-
Kwa nini Tel Aviv inaogopa kutambuliwa rasmi nchi huru ya Palestina?
Sep 22, 2025 07:50Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limejiweka kwenye hali ya tahadhari kukabiliana na matukio yanayoweza kutokea baada ya baadhi ya nchi za Magharibi kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina.
-
Kurudi kwenye meza ya mazungumzo; masharti ya Iran na wajibu wa pande za Magharibi na IAEA
Sep 21, 2025 03:42Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa notisi likisisitiza kuwa ushirikiano na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA utasitishwa hivi karibuni.
-
Je, Israel inakabiliwa na "Hatima ya Afrika Kusini"?
Sep 21, 2025 02:33Tovuti ya Kiingereza ya BBC katikati ya Septemba 2025 katika makala ya kina yenye kichwa cha habari kilichosomeka "Je, Israel Inakabiliwa na 'Hatima ya Afrika Kusini'?" Ilizungumzia suala la kujikariri uzoefu wa Afrika Kusini kwa utawala ghasibu wa Israel.
-
Kupinga nchi za Magharibio azimio la kuondolewa vikwazo Iran
Sep 20, 2025 23:05Nchi za Magharibi zimezuia kupitishwa azimio katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililopendekezwa na Korea Kusini kuhusu kuongezwa muda wa kuondolewa vikwazo vya nyuklia Iran.
-
Je, upo uwezekano wa kutokea vita kati ya Uturuki na utawala wa Kizayuni?
Sep 20, 2025 06:19Mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya Qatar yamezidisha mivutano kati ya Uturuki na Israel na kuibua uwezekano wa kutokea makabiliano ya moja kwa moja kati ya Ankara na Tel Aviv.
-
Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika
Sep 19, 2025 23:03Mauzo ya Iran barani Afrika yameongezeka maradufu.
-
Kuanzia kupambana na ubaguzi wa rangi hadi kushirikiana na wavamizi; Nigeria inaelekea wapi?
Sep 19, 2025 11:37Nigeria imesimama na mataifa yanayodhulumiwa katika miongo kadhaa iliyopita, hasa katika mapambano dhidi ya utawala wa kibaguzi nchini Afrika Kusini, na imetetea misingi ya haki na kupinga ukoloni.
-
Jinai kwa kinga; je, utawala wa Kizayuni unakanyaga vipi sheria za vita?
Sep 18, 2025 23:03Katika taarifa, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali shambulio la jeshi la utawala ghasibu wa Israel dhidi ya raia karibu na hospitali ya Shafa, magharibi mwa Gaza na kulitaja kuwa jinai kubwa ya kivita.
-
Ushirikiano wa Iran na Saudi Arabia kwenye njia ya kusaidiana na utaratibu mpya wa kikanda
Sep 18, 2025 07:41Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mohammed bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia wamekutana mjini Riyadh na kujadili uhusiano wa pande mbili na matukio ya kieneo.
-
Je, kuondolewa ukoloni na kuhuishwa utambulisho wa kitaifa kumeathiri vipi sekta ya utalii barani Afrika?
Sep 17, 2025 06:48Bara la Afrika limerekodi kasi ya juu ya ukuaji wa utalii katika nusu ya kwanza ya mwaka huu, kadiri kwamba safari za watalii wa kimataifa wanaotembelea bara hili zimeongezeka kwa asilimia 12 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliopita.