-
Wanasiasa wa upinzani Uganda wakutana mjini Kampala + Sauti
Dec 12, 2018 13:22Wanasiasa wa vyama kadhaa nchini Uganda wamekutana katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala katika mjadala maalumu uliogusia masuala muhimu kadhaa ya kijamii na kisiasa kuhusu mustakbali wa nchi hiyo. Kigozi Ismail mwandishi wetu wa Kampala ametuandalia taarifa ifuatayo.
-
Rouhani: Iran inaendelea kuuza mafuta yake duniani hata baada ya vikwazo vya Marekani
Dec 11, 2018 12:27Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uuzaji mafuta ghafi ya petroli ya Iran katika soko la dunia unaendelea hata baada ya kuanza kutekelezwa awamu ya pili ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ambavyo vilianza Novemba Nne.
-
Uganda nayo yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu + Sauti
Dec 10, 2018 14:43Uganda imejiunga na nchi nyingine dunia katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za binadamu. Sherehe hiyo imehutubiwa na Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye ametangaza mkakati mpya wa kupambana na ufisadi ambao umeutaja kuwa ni sawa na maradhi ya saratani. Kigozi Ismail na ripoti kamili...
-
Kenya yaorodheshwa kati ya nchi zisizochunga haki za binadamu kwa raia + Sauti
Dec 10, 2018 14:37Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeiorodhesha Kenya miongoni mwa mataifa ambayo hayajazingatia kikamilifu haki za raia wake duniani. Ripoti ya shirika hilo iliyozinduliwa leo Jumatatu imeiorodhesha Idara ya Polisi ya Kenya kuwa inaongoza katika ukiukaji wa haki hizo. Mwandishi wetu wa Kenya, Seifullah Murtadhaa anayo maelezo zaidi...
-
Viongozi wa Waislamu Zanzibar wataka kufungwa mabaa visiwani humo
Dec 09, 2018 04:11Viongozi wa Kiislamu Zanzibar nchini Tanzania wameitaka serikali ifunge mabaa na vituo vya vileo wakisisitiza kuwa vinachangia katika mmomonyoko wa maadili katika visiwa hivyo.
-
Rais wa Kenya atetea kumteua Moody Awori kuongoza bodi ya hazina ya vijana + Sauti
Dec 08, 2018 14:23Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametetea uamuzi wake wa kumteua Makamu wa Rais wa zamani wa nchi hiyo Moody Awori mwenye umri wa miaka 91 kuongoza bodi ya hazina ya vijana. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wetu wa Kenya, Seifullah Murtadha.
-
Maandamano makubwa ya wananchi Ufaransa, serikali ya Macron katika mgogoro mkubwa + Video
Dec 03, 2018 23:39Hali ya Ufaransa ni ya mgogoro hivi sasa kutokana na kushadidi malalamiko ya wananchi na serikali kutumia nguvu kupita kiasi kujaribu kukandamiza maandamano ya wananchi hao. Awali Rais Emmanuel Macron alikuwa ameng'ang'ani msimamo wake wa kutozungumza na waandamanaji, lakini hatimaye amelazimika kuruhusu mazungumzo.
-
Shirika la mafuta na gesi la Uganda latambuliwa rasmi kimataifa + Sauti
Dec 03, 2018 23:35Shirika la kwanza la mafuta na gesi la Kigumba, magharibi mwa la Uganda latambuliwa rasmi kimataifa. Mwandishi wetu Kigozi Ismail na maelezo zaidi
-
Tume mpya ya ukweli na maridhiano Burundi yaanza kazi + Sauti
Dec 03, 2018 23:32Mwenyekiti mpya wa tume ya ukweli na maridhiano ya nchini Burundi amekula kiapo mbele ya Rais Piere Nkurunziza wa nchi hiyo. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wetu, Hamida Issa...
-
Mwanamke Mauritania akataa kumpa mkono Bin Salman kulinda maadili ya Kiislamu + Video
Dec 03, 2018 04:34Mwanamke mmoja aliyeshiriki katika kumlaki mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia alipowasili Mauritani alikataa kumpa mkono mtawala huyo ambaye alikuwa amemnyooshea mkono.