-
Faili chafu la uingiliaji wa Marekani katika masuala ya Iran; kuanzia Mapinduzi ya Agosti 1953 hadi Vita vya Siku 12
Aug 20, 2025 06:12Miaka 72 iliyopita mnamo Agosti 19, 1953, Wamarekani waliandaa mapinduzi ya kijeshi yaliyoiondoa madarakani serikali halali iliyochaguliwa na wananchi nchini Iran, hatua iliyoashiria kuanza kwa uadui wa kudumu wa viongozi wa Marekani dhidi ya wananchi wa Iran unaoendelea hadi leo.
-
Mkutano wa Washington kwa ajili ya amani nchini Ukraine; misukumo na changamoto
Aug 19, 2025 22:48Mkutano wa viongozi wa Ulaya na Marekani kuhusu Ukraine ulifanyika mjini Washington siku ya Jumatatu.
-
Kwa nini maandamano yameshadidisha hali mbaya ya mgogoro Israel?
Aug 19, 2025 06:56Mgogoro wa hivi sasa katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na kushadidi maandamano yanaashiria kudhoofika muundo wa kisiasa na kiusalama wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kwa nini viongozi wa Ulaya wanaandamana na Zelensky katika safari yake ya Washington?
Aug 18, 2025 23:15Baadhi ya viongozi wa Ulaya, wameamua kuandamana na Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine katika safari yake ya kwenda Washington katika hatua ya kidiplomasia ya kuunga mkono misimamo ya Ukraine katika mazungumzo yake na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya mashinikizo ya nchi hiyo ya kumtaka akubali haraka makubaliano ya amani.
-
Kwa nini Ulaya sasa inatafuta kuamilisha utaratibu wa Snapback baada ya miaka mingi ya kutokuchukua hatua?
Aug 18, 2025 04:53Wakati nchi tatu za Ulaya zinajaribu kutumia utaratibu wa Snapback dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, mbali na Iran yenyewe, Russia na China pia zinapinga utumiaji wa utaratibu huo au urejeshaji otomatiki wa vikwazo vya Umoja wa Mataifa, na kuutaja kuwa kinyume cha sheria.
-
Kwa nini msimamo wa Umoja wa Nchi za Kiislamu dhidi ya mpango wa "Israel Kubwa" ni hatua ya kukabiliana na kujitanua kwa utawala wa Kizayuni?
Aug 17, 2025 23:24Katika radiamali ambayo haijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, nchi 31 za Kiislamu zimetoa taarifa ya pamoja zikilaani mpango wa Benjamin Netanyahu wa kuunda "Israeli Kubwa" na huku zikitahadharisha kuhusu hatari ya sera hiyo ya kupenda kujitanua, zimeutaja mpango huo kuwa tishio kwa usalama wa eneo, ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na hatua ya kuchochea ghasia na ukosefu wa amani katika eneo la Asia Magharibi.
-
Balozi wa Iran awashukuru viongozi wa serikali na kidini wa Iraq kwa kufanikisha maadhimisho ya Arbaeen
Aug 17, 2025 07:14Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Iraq ametoa shukurani zake za dhati kwa mamlaka kuu, serikali, wananchi, viongozi wa makabila na vikosi vya usalama vya Iraq kwa kuandaa kwa mafanikio maadhimisho ya Arbaeen ya Imam Hussein (as) na kulitaja suala hilo kuwa mfano usio na mbadala, wa wema na ukarimu wa Wairaki.
-
Je, nini hatima ya kuipokonya silaha Hizbullah ya Lebanon?
Aug 17, 2025 01:51Katika wiki za hivi karibuni, mpango wa kuipokonya silaha Hizbullah nchini Lebanon umewasilishwa kwa mashinikizo ya Marekani na uungaji mkono wa utawala ghasibu wa Israel.
-
Ni yapi matokeo ya mkutano wenye utata wa Trump na Putin?
Aug 16, 2025 07:57Hatimaye, baada ya kusubiri kwa muda mrefu na uvumi kuhusu mkutano kati ya Marais Donald Trump wa Marekani na Vladimir Putin wa Russia kuhusu vita vya Ukraine, mkutano huo hatimaye ulifanyika Ijumaa, Agosti 15 huko Alaska.
-
Je, nchi za Amerika ya Kusini zimepokea vipi mpango wa Israel wa kukalia kwa mabavu Gaza?
Aug 15, 2025 22:47Nchi nyingi za Amerika ya Kusini zimekuwa na misimamo ya kukosoa waziwazi mpango wa utawala wa Kizayuni wa kuikalia kijeshi Gaza. Bila shaka, baadhi ya nchi, kama vile Argentina, zimechukua msimamo tofauti wa kuiunga mkono Tel Aviv.