-
Je, Umoja wa Mataifa na jamii ya kimataifa zina nafasi gani katika kukabiliana na uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran?
Jul 01, 2025 01:25Katika barua yake kwa Katibu Mkuu na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Seyyed Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza juu ya kuwajibishwa kisheria utawala wa Kizayuni na Marekani kufuatia hatua zao za kichokozi dhidi ya Iran.
-
Rais Pezeshkian: Mienendo ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki inaibua wasiwasi
Jun 30, 2025 23:04Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Mienendo ya hivi karibuni ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) inatia wasiwasi na inasababiisha changamoto kubwa kwa imani ya umma ya taifa la Iran."
-
Je, Iran imekabiliana vipi na bwabwaja za Trump dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi?
Jun 30, 2025 02:16Bwabwaja na hambarara za Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Imam Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran zimekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa viongozi wa Iran.
-
Je, mahudhurio ya mamilioni ya watu katika mazishi ya "Mashahidi wa Nguvu" yametoa ujumbe gani kwa walimwengu?
Jun 29, 2025 08:25Mazishi ya "Mashahidi wa Nguvu" ya Iran yamekuwa dhihirisho la mshikamano na uzalendo wa Wairani wa matabaka tofauti, ambao wametuma ujumbe wa umoja wao wa kitaifa kwa walimwengu kupitia ushiriki wao mkubwa katika mazishi hayo.
-
Je, Iran ilipata mafanikio gani ya kimkakati katika Vita vya Siku 12?
Jun 29, 2025 00:54Licha ya Vita vya siku 12 kati ya utawala wa Kizayuni na Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kusababisha hasara kubwa ya kimaada na isiyo ya kimaada, lakini pia vimekuwa na mafanikio ya kistratijia kwa Iran.
-
Je, vita vya Israel dhidi ya Iran vilikuwa na sifa zipi maalumu?
Jun 28, 2025 04:13Vita vya siku 12 vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vina sifa maalumu zinazotofautiana na vita vingine vya kieneo.
-
Donald Trump, Rais wa vita
Jun 25, 2025 07:39Baada ya hujuma ya hivi majuzi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, gazeti la Russia limemtaja Donald Trump kuwa "Rais wa Vita".
-
Je, kwa nini Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halikulaani Israel?
Jun 16, 2025 03:51Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika kwa ombi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel dhidi ya Iran, kwa mara nyingine tena kimefichua siasa za kundumakuwili za kimataifa na mapungufu makubwa yaliyoko katika muundo wa Baraza la Usalama.
-
Mashambulio ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Iran dhidi ya Israel, mwisho wa zama za "kushambulia na kukimbia" kwa Israel.
Jun 15, 2025 08:45Baada ya utawala wa Kizayuni kuishambulia Iran kwa ushirikiano wa Washington asubuhi ya Ijumaa, Juni 13, na kupelekea kuuawa shahidi idadi kubwa ya makamanda waandamizi wa kijeshi na wanasayansi, pamoja na raia wa kawaida, Iran, kama ilivyoahidi awali, ilianza kutoa jibu kali kwa jinai hiyo na mauaji ya kimbari Ijumaa usiku kupitia operesheni ya mashambulio ya makombora na ndege zisizo na rubani, iliyopewa jina la Ali ibn Abi Talib.
-
Operesheni ya Iran dhidi ya Israel itaendelea kadiri itakavyolazimu
Jun 14, 2025 04:13Operesheni ya kulipiza kisasi ya Ahadi ya Kweli III inayotekelezwa na Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel itaendelea kadiri inavyohitajika. Haya yamesemwa na Mshauri Mkuu wa Kijeshi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.