-
Madai ya madola ya Ulaya kuhusu kutaka amani sambamba na kuunga mkono jinai za Israel
Oct 04, 2024 23:05Jibu halali la kijeshi la Iran dhidi ya vitendo vya kigaidi na kichokozi vya utawala ghasibu wa Israel liyafanya mataifa ya Ulaya kuhaha na sasa yanadai kuwa ni wapigania amani.
-
Sisitizo la Iran la kuweko mshikamano wa Kiislamu dhidi ya Israel
Oct 04, 2024 08:36Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya ulazima wa kuweko umoja na mshikamano wa Waislamu dhidi ya utawala mtendaji jinai na dhalimu wa Kizayuni wa Israel.
-
Umuhimu maradufu wa kikao cha Doha, kwa kuzingatia hali ya eneo
Oct 03, 2024 22:50Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameshiriki katika kikao cha Jukwaa la Mazungumzo ya Ushirikiano wa Asia (ACD) huko Doha Qatar, ambapo masuala yanayohusiana na hali iliyosababishwa na mashambulizi na mauaji ya kigaidi ya mara kwa mara ya utawala wa Kizayuni katika eneo na jibu kali la Iran dhidi yake, yana umuhimu wa kujadiliwa na kufanyiwa mashauriano na serikali za eneo hili.
-
Kikao cha Baraza la Usalama la UN na makabiliano ya mitazamo kuhusu matukio ya eneo la Asia Magharibi
Oct 03, 2024 07:46Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichoitishwa kujadili matukio ya Asia Magharibi kufuatia shambulio la makombora lililofanywa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kujibu jinai za Israel kimeambatana na matamshi ya kifidhuli yaliyotolewa na mwakilishi wa utawala huo wa Kizayuni ukiungwa mkono na nchi za Magharibi.
-
Operesheni ya Ahadi ya Kweli-2: Hatua ya Iran ya kujilinda kihalali
Oct 02, 2024 08:47Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelitaja shambulio kali la makombora la Iran la Oktoba Mosi dhidi ya utawala haramu wa Israel kuwa ni haki yake halali ya kujilinda kwa msingi wa Kifungu cha 51 cha Hati ya Umoja wa Mataifa.
-
Tathmini ya vipengele vya kijeshi vya Operesheni ya Ahadi ya Kweli -2: Jibu kwa shari za Israeli
Oct 02, 2024 07:44Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) jana usiku lilitoa taarifa likitangaza kuwa limeshambulia kitovu cha maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel) ikiwa ni katika kujibu mauaji ya shahidi Ismail Haniyeh, Sayyid Hassan Nasrullah na Meja Jenerali Abbas Nilforoushan Kamanda na mshauri wa ngazi ya juu wa IRGC huko Lebanon.
-
Utendaji mpya wa Ansarullah ya Yemen dhidi ya Israeli; sasa ni jicho kwa jicho
Oct 01, 2024 23:40Katika kukabiliana na mashambulio mapya ya utawala wa Kizayuni dhidi ya taasisi mafuta na bandari za Yemen, Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetishia kushambulia maeneo ya raia huko Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu).
-
Kukosoa Araghchi "kutochukua hatua" Baraza la Usalama kukabiliana na jinai za Wazayuni dhidi ya Gaza na Lebanon
Oct 01, 2024 05:01Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kutochukua hatua kutokana na ukwamishaji mambo wa Marekani na waungaji mkono wengine wa Magharibi wa Israel kuwa ndio sababu kuu ya kuendelea jinai, chokochoko na vitendo visivyo halali vya utawala haramu wa Kizayuni.
-
Madai ya Marekani katika muktadha wa kujaribu kuzuia vita Asia Magharibi
Sep 30, 2024 22:47Marekani ambayo ni mdhamini mkubwa zaidi wa silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya mashambulizi makubwa dhidi ya watu wa Lebanon na Gaza, sasa inajitokeza kwa unafiki na kutoa wito wa kupunguzwa mivutano na kurejeshwa amani katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Taathira za mauaji ya kigaidi ya Sayyid Hassan Nasrullah kwa mfumo wa dunia
Sep 30, 2024 10:37Mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, yanaweza kuchambuliwa katika nyanja mbalimbali, lakini moja ya nyanja hazo ni tathmini ya athari zake katika mfumo wa dunia.