-
Sababu za Chad kusimamisha utoaji visa kwa raia wa Marekani
Jun 07, 2025 09:55Kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani wa kuwawekea vikwazo vya usafiri raia wa nchi 12 ambazo kimsingi ni za Waislamu na za Kiafrika, nchi nyingi kati ya hizo zimeuchukulia uamuzi huo kuwa unatokana na siasa za utaifa na zinaziponga uhamiaji za Rais Donald Trump.
-
Je, licha ya maonyo haya yote, wanaodao kutetea haki za binadamu wako wapi?
Jun 06, 2025 22:40Zaidi ya watu milioni 2 katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na baa la njaa kali, huku jamii ya kimataifa ikiamua kukaa kimya tu na kutochukua hatua yoyote ya maana ya kuokoa maisha ya watu hao wanaoendelea kuteseka chini ya ukandamizaji na jinai za kutisha za utawala wa Kizayuni kwa ushirkiano wa serikali za Marekani na nchi nyingine za Magharibi.
-
Imam Khomeini: Urithi wa uongozi wa kidini na kimapinduzi
Jun 05, 2025 06:55Katika mwaka wa 36 wa maadhimisho ya kuaga dunia Imam Ruhollah Khomeini (MA), mwanzilishi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 nchini Iran, fikra zake zingali zinaendelea kuathiri sio tu mwelekeo wa kisiasa wa Jamhuri ya Kiislamu bali pia mijadala mipana zaidi kuhusu mahusiano kati ya Uislamu na siasa katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Kwa nini Trump ameshindwa kutatua migogoro ya kimataifa licha ya ahadi zote alizotoa?
Jun 05, 2025 02:28Katika makala yake iliyopitia miezi minne ya kwanza ya utawala wa pili wa Donald Trump, tovuti ya CNN imeandika kwamba kabla ya kuingia madarakani, rais huyo alijigamba kwamba alikuwa na uwezo wa kutatua matatizo na migogoro mikubwa ya dunia, lakini hali ya sasa sio nzuri hata kidogo, ingawa yeye si rais pekee wa Marekani kutoa ahadi za uongo kuhusu suala hilo.
-
Trump na matakwa ya kupindukia kwa Iran: Je, Washington inataka kufikia makubaliano au kutwisha matakwa?
Jun 05, 2025 00:45Rais Donald Trump wa Marekani amekariri matakwa ya kupindukia mipaka ya Washington kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa Iran kwa ajili ya kufikiwa mapatano ya pande mbili.
-
Kwa nini mashinikizo dhidi ya Netanyahu hayafanyi kazi?
Jun 04, 2025 07:32Mauaji ya Wapalestina wanaoishi Gaza yanayofanywa na utawala wa Kizayuni yangali yanaendelea, huku nchi na jumuiya mbalimbali za kimataifa zikitoa wito wa kukomeshwa mauaji hayo mara moja.
-
Kwa nini nchi za Amerika ya Latini zimejiunga na safu ya wakosoaji wa Israel?
Jun 03, 2025 22:57Rais Lula da Silva wa Brazil amesisitiza katika matamshi yake kwamba kinachoendelea Gaza si vita bali ni mauaji ya halaiki. Alifafanua: Tunachoshuhudia huko Gaza hivi sasa si vita kati ya majeshi mawili hata kidogo, bali kuna jeshi moja tu lenye weledi kamili ambalo linaua wanawake na watoto wa Ukanda wa Gaza.
-
Nini madhumuni ya ripoti hasi ya IAEA kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa Iran?
Jun 03, 2025 07:15Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) hivi karibuni ulitoa ripoti yake na "kuelezea wasiwasi wake mkubwa" kuhusu ongezeko la urani iliyorutubishwa hadi asilimia 60 katika hifadhi ya Iran kati ya Februari na katikati ya Mei na kuelezea ushirikiano wa Tehran na ufuatiliaji wa mpango wake wa nyuklia kuwa uko "chini ya kiwango cha kuridhisha."
-
Je, waziri mkuu mpya anaweza kuiokoa Sudan kutokana na mzozo mkubwa wa kisiasa na kiuchumi?
Jun 02, 2025 22:42Kamil Eltayeb Idris ameapishwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Sudan mbele ya Abdel Fattah Al-Burhan, Mwenyekiti wa Baraza la Utawala na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Sudan.
-
Je, kutumwa silaha za nchi za Magharibi Ukraine kunatishia vipi usalama wa Afrika?
Jun 02, 2025 02:39Mkuu wa Idara ya Ushirikiano na Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kwamba silaha za Magharibi zinazotumwa Kiev hatimaye zinaishia mikononi mwa makundi ya kigaidi yenye silaha barani Afrika.