-
Vita na Iran vimefichua vipi mwanzo wa kudhoofika nguvu ya kimkakati ya Marekani?
Jun 14, 2026 12:02Vita wakati mwingine huweka wazi washindi wake wa kweli na walioshindwa sio kwenye uwanja wa vita, bali katika vyumba vya kifikra na vituo vya kimkakati.
-
Jenerali mstaafu Nigeria afariki akiwa ametekwa, rais aapa kuchukua hatua kali
Jun 14, 2026 11:59Rais wa Nigeria, Bola Ahmed Tinubu, ameapa kuangamiza wale aliowataja kuwa ni “maadui wakubwa” wa nchi hiyo baada ya jenerali mstaafu wa jeshi kufariki dunia akiwa mikononi mwa watekaji nyara.
-
Maambukizi ya Ebola DRC yafikia 710 huku hofu ikitanda
Jun 14, 2026 11:57Idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imefikia 710, wakiwemo watu 149 waliofariki dunia, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumamosi na Wizara ya Afya ya nchi hiyo.
-
Shahidi Imam Khamenei kuzikwa katika Haram ya Imam Ridha (AS) tarehe 9 Julai
Jun 14, 2026 03:19Ofisi inayohusika na kuhifadhi na kuchapisha kazi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza ratiba ya hafla za kuaga, mazishi, na kuzikwa kwa Shahidi Ayatullah Imam Sayyid Ali Khamenei.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan: Makubaliano kati ya Iran na Marekani 'yanatarajiwa ndani ya saa 24'
Jun 14, 2026 03:14Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amesema kuwa makubaliano kati ya Iran na Marekani kwa lengo la kukumaliza vita yapo "karibu zaidi kuliko wakati mwingine wowote," huku yakitarajiwa kukamilika ndani ya saa 24 zijazo.
-
Iran yaadhimisha mwaka mmoja tangu Vita vya Siku 12
Jun 14, 2026 03:11Maafisa wakuu wa Iran wameadhimisha mwaka mmoja tangu kuanza kwa Vita vya Siku 12, vilivyoanza tarehe 13 Juni mwaka uliopita kufuatia mashambulizi ya kichokozi ya anga ya utawala haramu wa Israel, na ambayo yaliua makamanda kadhaa wa juu wa kijeshi, maafisa wa serikali, pamoja na wanasayansi wa nyuklia.
-
Idadi kubwa ya walioambukizwa Ebola DRC na Uganda ni wanawake na wasichana
Jun 14, 2026 03:09Wanawake na wasichana wanawakilisha asilimia 53.4 ya wagonjwa wa Ebola waliothibitishwa kwa vipimo vya maabara katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda, sawa na wagonjwa 244 kati ya 457 kwa mujibu wa taarifa za wagonjwa katika maeneo zilikopatikana. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake.
-
Mradi wa reli ya Ankara–Riyadh waibua wasiwasi Israel
Jun 14, 2026 03:02Pendekezo la kuanzisha ukanda mpya wa biashara na usafirishaji unaoendelezwa na Uturuki na Saudi Arabia limeibua wasiwasi miongoni mwa maafisa wa utawala wa Israel.
-
Kamanda wa Khatamul-Anbiya (SAW): Hivi karibuni ulimwengu utasikia mwangwi wa ushindi wa Iran
Jun 13, 2026 11:18Kamanda wa Makao Makuu ya Majeshi ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) amesema kuwa hivi karibuni ulimwengu utasikia mwangwi wa ushindi wa Iran, na ushindi wa muqawama dhidi ya adui mchokozi na gaidi.
-
Rais wa Somalia aituhumu Israel kwa kutumia mzozo kati ya Somalia na Somaliland kwa maslahi yake
Jun 13, 2026 11:16Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud leo amelaani hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland, na kuituhumu Tel Aviv kuwa inatumia mzozo kati ya Mogadishu na eneo hilo lililojitenga na Somalia kwa maslahi yake.