-
Araghchi: Iran yaendelea kusimama imara, Marekani yaelewa vyema msimamo wa nyuklia wa Tehran
May 24, 2025 00:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amepongeza duru mpya ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani akiyataja kuwa mojawapo ya "mazungumzo ya kitaalamu zaidi" kuwahi kufanyika, akisisitiza kuwa Tehran itaendelea kusimama imara na kushikilia misimamo yake "iliyo wazi kabisa".
-
Je, mfumo mpya wa kikanda unaofuatiliwa na Iran una sifa gani?
May 23, 2025 23:02Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefafanua mfumo mpya wa kieneo unaofuatiliwa na Iran, katika makala iliyochapishwa kwenye tovuti ya Jukwaa la Mazungumzo la Tehran.
-
Je, kwa nini Trump amenyamazia kimya mauaji ya kimbari huko Gaza, huku akidai yametokea Afrika Kusini?
May 23, 2025 02:27Akizungumza siku ya Jumatano katika kikao chenye mvutano na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Rais Donald Trump wa Marekani alichukua hatua ya kushanga kwa kumuonyesha video ya kiongozi mmoja wa mrengo wa kulia wa Afrika Kusini aliyetoa wito wa kuuawa wakulima weupe ili kuthibitisha madai yake kuhusu kile kinachodaiwa kuwa mauaji ya kimbari dhidi ya wazungu wa nchi hiyo.
-
Umoja wa Ulaya kutazama upya mkataba wa ushirikiano wake na Israel
May 22, 2025 23:10Kufuatia kushadidi jinai za utawala wa kibaguzi wa Israel huko Gaza na kuibuliwa mzozo wa kibinadamu usio na mfano wake katika ukanda huo unaozingirwa, Umoja wa Ulaya umeanza kufanyia marekebisho makubwa mapatano ya biashara na ushirikiano kati yake na Israel.
-
Kwa nini Marekani inafuatilia suala la kuongeza bajeti za kijeshi za wanachama wa NATO?
May 22, 2025 03:17Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kufikia mkutano wa kilele wa NATO mwezi Juni mwaka huu, nchi zote wanachama wa muungano huo wa kijeshi zitakuwa zimekubaliana kutenga asilimia 5 ya pato lao la ndani kwa ajili ya ulinzi katika kipindi cha muongo mmoja ujao.
-
Kwa nini Uhispania imeongeza mashinikizo dhidi ya Israel?
May 21, 2025 22:48Bunge la Uhispania limepitisha muswada unaoitaka serikali ya nchi hiyo kuacha kuuzia utawala ghasibu wa Israel zana zozote za kijeshi.
-
Sababu za kukatisha tamaa mazungumzo ya simu ya Trump na Putin kuhusu usitishaji vita nchini Ukraine
May 21, 2025 07:49Kuakisiwa mazungumzo ya simu kati ya Donald Trump na Putin kunaonyesha mfadhaiko na kutiliwa shaka kubwa juhudi za kumaliza vita nchini Ukraine.
-
Ghadhabu za asasi za Marekani kutokana na kushadidi jinai za Israel Ukanda wa Gaza
May 20, 2025 22:55Sisitizo la utawala ghasibu wa Israel la kuendeleza vita vya kutisha vya Gaza katika mwezi wake wa ishirini na mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina, kuitumia njaa kama silaha na kuunda baa la njaa bandia huko Gaza kumepelekea kuibuka radiamali za kimataifa ikiwemo ndani ya Marekani.
-
Ujumbe wa Mkutano wa Kimataifa wa Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran katika kufafanua upya diplomasia ya kikanda
May 20, 2025 09:31Kikao cha nne cha Jukwaa la Mazungumzo Ya Tehran kimefanyika hapa mjini Tehran, kikisisitiza "wakala wa kikanda" na ulazima wa kuunda utaratibu mpya kutoka ndani ya eneo.
-
Sababu ya Iran kutolegeza msimamo kuhusu haki yake ya kurutubisha madini ya urani
May 20, 2025 00:19Ikiwa ni katika kujibu matamshi ya Steve Whitkoff, mkuu wa timu ya mazungumzo ya Marekani, Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: "Kufikiwa makubaliano kunawezekana na tuko tayari kuingia katika mazungumzo mazito. Kwa vyovyote vile, urutubishaji nchini Iran utaendelea tu, makubaliano yafikiwe au la."