-
Tuhuma dhidi ya Iran zaendelea licha ya Grossi kukiri tena kwamba Iran haitengenezi silaha za nyuklia
Jul 11, 2025 23:04Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesisitiza kuwa, hakuna ushahidi wa kuaminika kwamba Iran imepata silaha za nyuklia na kusisitiza ulazima wa kutatuliwa kidiplomasia suala la nyuklia la Iran.
-
Jibu la swali la leo; Kwa nini Ujerumani inataka kuongeza kwa kiasi kikubwa gharama zake za kijeshi?
Jul 11, 2025 04:48Katika hotuba yake kwa bunge la nchi hiyo Bundestag, Kansela wa Ujerumani, Friedrich Merz, sambamba na kuunga mkono ongezeko kubwa la gharama na matumizi ya kijeshi, alisisitiza kuwa anataka kuligeuza jeshi la nchi yake kuwa taasisi ya kupigiwa mfano na inayoongoza katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO).
-
Unajua kwa nini Marekani imemuwekea vikwazo Ripota Maalumu wa UN kuhusu Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu?
Jul 10, 2025 22:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, alitangaza Jumatano, Julai 9, kwamba atamuwekea vikwazo Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu, kwa kile alichokiita "juhudi zisizo halali zinazohusiana na uchunguzi wake kuhusu vita vya Israel dhidi ya watu wa Gaza" na eti kwa kuchukua "hatua dhidi ya maafisa wa Marekani na Israel."
-
Kwa nini shambulizi la kuvizia la Beit Hanoun ni kipigo kikubwa kwa Israel?
Jul 10, 2025 10:40Wanamapambano wa harakati ya Hamas wamefanya shambulizi la kuvizia la awamu nne huko Beit Hanoun na kuua wanajeshi watano wa Israel na kuwajeruhi wengine 14.
-
Kwa nini watu wengi duniani wana mtazamo hasi kuhusu Marekani?
Jul 09, 2025 23:19Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliochapishwa na Kituo cha Utafiti cha Pew, watu wa Canada na Mexico, majirani wawili wa karibu wa Marekani, wanaitambua nchi hiyo kuwa tishio kubwa zaidi kwao.
-
Sababu za kufeli duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Hamas na Israel
Jul 09, 2025 10:31Duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Hamas nchini Qatar kuhusiana na mapatano ya kusitisha vita huko Gaza na kubadilishana mateka, imemalizika bila mafanikio ya maana.
-
Kwa nini njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimeshindwa licha ya kuzingirwa Gaza?
Jul 08, 2025 23:05Licha ya kuendelea mzingiro wa Gaza na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina, lakini makundi ya muqawama ya Palestina yanaendelea kusimama kidete na kukabiliana na njama za Wazayuni.
-
Kwa nini mizozo ya madola ya Ulaya kuhusu jinsi ya kukabiliana na vita vya ushuru vya Trump imeongezeka?
Jul 08, 2025 09:59Rais wa Marekani Donald Trump kwa mara nyingine tena ameibua vita vya kibiashara na ulimwengu kwa kutangaza kwamba, ataamua kiwango cha ushuru wa bidhaa zinazoagizwa kutoka nje kwa kutuma barua kwa nchi 12 kuanzia Jumatatu ya jana, Julai 7.
-
Kundi la BRICS lakutana Brazil na kulaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Jul 08, 2025 05:19Taarifa ya mwisho ya mkutano wa viongozi wa kundi la BRICS, imesema: “Tunalaani mashambulizi ya kijeshi yaliyoanza tarehe 13 Juni 2025 dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, yaliyofanywa na utawala wa Israel na Marekani, kwani yanakiuka sheria za kimataifa.”
-
Tishio la kibiashara la Trump dhidi ya nchi zinazoshirikiana na BRICS
Jul 07, 2025 07:53Kufuatia kuongezeka kwa ushawishi wa kundi la BRICS katika uchumi wa dunia, Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kutoza ushuru wa ziada wa asilimia 10 kwa nchi yoyote itakayoshirikiana na BRICS.