-
Kusalia Imara Mhimili wa Muqawama
Oct 10, 2024 23:05Baada ya kutekelezwa Oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa, Utawala wa Kizayuni wa Israel ulidhani kuwa ungeweza kuiangamiza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa mashambulizi ma kubwa na kuigeuza Gaza kuwa ardhi iliyoungua.
-
Misimamo inayokinzana ya Ulaya katika vita vya Gaza: Kutoka vikwazo hadi mauzo ya silaha
Oct 09, 2024 08:00Licha ya madai yote ya nchi za Magharibi kuwa zinajaribu kuizuia Israel kuendeleza vita dhidi ya Wapalestina wanaoishi Gaza, lakini nchi hizo hizo bado zinauuzia silaha utawala huo wa Kizayuni na hivyo kuendelea kuunga mkono na kuupa silaha za kila aina ili uendelee kuwaua kikatili watu wa Palestina na Lebanon.
-
Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqswa na kukwamishwa njama za Wazayuni Asia Magharibi
Oct 08, 2024 22:54Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ilikuwa kikwazo kwa utekelezaji wa mpango ulioandaliwa mwishoni mwa wa urais wa Donald Trump chini ya fremu ya Mkataba wa Abraham kwa ajili ya Asia Magharibi. Serikali ya Joe Biden licha ya baadhi ya tofauti na Trump lakini imeidhinisha mengi kati ya hayo.
-
Mchango wa wazi wa Marekani katika mauaji ya kimbari ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Gaza
Oct 08, 2024 04:14Mwaka mmoja umepita tangu yalipoanza mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza. Sababu muhimu ya kuendelea kushuhudiwa mauaji hayo ya kimbari na vilevile vita dhidi ya Lebanon katika mwezi uliopita ni uungaji mkono wa kila upande wa Marekani kwa utawala vamizi wa Israel.
-
Uchunguzi wa matokeo ya mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon na Palestina
Oct 07, 2024 22:45Utawala wa Kizayuni wa Israel unatumia silaha zilizopigwa marufuku kushambulia maeneo ya raia ya Lebanon na Ukanda wa Gaza.
-
Sera zinazokinzana za Macron kuhusiana na mashambulizi wa Wazayuni nchini Lebanon
Oct 07, 2024 07:22Wito wa Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, wa kusitishwa msaada wa silaha kwa utawala bandia na ghasibu wa Israel umefuatiwa na jibu kali la Waziri Mkuu wa utawala huo, Benjamin Netanyahu.
-
Takwa na msisitizo wa Iran wa kuimarisha mtazamo wa eneo kuwa na mwelekeo wa pamoja katika sera za nje
Oct 06, 2024 22:46Alireza Enayati, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Saudi Arabia amesema: Iran ina nia ya dhati ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili na wa pande kadhaa na kuimarisha mtazamo wa eneo kuwa na mwelekeo wa pamoja kwa ajili kufikia ustawi na kuwa na usalama halisi.
-
Ziara ya Araghchi nchini Syria kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kikanda wa Iran
Oct 06, 2024 10:54Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika muendelezo wa ziara yake ya kieneo ametembelea pia Damascus, mji mkuu wa Syria kukutana na kushauriana na viongozi wa ngazi za juu wa nchi hiyo.
-
Jibu la kulipiza kisasi la Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni lilitolewa kwa msingi wa sheria za kimataifa
Oct 05, 2024 22:53Licha ya kuwa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetekeleza Operesheni ya "Ahadi ya Kweli 2" kwa ajili ya kuonyesha uwezo wake wa kistratijia wa kuuadhibu utawala wa Kizayuni wa Israel, lakini wakati huo huo ni wazi kuwa hatua hiyo iliyochukuliwa kwa ajili ya kulinda heshima ya taifa la Iran imefanyika kwa msingi wa sheria za kimataifa.
-
Umuhimu wa kuwepo umoja na ushirikiano wa Ulimwengu wa Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na muendelezo wa vita vya utawala wa Kizayuni
Oct 05, 2024 07:04Uchokozi na vita vya utawala haramu wa Israel katika eneo vimeongeza maradufu, jambo linalotoa udharura wa kuwepo umoja na mshikamano katika ulimwengu wa Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na utawala huo ghasibu.