-
Makanisa ya al-Quds yaonya kuwa ‘Uzayuni wa Kikristo’ unahatarisha Ukristo
Jan 19, 2026 03:50Viongozi wakuu wa Kikristo katika mji wa Palestina wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel, wameonya kuwa “Uzayuni wa Kikristo” pamoja na ajenda za nje zinavunja umoja wa Wakristo katika Ardhi Takatifu na kudhoofisha mamlaka yao ya kiroho na kijamii.
-
Afisa wa UN: Sudan 'imetumbukia katika shimo la mateso makubwa yasiyoelezeka'
Jan 19, 2026 03:50Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, ametahadharisha kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu na kibinadamu nchini Sudan, kufuatia ziara yake ya siku tano katika nchi hiyo inayokumbwa na vita.
-
Iran yawakamata vinara 300 wa ghasia zilizochochewa kutoka nje ya nchi
Jan 19, 2026 03:49Wizara ya Usalama ya Iran imesema kuwa zaidi ya watu 300 ambao ni vinara wakuu na waratibu wa ghasia za hivi karibun nchini, ghasia ambazo zimechochewa na madola ya kigeni, wamekamatwa.
-
Uzalishaji na mauzo ya nje ya chuma Iran yaongezeka kwa asilimia 27
Jan 19, 2026 03:49Iran imeripoti ongezeko kubwa la mauzo yake ya nje ya chuma na chuma ghafi katika kipindi cha miezi tisa kilichomalizika mwishoni mwa Desemba, hatua inayoendana na juhudi za nchi hiyo kupanua vyanzo vyake vya mapato nje ya mafuta.
-
Umoja wa Afrika kufufua mchakato wa amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jan 19, 2026 03:48Viongozi wa Kiafrika na wa kimataifa waliokutana mjini Lomé wamekubaliana kuimarisha na kuunganisha juhudi za upatanishi ili kumaliza mzozo katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Mkutano huo umeidhinisha nafasi ya kiungo ya upatanishi unaoongozwa na Togo chini ya mamlaka ya Umoja wa Afrika (AU), kama mhimili mkuu wa kusukuma mbele mchakato wa amani.
-
Rais Pezeshkian: Shambulio lolote dhidi ya Ayatullah Khamenei ni vita 'kamili' na taifa la Iran
Jan 18, 2026 23:41Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameonya kwamba shambulio lolote dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei litakuwa "vita kamili" na taifa la Iran.
-
Greenland na mantiki ya ubabe; ushuru, wenzo wa mashinikizo ya kisiasa ya Trump
Jan 18, 2026 23:26Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kuwa, kuanzia Februari Mosi, ataweka ushuru wa 10% kwa nchi zinazopinga kuunganishwa Greenland na Marekani na kwamba, kuanzia tarehe Mosi Juni ushuru huo utaongezwa na kufikia 25%.
-
Iran: Kukabidhiwa kambi ya anga ya Ain al Asad ni ishara ya kuimarisha mamlaka ya kujitawala ya Iraq
Jan 18, 2026 23:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekaribisha kukabidhiwa kambi ya anga ya Ain al Asad kwa vikosi vya jeshi la Iraq na kuitaja hatua hiyo kuwa ishara ya kuimarishwa utuvulivu na mamlaka ya kujitawala Iraq.
-
Rais Doumbouya wa Guinea ameapa kutotumia madaraka kwa manufaa yake binafsi
Jan 18, 2026 23:15Rais wa Guinea aliyeapishwa hivi karibuni, Mamady Doumbouya, ameahidi kutotumia vibaya madaraka yake ya urais, akisema ‘‘hatatumia kamwe mamlaka’’ aliyopewa ‘’kwa ajili ya maslahi binafsi’’.
-
Pentagon kutuma wanajeshi 1,500 kukabiliana na waandamanaji Minnesota
Jan 18, 2026 23:10Wizara ya Vita ya Marekani (Pentagon) imewaamuru wanajeshi wapatao 1,500 walio kazini wawe tayari kutumwa kwenda kukandamiza maandamano huko Minnesota.