huko Guatemala
Aug 31, 2025 02:12Uchunguzi wa historia ya elimu na sayansi ya Marekani unaonyesha kuwa mitazamo ya ubaguzi wa rangi dhidi ya binadamu wasio wazungu nchini Marekani imewafanya watafiti nchini humo kuwatumia binadamu, hasa weusi kutoka Afrika na watu maskini, kama panya wa maabara.
-
Sababu za Iran kuitambua hatua ya Troika ya Ulaya ya kutekeleza snapback kuwa kinyume cha sheria
Aug 30, 2025 07:16Kikao cha faragha cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kushughulikia uzinduzi wa mchakato wa kuanzisha utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran (snapback) wa Troika ya Ulaya kilifanyika jana Ijumaa, Agosti 29.
-
Kwa nini doria ya kwanza ya pamoja ya nyambizi za Russia na China ni muhimu?
Aug 29, 2025 23:01Doria ya pamoja ya nyambizi za Russia na China imefanyika kwa mara ya kwanza katika eneo la Asia-Pasifiki.
-
Kwa nini zaidi ya wanadiplomasia 200 wa Ulaya wanaukosoa Umoja wa Ulaya kwa kutochukua hatua kuhusu vita vya Gaza?
Aug 29, 2025 06:33Idadi kubwa ya wanadiplomasia wakuu wa zamani wa Ulaya wametaka Umoja wa Ulaya au nchi wanachama wachukue hatua za haraka kuhusiana na vita vya utawala wa Kizayuni huko Gaza na hatua zake zilizo kinyume cha sheria katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Trump dhidi ya Modi: Ni nini matokeo ya kuanza rasmi vita vya ushuru vya Marekani dhidi ya India?
Aug 28, 2025 07:16Marekani imeanza kutekeleza ushuru wa asilimia 50 kwa bidhaa zinazoingizwa nchini humo kutoka India.
-
Kwa nini utawala wa Kizayuni hauna uwezo wa kukabiliana na mashambulizi ya makombora ya muqawama wa Yemen?
Aug 27, 2025 22:56Maafisa wa utawala wa Kizayuni wamekiri kwamba utawala huo hauna uwezo wa kukabiliana na mashambulizi ya makombora ya muqawama wa Yemen, ambayo yanalenga kwa usahihi mkubwa shabaha zilizoko katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Kwa nini Iran inataka hatua kali zaidi zichukuliwe na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu dhidi ya utawala wa Kizayuni?
Aug 27, 2025 03:44Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran karibuni hivi alifika mjini Jeddah, Saudia kwa ajili ya kushiriki katika kikao cha dharura cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu na kukitaja kikao hicho kuwa mtihani wa kihistoria kwa Umma wa Kiislamu na pengine miongoni mwa fursa chache za kuunda muungano wa kieneo na kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Je, kustawishwa ushirikiano wa Russia na India ni jibu kwa sera ya mashinikizo ya Trump?
Aug 26, 2025 22:51Sambamba na mashinikizo ya utawala wa Trump dhidi ya India ili ipunguze uhusiano wake na Russia, Waziri wa Mambo ya Nje wa India alisafiri hadi Moscow na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Russia Vladimir Putin.
-
Pigo jingine kwa Mpango wa Abraham; Kwa nini Libya inapinga uhusiano wa kawaida na Israel?
Aug 26, 2025 08:33Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya imekataa nchi hiyo kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Je, inatosha kwa nchi za Magharibi kulaani kwa maneno matupu jinai za utawala wa Israel?
Aug 25, 2025 23:12Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi 21 za Magharibi kwa pamoja wamelaani uamuzi wa Israel wa kujenga makaazi mapya ya walowezi wa Kizayuni huko Quds Mashariki.