mpya kabisa
  • Mahakama ya Iran kuwaadhibu vikali wahusika wa machafuko

    Mahakama ya Iran kuwaadhibu vikali wahusika wa machafuko

    Jan 18, 2026 09:07

    Mahakama ya Iran imesema itawafikisha mahakamani watu wote waliohusika katika kusababisha vifo vya watu wakati wa machafuko ya hivi karibuni nchini kote, ikiahidi adhabu kali kwa watakaopatikana na hatia.

  • Rais wa Somalia atoa wito kwa Somaliland kushiriki katika mazungumzo

    Rais wa Somalia atoa wito kwa Somaliland kushiriki katika mazungumzo

    Jan 18, 2026 09:05

    Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amewatolea wito maafisa wa Somaliland kushiriki katika mazungumzo na serikali yake; akisema kuwa yuko tayari kuafikiana katika masuala yote isipokuwa "umoja wa nchi."

  • Kwa nini nchi za eneo zinataka kudumishwa utulivu na uthabiti nchini Iran?

    Kwa nini nchi za eneo zinataka kudumishwa utulivu na uthabiti nchini Iran?

    Jan 18, 2026 07:22

    Machafuko ya hivi karibuni nchini Iran na tishio la Trump kuishambulia kijeshi Iran ikiwa ni katika madai ya kuwaunga mkono wanaojiita waandamanaji vimezifanya nchi za eneo kuwa na wasiwasi mkubwa.

  • Uchaguzi Uganda; Bobi Wine apinga ushindi wa Museveni

    Uchaguzi Uganda; Bobi Wine apinga ushindi wa Museveni

    Jan 18, 2026 06:56

    Kiongozi wa upinzani na mshindani mkuu wa Rais Yoweri Museveni katika uchaguzi mkuu wa hivi karibuni nchini Uganda, Robert Kyangulani maarufu kama Bobi Wine amesema hakubaliani na matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo.

  • Wakazi wa Greenland waandamana kupinga vitisho vya Trump

    Wakazi wa Greenland waandamana kupinga vitisho vya Trump

    Jan 18, 2026 06:54

    Wakazi wa Greenland walifanya maandamano jana Jumamosi kupinga azma ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kutaka kisiwa hicho cha Aktiki kikabidhiwe Washington, wakisisitiza kuwa wakazi wa eneo hilo wanapasa kuachwa waamue mustakabali wa kisiwa hicho.

  • Trump auza viti vya 'Bodi ya Amani' Gaza dola bilioni 1

    Trump auza viti vya 'Bodi ya Amani' Gaza dola bilioni 1

    Jan 18, 2026 06:54

    Rais wa Marekani, Donald Trump amezitaka nchi mbali mbali duniani zilipe angalau dola bilioni 1 ili kusalia katika "Bodi ya Amani" ya Gaza, baada ya kumalizika muhula ulioanishwa wa miaka mitatu.

  • Rezaei: Tutazishughulikia balozi za Ujerumani, Uingereza na Ufaransa kwa kufanya uhalifu Iran

    Rezaei: Tutazishughulikia balozi za Ujerumani, Uingereza na Ufaransa kwa kufanya uhalifu Iran

    Jan 18, 2026 03:34

    Msemaji wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni ya Bunge la Iran amesema: Mabalozi wa nchi kama vile Ujerumani, Uingereza na Ufaransa ndio waliochochea ghasia na kusimamia vitendo vya kigaidi vya hivi karibuni nchini Iran na kwamba Tehran itazishughulikia balozi hizo.

  • Wananchi Pakistan, Iraq waandamana kuiunga mkono Iran, Kiongozi Muadhamu

    Wananchi Pakistan, Iraq waandamana kuiunga mkono Iran, Kiongozi Muadhamu

    Jan 18, 2026 03:34

    Wananchi katika nchi za Pakistani na Iraq wamefanya maandamano kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mbele ya vitendo vya kigaidi vya hivi karibuni vilivyofadhiliwa na Marekani, Israel na madola mengine ya kibeberu.

  • Iran yavunja rekodi ya uzalishaji wa gesi asilia

    Iran yavunja rekodi ya uzalishaji wa gesi asilia

    Jan 18, 2026 03:33

    Shirika la Taifa la Gesi la Iran limetangaza kuwa, limeweka rekodi mpya ya uzalishaji wa kila siku wa gesi asilia, sambamba na kuongezeka mahitaji ya familia, mitambo ya umeme na matumizi ya viwandani ya nishati hiyo muhimu.