-
Je, ushirikiano wa kijeshi wa Marekani na Nigeria unaongeza hatari ya ukiukaji wa haki za binadamu?
Aug 25, 2025 02:23Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitangaza kuwa ili kuisaidia Nigeria katika mapambano dhidi ya makundi ya kigaidi, imekubali kuiuzia nchi hiyo silaha zenye thamani ya takriban dola milioni 346.
-
TICAD inaimarisha vipi nafasi ya Afrika katika siasa na uchumi wa dunia?
Aug 24, 2025 23:01Mkutano wa 9 wa Kimataifa wa Maendeleo ya Afrika, Tokyo International Conference on African Development (TICAD), ulimalizika Ijumaa, Agosti 22 kwa kusainiwa mikataba takriban 300 ya ushirikiano kati ya taasisi za Japan na Afrika kuhusu masuala mbalimbali ya afya, teknolojia, elimu, kilimo, maendeleo ya miundombinu na ujenzi wa miundomsingi.
-
Hatua ya Trump dhidi ya Bolton; ulipizaji kisasi binafsi au utakaso wa kisiasa?
Aug 24, 2025 02:58Rais Donald Trump wa Marekani, daima amekuwa akimulikwa na vyombo vya habari kutokana na mtindo wake tata wa uongozi na mbinu za hujuma dhidi ya wapinzani wake wa kisiasa. Mojawapo ya mifano ya wazi zaidi ya tabia hii ni hatua yake ya karibuni dhidi ya John Bolton, Mshauri wake wa zamani wa Usalama wa Taifa, ambaye amekuwa ishara ya mivutano ya ndani katika utawala wake.
-
Je, Israeli bado ni nchi ya kitaifa ya Mayahudi au ni kituo cha muda tu ambacho kinakimbiwa hata na wafuasi kindakindaki?
Aug 23, 2025 23:26Washirika wa muda mrefu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamevunja mwiko wa uungaji mkono usio na masharti kwa Tel Aviv kwa kulitambua rasmi taifa la Palestina na kulaani mienendo na sera za waziri mkuu katili wa utawala huo, Benjamin Netanyahu.
-
Kashfa kubwa ya utawala wa Kizayuni: Israel, kituo kikubwa zaidi cha biashara ya dawa za kulevya barani Ulaya
Aug 23, 2025 06:09Kwa mujibu wa ripoti ya kituo cha runinga cha Israel, Channel 12, Israel inazidi kuwa kitovu kikuu cha biashara ya dawa za kulevya kuelekea katika nchi za Ulaya.
-
Kwa nini Rais wa Colombia ametahadharisha kuhusu njama za Marekani za kuigeuza Venezuela kuwa Syria nyingine?
Aug 23, 2025 00:28Rais wa Colombia ametahadharisha kuwa Marekani inaweza kuifanya Venezuela kuwa Syria nyingine.
-
Ziara ya Pezeshkian Yerevan na Minsk; Kufafanuliwa tena nafasi ya Iran katika mfumo mpya wa Eurasia
Aug 22, 2025 04:31Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezzekian, katika nchi za Armenia na Belarus, wanachama wawili wa Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia ni lengo la Tehran la kuendeleza uhusiano wa kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni na nchi za eneo hilo na zile za Caucasus Kusini.
-
Jibu la Tunisia kwa kauli ya Netanyahu ni ishara ya wasiwasi wa nchi za Kiarabu kuhusu mipango ya upanuzi ya Israel
Aug 21, 2025 22:43Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano ya kupinga uzayuni wakilaani matamshi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu, kuhusu kile kinachoitwa “Israeli Kubwa.”
-
Je, Marekani kwa vikwazo vipya dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) inajiona kuwa juu ya sheria?
Aug 21, 2025 09:31Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetaja vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya taasisi hiyo kuwa ni shambulio la wazi dhidi ya uhuru wa mahakama.
-
Kwa nini utawala wa kizayuni wa Israel unataka kuzidisha satua na ushawishi wake barani Afrika?
Aug 20, 2025 23:29Katika mwendelezo wa hatua za kujaribu kuwa na satua na ushawishi katika nchi za Kiafrika, waziri wa mambo ya nje wa utawala wa kizayuni wa Israel Gideon Saar siku ya Jumanne alielekea Zambia katika safari ya kidiplomasia barani Afrika, madhumuni makuu yakiwa ni kufungua ubalozi wa utawala huo haramu nchini humo.