-
Madai ya Rais wa Marekani kuhusu kuwepo utulivu Asia Magharibi
Sep 29, 2024 22:54Wakati utawala wa Kizayuni umeongeza wigo wa mivutano na vita huko Lebanon na Palestina; Rais Joe Biden wa Marekani amedai katika taarifa yake kwambe eti sasa wakati umefika kwa ajili ya kuwepo utulivu katika eneo la Asia Magharibi.
-
Utayarifu na uwezo wa Iran wa kukabiliana na migogoro inayoibuliwa na utawala wa Kizayuni na Marekani
Sep 29, 2024 08:29Sayyid Abbas Araghchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika kikao na Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, ametoa onyo kali kuhusu hatua za utawala wa Kizayuni na Marekani za kuibua migogoro mipya katika eneo.
-
Kuasisiwa Muungano wa Kimataifa kwa ajili ya kuunda nchi huru ya Palestina
Sep 28, 2024 22:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ameatangaza kuasisiwa Muuungano wa Kimataifa kwa ajili ya kufuatilia uundaji wa nchi huru ya Palestina.
-
Sayyid wa Muqawama; Tangu alipoanza kuwaunga mkono wanyonge hadi kubeba bendera ya Mhimili wa Muqawama
Sep 28, 2024 11:52Sayyid Hassan Nasrullah, ambaye alijulikana kama sayyid wa viongozi wa ulimwengu wa Kiarabu, alipewa jina la Sayyid wa Muqawama na Ukombozi kwa sababu ya msisitizo wake juu ya kanuni na maadili yake katika kuwatetea wanaodhulumiwa na mapambano yake makali dhidi ya ubeberu.
-
Ombi la Iran kwa BRICS
Sep 28, 2024 08:02Kuacha kutumia sarafu ya dola, kukabiliana na vikwazo vya upande mmoja vya nchi za Magharibi, kuwa na sekretarieti ndogo na ya haraka na kufanyika vikao vya BRICS katika nchi wanachama kwa mujibu wa hali ya kijiografia, ni matakwa manne yaliyowasilishwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa kundi la BRICS pambizoni mwa Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York.
-
Kuendelea uchochezi wa Marekani katika vita vya Ukraini
Sep 27, 2024 22:47Wakati China na Brazil zinazungumzia suala la kuwasilisha mpango wa pamoja wa kisiasa wa kumaliza vita nchini Ukraini, Rais wa Marekani Joe Biden ametoa amri akitaka kutolerwa kifurushi kingine cha msaada wa kijeshi wenye thamani ya dola milioni 375 kwa Ukraini.
-
Sisitizo la Pezeshkian la haja ya kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran
Sep 27, 2024 08:28Moja ya iliyokuwa mada muhimu katika hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, ilikuwa ni ulazima wa kuondolewa vikwazo vya kidhalimu vya Marekani na kujiweka mbali na mtazamo wenye mwelekeo wa vitisho katika maingiliano na mashirikiano ya kimataifa.
-
Viongozi wa nchi tofauti wasisitiza ulazima wa kusimamishwa vita vya Gaza
Sep 26, 2024 23:05Suala la Israel kuivamia Gaza na kusikitishwa viongozi wa dunia na kuendelea jinai za utawala huo ghasibu dhidi ya Wapalestina wanaoishi Gaza ni moja ya mada muhimu za hotuba za viongozi wa nchi mbalimbali katika kikao cha 79 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York.
-
Mambo yanayofanana katika vita vya miaka 8 vya kulazimishwa na vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza kwa mtazamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Sep 26, 2024 08:25Siku ya Jumatano asubuhi, kundi la maveterani wa vita vya kulazimishwa vya Iraq dhidi ya Iran na wanaharakati wa jihadi na muqawama lilikutana na Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini, katika siku ya tano ya Wiki ya Kujitetea Kutakatifu.
-
Tuhuma na misimamo ya kurudiwarudiwa ya Marekani kwa ulimi wa Joe Biden katika Umoja wa Mataifa
Sep 26, 2024 00:28Jumanne ya wiki hii, rais wa Marekani, Joe Biden, alitoa hotuba yake ya mwisho katika kikao cha 79 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York na kukariri madai ya uongo ya siku zote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na dhidi ya kambi ya Muqawama. Rais wa Marekani alidai kuwa eti serikali yake inapigania kuleta amani na utulivu katika ukanda wa Asia Magharibi.