-
Rais Samia: Russia inashiriki katika juhudi za maendeleo Afrika
Jun 11, 2026 03:06Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Russia ina nia ya kusaidia Afrika kujenga mpangilio mpya wa uchumi wa dunia na inaendelea kujitolea kuunga mkono maendeleo ya bara hilo.
-
Kwa nini watawala wa Marekani wanajaribu kujitenga na chokochoko za Netanyahu?
Jun 10, 2026 12:22Kushirikiana kwa utawala wa Trump na vitendo vya jinai na uchokozi vya Israel katika kipindi cha miaka miwili iliyopita kumekuwa na taathira mbaya kwa msimamo wa serikali ya sasa ya Marekani mbele ya maoni ya umma ndani na nje ya nchi hiyo.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Vikosi vya ulinzi vyatoa 'vipigo vikali' kwa vituo vya Marekani, na mali baada ya 'hujuma haramu'
Jun 10, 2026 10:49Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeripoti kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hii vimetoa vipigo vikali kwa kambi za Marekani na mali mbalimbali katika kanda hii ambavyo Marekani imevitumia kuishambulia Iran.
-
Ripoti: Watu 12 wauawa na 9 kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi katika kitongoji cha Johannesburg
Jun 10, 2026 10:46Watu 12 wameuawa na wengine 9 kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi katika makazi yasiyo rasmi katika kitongoji cha Cleveland jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini.
-
Refa bora wa Kisomali aliyezuiwa kuingia Marekani alakiwa kishujaa nyumbani
Jun 10, 2026 10:43Omar Abdulkadir Artan mwamuzi mashuhuri wa kandanda kutoka Somalia amelakiwa kishujaa wakati alipowasili nchini humo hii leo baada ya kuzuiwa kuingia Marekani; uamuzi ambao umemzuia kuchezesha katika mashindano ya Kombe la Dunia la Kandanda la FIFA mwaka huu.
-
Spika wa Bunge la Iran: Ukikiuka majukumu yako, tutatumia lugha tunayoijua vyema
Jun 10, 2026 09:29Akijibu uchokozi na ukiukwaji wa mapigano uliofanywa na Marekani, Spika wa Bunge la Iran amesisitiza kuwa: "Ukivunja ahadi na majukumu yako, tutatumia lugha tunayoijua vyema."
-
Iran yakosoa 'onyesho lingine la unafiki' UN huku igizo la vikwazo vya Marekani likigonga mwamba
Jun 10, 2026 09:26Ujumbe wa Iran katika Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali mkutano wa Baraza la Usalama la umoja huo ulioitishwa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran ukiutaja kuwa ni "onyesho lingine la unafiki," na kusisitiza kwamba hakuna msingi wa kisheria wa kutumia azimio lililopitwa na wakati kuiwekea vikwazo Tehran.
-
IRGC yashambulia kwa makombora kituo cha anga cha jeshi la Marekani na kituo cha udhibiti huko Al-Arzaq, Jordan
Jun 10, 2026 04:09Maeneo manne muhimu katika kambi ya anga na kituo cha amri na udhibiti cha jeshi la mauaji ya watoto la Marekani huko Al-Azraq, Jordan yameshambuliwa usiku wa kuamkia leo kwa makombora ya Jeshi la Walinzi wa Jamhuri ya Kiislamu (IRGC).
-
Iran yaiomba FIFA kuruhusu vitambaa vyeusi vya mkononi katika mechi na Misri sambamba na Ashura
Jun 10, 2026 04:03Shirikisho la Soka la Iran limeomba rasmi ruhusa ya FIFA kwa wachezaji wa timu yake ya taifa kuvaa vitambaa vyeusi mikononi wakati wa mechi yao ijayo ya Kombe la Dunia dhidi ya Misri, ili kuenzi mwezi wa Muharram na tukio la Ashura ya mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).
-
Italia yaanzisha uchunguzi dhidi ya Ben-Gvir kuhusu unyanyasaji wa wanaharakati wa Global Sumud Flotilla
Jun 10, 2026 03:59Waendesha mashtaka wa Italia wameanzisha uchunguzi dhidi ya Waziri wa Usalama wa Israel mwenye msimamo mkali wa mrengo wa kulia, Itamar Ben-Gvir kuhusu mateso, unyanyasaji na utekaji nyara wa wanaharakati walioshiriki katika msafara wa Global Sumud Flotilla wa kupeleka misaada ya kibinadamu kwa watu wa Gaza, mwezi uliopita.