Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Zimbabwe, kituo cha mwisho cha safari ya Rais wa Iran barani Afrika

    Zimbabwe, kituo cha mwisho cha safari ya Rais wa Iran barani Afrika

    Jul 14, 2023 02:14

    Rais Ibrahim Rais wa Jamhuri ya Kiislamu jana Alkhamisi aliwasili Harare mji mkuu wa Zimbabwe ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo akiwemo mwenyeji wake, Rais Emerson Mnangagwa.

  • Rais wa Iran awasili Zimbabwe, kituo cha mwisho cha safari yake ya kiduru Afrika

    Rais wa Iran awasili Zimbabwe, kituo cha mwisho cha safari yake ya kiduru Afrika

    Jul 13, 2023 10:01

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewesili Harare mji mkuu wa Zimbabwe kikiwa ni kituo chache cha tatu na cha mwisho katika safari yake hii ya kiduru ya kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika.

  • Rais Raisi: Iran na Zimbabwe zimeazimia kuendeleza biashara

    Rais Raisi: Iran na Zimbabwe zimeazimia kuendeleza biashara

    Jul 13, 2023 14:17

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mkutano na waandishi wa habari akiwa pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe kuwa Iran na Zimbabwe zimeazimia kuendeleza biashara.

  • Rais wa Iran apokewa Zimbabwe kwa kaswida ya

    Rais wa Iran apokewa Zimbabwe kwa kaswida ya "Salam Farmande"

    Jul 13, 2023 11:34

    Rais wa Iran apokewa Zimbabwe kwa kaswida ya "Salam Farmande"

  • Waislamu wa Uganda walivyompokea Rais wa Iran +VIDEO

    Waislamu wa Uganda walivyompokea Rais wa Iran +VIDEO

    Jul 13, 2023 11:20

    Katika safari yake nchini Uganda, kabla ya kuelekea Zimbabwe, Rais Ebrahim Raisi alipokewa na shangwe na furaha na Waislamu wa nchi hiyo.

  • Safari ya Rais wa Iran nchini Uganda+VIDEO

    Safari ya Rais wa Iran nchini Uganda+VIDEO

    Jul 13, 2023 11:09

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa dini mbalimbali nchini Uganda akiwemo Mufti Mkuu Sheikh Shaaban Ramadhan Mubaje

  • Safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Iran nchini Uganda

    Safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Iran nchini Uganda

    Jul 13, 2023 10:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano jioni aliwasili Kampala katika safari rasmi ya siku mbili nchini Uganda ikiwa ni katika duru pili ya safari yake ya kikanda katika bara la Afrika. Safari hiyo imefanyika kwa mwaliko rasmi wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda.

  • Rais wa Iran awashambulia Wamagharibi kwa kutetea vitendo vichafu vya ushoga

    Rais wa Iran awashambulia Wamagharibi kwa kutetea vitendo vichafu vya ushoga

    Jul 13, 2023 09:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyashambulia madola ya Maagharibi kutokana na hatua yao ya kutetea vitendo vichafu vya ushoga na mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja.

  • Raisi: Iran  iko tayari kuhamisha uzoefu wake na kubadilishana mafanikio na Uganda

    Raisi: Iran iko tayari kuhamisha uzoefu wake na kubadilishana mafanikio na Uganda

    Jul 13, 2023 08:05

    Rais wa Iran ameashiria kuanza kazi ofisi ya uvumbuzi na teknolojia ya Iran huko Uganda na uwezo mkubwa mzuri wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran khususan katika nyanja za tiba, sayansi, teknolojia na kilimo, na kueleza kuwa Iran ipo tayari kuhamisha uzoefu wake katika nyanja hizo na katika kalibu ya kustawisha ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi kati yake na Uganda.

  • Hati 4 za ushirikiano zatiwa saini mbele ya Marais wa Iran na Uganda

    Hati 4 za ushirikiano zatiwa saini mbele ya Marais wa Iran na Uganda

    Jul 13, 2023 04:33

    Viongozi wa ngazi ya juu wa Iran na Uganda wamesaini hati nne za ushirikiano mbele ya Marais wa nchi mbili hizo.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Qalibaf: Israel ilibembeleza kusitisha mapigano wakati wa vita vya siku 12

    Qalibaf: Israel ilibembeleza kusitisha mapigano wakati wa vita vya siku 12

    8 hours ago
  • Baqaei: Vikosi vya Iran viko macho kukabiliana na vitisho vyovyote vya adui

  • Venezuela yaunda kamati maalumu ya kumkomboa Rais Maduro

  • Israel yafanya mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya Lebanon

  • Kuondoka vikosi vya kigeni, suluhisho pekee la mgogoro wa Yemen

Chaguo La Mhariri
  • Hatari za kisiasa na kiusalama za hatua ya utawala wa Israel ya kutambua rasmi Somaliland

    Hatari za kisiasa na kiusalama za hatua ya utawala wa Israel ya kutambua rasmi Somaliland

    10 hours ago
  • Mijibizo ya kimataifa kwa mgogoro wa Venezuela; msisitizo juu ya diplomasia, kuachiliwa Maduro, na kuhuishwa demokrasia

    Mijibizo ya kimataifa kwa mgogoro wa Venezuela; msisitizo juu ya diplomasia, kuachiliwa Maduro, na kuhuishwa demokrasia

    17 hours ago
  • Kukariri Rais wa Marekani kauli za uingiliaji kati; Je, Trump anawajali sana watu wa Iran?

    Kukariri Rais wa Marekani kauli za uingiliaji kati; Je, Trump anawajali sana watu wa Iran?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Jaribio jipya la mapinduzi nchini Burkina Faso, hali inaripotiwa kuwa tete Ouagadougou, Bobo-Dioulasso

  • Kamanda: Baada ya kushindwa vita vya Juni, US na Israel zinaendesha 'vita laini' kuvuruga utulivu Iran

  • Cuba yatangaza vifo vya raia wake 32 katika shambulio la Marekani dhidi ya Venezuela.

  • Iran: Marekani lazima imwachie huru Rais iliyemteka nyara wa Venezuela

  • Kwa nini dunia imelaani hatua za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela?

  • Venezuela yaunda kamati maalumu ya kumkomboa Rais Maduro

  • Qalibaf: Waandamanaji wasikilizwe, vibaraka wa mataifa ya kigeni watashughulikiwa

  • Hamas imerejesha nafasi yake kama mtawala wa Ukanda wa Ghaza

  • Qalibaf: Israel ilibembeleza kusitisha mapigano wakati wa vita vya siku 12

  • Maduro aiambia mahakama US: Ningali Rais halali wa Venezuela

  • Vyombo vya habari vya Israel: Madawa ya kulevya ni kisingizio tu; shabaha ya Trump ni mafuta ya Venezuela

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS