-
Rais wa Cuba atangaza mageuzi mapya ya kiuchumi ili kukabiliana na mzingiro wa kijinai wa Marekani
Jun 13, 2026 11:14Rais wa Cuba atangaza mageuzi mapya ya kiuchumi ili kukabiliana na mzingiro wa kijinai wa Marekani
-
Kwa nini Trump anaendelea kukariri mkakati ulioshindwa mara nyingi huko nyuma?
Jun 13, 2026 10:59Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena amekiuka makubaliano legevu ya kusitisha mapigano kati ya nchi hiyo na Iran kwa kushambulia upya maeneo kadhaa ndani ya ardhi ya Iran, ikiwa ni pamoja na miundombinu ya kiraia, hii ikiwa ni siku chache tu baada ya kudai kuwa makubaliano na Iran yalikuwa yanakaribia.
-
Amnesty International: Israel inafanya "maangamizi ya kizazi" katika Ukingo wa Magharibi
Jun 13, 2026 09:04Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekutaja kuongezeka vitendo vya ukatili vya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi kuwa ni "maangamizi ya kizazi" na "kulazimisha watu kuhama makazi yao."
-
Tucker Carlson: Marekani imeshindwa kufungua Lango-Bahari la Hormuz
Jun 13, 2026 07:57Tucker Carlson, mwanahabari maarufu wa kihafidhina wa Marekani, amesema kwamba matukio ya sasa katika mzozo wa Asia Magharibi yanaonyesha mapungufu ya nguvu ya kijeshi ya Marekani, akisisitiza kwamba Washington imeshindwa kufungua tena Lango-Bahari la Hormuz licha ya kutumia gharama kubwa.
-
Araqchi: Jukumu la diplomasia ni kuimarisha mafanikio ya uwanja wa vita
Jun 13, 2026 03:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, ameelezea muundo wa makubaliano tarajiwa kati ya Iran na Marekani na kusisitiza kwamba diplomasia inakusudia kuimarisha mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu katika uwanja wa vita.
-
Kamanda mkuu wa Iran aonya Marekani kuhusu 'mzunguko usio na maana' wa uongo na migongano
Jun 13, 2026 03:06Kamanda wa Makao Makuu ya Majeshi ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) ameionya Marekani kuhusu "mzunguko wa uongo, tasa na wenye migongano" katika mienendo yake, baada ya Washington kutishia kwanza kwamba itashambulia miundombinu ya nishati ya Iran na kisha kudai mazungumzo yameidhinishwa.
-
Hizbullah: Tuna imani Iran itailinda Lebanon katika makubaliano yoyote na Marekani
Jun 13, 2026 02:42Makubaliano yoyote kati ya Iran na Marekani yatakuwa na matokeo ya moja kwa moja kwa Lebanon bila kujali kuwa mamlaka za Lebanon zinakubali au la.
-
Baqaei: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya meli za India ni uharamia wa serikali
Jun 13, 2026 02:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baqaei amelaani mashambulizi ya kikatili ya Marekani dhidi ya meli za kibiashara za India, na kusisitiza kuwa mashambulizi hayo ya Marekani katika Bahari ya Oman ni uharamia wa serikali.
-
WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jun 13, 2026 02:37Shirika la Afya Duniani (WHO) jana Ijumaa lilitangaza kuwa mlipuko wa Ebola kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sasa unaenea katika maeneo mapya.
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Adui akikosea, atazabwa kibao kikali
Jun 12, 2026 14:13Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: "Adui wa taifa haelewi lugha ya mazungumzo wala lugha ya kusitisha mapigano, bali anaelewa lugha ya mabavu, ambayo majeshi yetu yamemfanya aielewe vizuri sana na yataendelea kumfanya adui ielewe vizuri zaidi."