-
Kilele cha utayarifu wa Jeshi la Iran kwa ajili ya kukabiliana na tishio la adui
Feb 22, 2025 04:44Pembezoni mwa hatua ya mwisho ya mazoezi ya kijeshi yaliyopewa jina la Mtume Mtukufu wa 19 (SAW) ya Vikosi vya Jeshi la Nchi Kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Meja Jenerali Mohammad Bagheri, Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu viko katika kilele cha utayarifu.
-
Iran inauza zana zake za kijeshi katika nchi 30
Feb 21, 2025 23:42Waziri wa Ulinzi wa Iran, Meja Jenerali Aziz Nasirzadeh, ametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sasa inauza vifaa vya kijeshi kwa nchi 30 duniani.
-
Iran yaendelea kumiliki ujuzi wa ujenzi wa Mitambo ya Nyuklia
Feb 21, 2025 23:40Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema kuwa Marekani imeshindwa kuzuia ujenzi wa mtambo wa nyuklia wa Karun katika jiji la Darkhovein, kusini magharibi mwa Iran, akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu inaendelea kufuatilia shughuli zake za nyuklia kwa amani licha ya njama za maadui.
-
Madai yasiyo na msingi ya Trump na sisitizo lake la kuendeleza sera ya mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran
Feb 21, 2025 23:00Akirejelea siasa zake za mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena amedai kuwa, siasa hizo zinalenga kuleta amani na kwamba Washington haitairuhusu Iran na nchi nyingine kupata silaha za nyuklia.
-
Abutorabi-Fard: Sayyid Hassan Nasrallah aliuletea Umma wa Kiislamu heshima
Feb 21, 2025 09:27Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amezungumzia mazishi yajayo ya shahidi Sayyid Hassan Nasrallah na kusema: "Alikuwa mtu mwenye heshima na aliuletea umma wa Kiislamu heshima. Alikuwa shakhsia mashuhuri ambaye alikuwa nafasi muhimu katika kuondoa migogoro."
-
Rais Pezeshkian: Iran iko tayari kufanya mazungumzo, lakini si "kwa gharama yoyote"
Feb 21, 2025 07:29Rais Masoud Pezeshkian amesema Iran imeshatangaza mara kadhaa kwamba iko tayari kufanya mazungumzo lakini haitafanya mazungumzo "kwa gharama yoyote ile".
-
Salami: Njama za US, Israel kudhuru Muqawama zimegonga mwamba
Feb 21, 2025 04:06Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC), Meja Jenerali Hossein Salami amesema, hakuna shaka kwamba juhudi za Marekani na utawala wa Kizayuni za kujaribu kuudhuru mrengo wa Muqawama zitafeli na kugonga mwamba.
-
Iran: Iwapo usalama wetu utahatarishwa, mchokozi hatobaki salama
Feb 20, 2025 22:57Mkuu wa Majeshi ya Iran amesema: Iwapo usalama wa taifa letu utahatarishwa, basi usalama wa eneo hili zima la Kusini Magharibi mwa Asia, wahusika wa uchokozi huo na waungaji mkono wao utavurugwa na hawatobaki salama.
-
IAEA: Tumekubaliana na Iran tuendeleze falsafa ya mapatano ya JCPOA
Feb 20, 2025 22:56Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesema katika mazungumzo na waandishi wa habari mjini Tokyo Japan kuwa: "Tumekubaliana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwamba "falsafa ya JCPOA" ambayo msingi wake ni "kuchukua Iran hatua za hiari mkabala wa kupewa upendeleo na motisha," inaweza kuendelea.
-
Mwanadiplomasia wa Iran: Marekani, Israel zinajua vyema uwezo halisi wa Iran
Feb 20, 2025 07:54Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na Masuala ya Kisiasa, Majid Takht Ravanchi amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zitalazimika kulipa gharama kubwa iwapo zitafanya makosa yoyote dhidi ya Iran.