-
Wananchi wa Iran waandamana; waitaka Israel iheshimu kikamilifu makubaliano ya kusitisha vita Gaza
Oct 10, 2025 23:07Umati mkubwa wa wakazi wa mji wa Tehran na miji mingine kote Iran jana waliandamana kwa lengo la kuiunga mkono Palestina na kuonyesha mshikamano kwa wakazi wa Ukanda wa Gaza.
-
Haj Ali Akbari: Israel imepata pigo kubwa miaka miwili baada ya operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa
Oct 10, 2025 08:48Khatibu wa Swala ya Ijumaaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, miaka miwili baada ya Operesheni kubwa ya Kimbunga cha Al-Aqswa haiba ya utawala wa Kizayuni imejaa msukosuko na mparaganyiko.
-
Iran: Maadui wanajua watalazimika ‘kuomba usitishaji vita’ iwapo watatushambulia tena
Oct 10, 2025 03:29Makamu wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref amesema matukio ya hivi karibuni yameonyesha nguvu ya Jamhuri ya Kiislamu na kutangaza kwamba, maadui sasa wanatambua shambulio lolote dhidi ya taifa hili litawalazimu "kuomba kusitishwa kwa mapigano."
-
Iran: Tunaunga mkono mpango wowote wa kumaliza vita, mauaji ya kimbari Gaza
Oct 09, 2025 23:51Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba Jamhuri ya Kiislamu daima inaunga mkono mpango wowote unaolenga kukomesha vita na mauaji ya halaiki huko Gaza, na kusisitiza ulazima wa kuwa macho mkabala wa hulka ya utawala wa Israel ya kukiuka ahadi na makubaliano.
-
Kukabiliana na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja; hatua muhimu kwa ajili ya uthabiti wa Asia Magharibi
Oct 09, 2025 09:04Amir-Saeed Iravani, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, amesisitiza kuwa: "Hali ya eneo la Magharibi mwa Asia ni mbaya mno, na hali hiyo ni matokeo ya uingiliaji kati na siasa za kijeshi za baadhi ya madola ya nje ya eneo, migogoro ya silaha inayoendelea, kukaliwa kwa mabavu kwa muda mrefu na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni."
-
Iran, Russia zajadili kuendeleza ushirikiano wa nyuklia
Oct 09, 2025 03:45Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amekutana na kuzungumza mjini Tehran na afisa wa ngazi ya juu wa Shirika la Taifa la Nishati ya Atomiki la Russia( Russia Rosatom) na kujadili kustawisha ushirikiano katika uga wa nishati ya nyuklia yenye malengo ya amani kati ya nchi mbili hizo waitifaki.
-
IRGC yaonya; Jibu kali litawakabili maadui 'wakikosea' katika Ghuba ya Uajemi, Hormuz
Oct 08, 2025 23:44Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameonya kuwa, hatua zozote za makosa zitakazofanywa na maadui katika Ghuba ya Uajemi, Lango Bahari la Hormuz au katika visiwa vya Iran, zitakabiliwa na jibu kali na la kujutisha.
-
Pezeshkian: Iran ipo tayari kuimarisha uhusiano na Ivory Coast
Oct 08, 2025 09:15Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imejiandaa kikamilifu kupanua ushirikiano wa pande mbili na Ivory Coast ili kufikia malengo ya pamoja.
-
Jeshi la majini la Iran lasaini hati ya ushirikiano wa kimkakati na nchi za eneo la Kaspi zenye ukanda wa pwani
Oct 08, 2025 08:59Makamanda wa majeshi ya majini ya Iran, Russia, Kazakhstan na Azerbaijan wametia saini mkataba wa ushirikiano wa kimkakati unaolenga kuimarisha usalama katika maji ya pamoja.
-
Qalibaf: Kimbunga cha al-Aqswa kimeipeleka dunia upande wa kuufuta "Umarekani" na kutetea wanaodhulumiwa
Oct 08, 2025 04:20Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa iliyotokelezwa na wanamuqawama wa Palestina dhidi ya Israel iliipeleka dunia upande wa kuufuta "Umarekani" na kutetea wanaodhulumiwa.