-
Brigedi za al Qassam zapongeza mashambulizi ya Iran katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Mar 14, 2026 07:29Brigedi za Shahidi Izzuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimepongeza mashambulizi yaliyofanywa na Iran katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) katika kujibu mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Qalibaf: Dhamiri iliyoamka ya watu wa Iran dhidi ya ukandamizaji haitanyamazishwa na tishio lolote
Mar 14, 2026 07:25Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema katika ujumbe kuwa: Watu wakubwa wa Iran kwa mara nyingine wameonyesha kwa hatua zao thabiti mitaani kwamba dhamiri iliyo macho ya taifa hili lenye busara dhidi ya dhulma haitanyamazishwa na tishio lolote.
-
Akiba ya mafuta ya Marekani yapungua hadi kiwango cha chini kabisa katika miaka 44
Mar 14, 2026 07:18Akiba ya mafuta ya Marekani imepungua hadi kiwango cha chini kabisa katika kipindi cha miaka 44 iliyopita, na hayo ni kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani.
-
Jen. Mousavi: Iran imeivurumishia Israel makombora 30 ya balestiki
Mar 14, 2026 07:18Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC amesema asilimia kubwa ya makombora 30 ya balestiki yaliyovumishwa na Jamhuri ya Kiislamu usiku wa Lailatul Qadr yalipiga shabaha zilizokusudiwa kwa usahihi mkubwa.
-
Rais wa Belarus: Wavamizi Marekani na Israel hawajafikia malengo yao
Mar 14, 2026 07:15Rais Alexender Lukashenko wa Belarus amelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusema kuwa wavamizi hao hawajifikia hata lengo lao moja.
-
Pezeshkian: Marekani na utawala wa Kizayuni zinafuatilia malengo maovu ya kuigawa Iran na nchi nyingine kubwa za Kiislamu
Mar 14, 2026 07:15Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Kiislamu kuwa macho dhidi ya njama za maadui wa pamoja wa Umma wa Kiislamu.
-
Japan: Hakuna Mpango wa Kutuma Jeshi Lango Bahari la Hormuz, Wajapani wapinga vita dhidi ya Iran
Mar 14, 2026 07:14Waziri Mkuu wa Japan amesema wazi katika kikao cha bunge kwamba nchi yakehaina mpango wa kutuma vikosi vya kijeshi kwa ajili ya operesheni za kuondoa mabomu ya baharini katika Lango Bahari la Hormuz.
-
Araghchi: Kujitokeza mamilioni Siku ya Quds ni ishara ya azma thabiti ya Wairani
Mar 14, 2026 07:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kwamba: “Taifa la Iran, kwa umoja na mshikamano, litaendelea kusimama pamoja na misingi na malengo yake, na halitarudi nyuma kamwe.”
-
Naim Qassim: Tumejiandaa kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu/donda la saratani linavuruga amani Asia Magharibi
Mar 14, 2026 07:03Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametangaza kuwa, harakati hiyo imejiandaa kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu.
-
Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran
Mar 14, 2026 06:59Kundi moja la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani vikali mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Lebanon.