-
Makubaliano ya ushirikiano wa kimkakati kati ya Iran na Russia; ni nini na kwa nini ni muhimu?
Jan 18, 2025 09:25Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zimetiliana saini makubaliano ya ushirikiano wa kimkakati katika safari ya Rais Masoud Pezeshkian mjini Moscow.
-
Kuchukizwa na Uzayuni, Safari Hii Uhispania
Jan 17, 2025 23:07Timu ya Maccabi Tel Aviv imeibua tena hisia kali barani Ulaya, ambapo mechi ya timu ya mpira wa kikapu ya klabu hiyo huko Uhispania iliwakutanisha maelfu ya waandamanaji mitaani.
-
Je, Marekani itaiondoa Cuba kwenye Orodha ya Nchi Zinazounga Mkono Ugaidi?
Jan 17, 2025 10:25Ikulu ya Marekani imetangaza kuwa rais wa nchi anayeondoka mamlakani Joe Biden, ataiondoa Cuba kwenye orodha ya nchi zinazounga mkono ugaidi.
-
Vikwazo; Fimbo ya Magharibi katika sera ya kigeni
Jan 16, 2025 23:25Wakati Marekani na nchi za Ulaya zimekuwa na nafasi kubwa katika kuwawekea mashinikizo ya kiuchumi watu wa Syria kwa kutumia vikwazo vya kikatili, sasa baada ya kuanguka utawala wa Bashar al-Assad na kushika madaraka kundi la Hay'at Tahrir al-Sham, kuna minong'ono kwamba nchi hizo zina nia ya kupunguza vikwazo dhidi ya nchi hiyo.
-
Kuchunguzwa matokeo ya usitishaji vita Ukanda wa Gaza
Jan 16, 2025 09:50Baada ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kutangaza rasmi kukubali usitishaji vita na kuanza mchakato wa kuhitimisha vita katika ukanda huo, hapana shaka kuwa masuuala ya kimedani na kisiasa katika eneo hilo yataathiriwa na tukio hilo.
-
Russia yasisitiza umuhimu wa Mkataba wa Ushirikiano wa Kina wa Kistratejia na Iran
Jan 16, 2025 00:58Dmitry Peskov, msemaji wa Ikulu ya Kremlin (makao makuu ya urais wa Russia), Jumanne alisema kuwa Russia inatilia umuhimu mkubwa kusainiwa mkataba wa ushirikiano wa kina wa kistratejia na Iran, akibainisha kuwa hatua hiyo ni sehemu muhimu sana ya safari ya Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini humo.
-
Cuba yaungana na kesi ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki
Jan 15, 2025 07:25Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imetangaza kuwa Cuba imewasilisha ombi la kujiunga na kesi ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo katika Ukanda wa Gaza.
-
Kushadidi mvutano baina ya Pakistan na Taliban kuhusu chimbuko la ugaidi
Jan 14, 2025 23:04Anga ya mzozo na mvutano kati ya Pakistan na kundi la wanamgambo wa Taliban linalotawala nchini Afghanistan inachukua wigo mpana zaidi.
-
Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kutiwa mbaroni Benjamin Netanyahu
Jan 14, 2025 06:58Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu, Francesca Albanese ametoa wito wa kukamatwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, iwapo atazuru Poland, na kusema kuwa Warsaw lazima ifuate kanuni za haki za kimataifa.
-
Sisitizo la Iran la ulazima wa kukomeshwa uchocheaji vita wa Marekani na washirika wake katika eneo na Yemen
Jan 13, 2025 22:57Waziri wa Mashauri ya Kigeni na Mshauri Mkuu wa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamesisitiza ulazima wa kusitishwa uchochezi wa vita wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo na nchini Yemen.