-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu Mpya wa Iran
Mar 13, 2026 16:14Ayatullah Sayyid Mojtaba Husseini Khamenei, Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wake wa kwanza kulihutubia taifa la Iran.
-
Mjumbe wa UN: Walioua watoto wa shule ya msingi ya Minab wapandishwe kizimbani
Mar 13, 2026 11:35Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Elimu Duniani, Gordon Brown, amesema watoto hawapasi kufanywa wahanga wa vita, na shule na hospitali hazipaswi kushambuliwa.
-
Reuters: Hitilafu zanatikisa White House; Trump anatafuta njia ya kujinasua katika kinamasi cha vita na Iran
Mar 13, 2026 11:25Shirika la habari la Reuters limemnukuu mmoja wa washauri wa Rais wa Marekani akisema kuwa hitilafu kubwa zimepamba moto ndani ya Ikulu ya Rais wa Marekani, White House, kuhusu mwelekeo wa vita vya sasa na Iran.
-
Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds licha ya kudondoshewa mabomu na US, Israel
Mar 13, 2026 10:06Mamilioni ya wananchi wa Iran katika pembe zote za nchi wameshiriki katika maandamano makubwa ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa, huku tawala za kitwaghuti za Marekani na Israel zikiendelea kushambulia kwa mabomu miji mbali mbali ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Rais wa Iran asisitiza ulazima wa kusitishwa mara moja uvamizi wa Marekani na utawala wa Kizayuni
Mar 13, 2026 07:57Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ameishukuru serikali na wananchi wa India kwa kuonesha mshikamano na watu wa Iran, akisema kuwa Iran daima imekuwa ikiiheshimu India kama rafiki na mshirika muhimu wa kiuchumi.
-
Wasomi na watu mashuhuri walaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Mar 13, 2026 07:39Wasomi na watu mashuhuri kutoka maeneo mbalimbali ya dunia wamelaani mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya watu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Russia: Iran ina haki ya kujitetea mbele ya mashambulizi ya Marekani, Israel
Mar 13, 2026 07:36Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina haki ya kujitetea na kukabiliana na hujuma za Marekani na Israel na ametoa wito wa kusitishwa mashambulizi ya Marekani na Israel na kurejea kwenye meza ya mazungumzo.
-
IRGC yashambulia meli nyingine ya mafuta ya US Ghuba ya Uajemi
Mar 13, 2026 07:27Kikosi cha Majini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC kimetangaza habari ya kushambulia meli nyingine ya mafuta Marekani katika Ghuba ya Uajemi.
-
Baqaei: Israel imeiburuta Marekani kwenye vita na Iran, Wamarekani wanapaswa kulijua hili
Mar 13, 2026 07:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema wananchi wa Marekani wanapaswa kujua kwamba utawala haramu wa Israel umeiburuta Marekani na kuitumbukiza kwenye vita na Iran.
-
Ndege ya kujaza mafuta ya Jeshi la Marekani imetunguliwa nchini Iraq
Mar 13, 2026 07:10Makao Makuu ya Kamandi ya Kati ya Marekani (CENTCOM) yametangaza ‘kuanguka’ kwa ndege yao ya kijeshi ya kujaza mafuta angani katika eneo la magharibi mwa Iraq, na kutaja tukio hilo kuwa eti ni “ajali”. Hatahivyo Harakati ya Muqawama au Mapambano ya Kiislamu nchini Iraq imetangaza rasmi kutungua ndege hiyo ya jeshi la kigaidi la Marekani.