-
Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti
Oct 02, 2020 15:11Wiki hii pia kama ilivyo kwa wiki zote, ukanda wa Afrika Mashariki na Kati umeendelea kuwa na matukio mengi ya Kiislamu. Mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit anatudondolea baadhi yake katika ripoti yake hii...
-
Sekta ya usafiri Uganda yalalamikia kubanwa mno wakati wa corona
Oct 02, 2020 15:07Serikali ya Uganda imezidi kupunguza masharti yanayohusiana na ugonjwa wa COVID-19 lakini pamoja na hayo, sekta ya usafiri imekumbwa na changamoto nyingi. Mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail, na maelezo zaidi.
-
Ukata wa fedha wavikabili vyama vya siasa Uganda +SAUTI
Sep 28, 2020 12:21Vyama vya siasa nchini Uganda vinakabiliwa uhaba mkubwa wa fedha za kuendesha shughuli zao ikiwa imebakia miezi michache kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Mashirika ya uchimbaji madini CAR yawekewa vikwazo na Marekani +SAUTI
Sep 28, 2020 12:18Serikali ya Marekani imeyawekea vikwazo mashirika mawili ya Russia yanayojishughulisha na kazi ya uchimbaji madini katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na kutishia kuwawekea vikwazo pia wataobainika kushirikiana na mashirika hayo.
-
Sala za Ijumaa zaanza upya nchini Uganda + Sauti
Sep 26, 2020 01:30Sala za Ijumaa zimeanza tena nchini Uganda baada ya kusimamishwa kwa muda kutokana na maambukizi ya kirusi cha corona. Katika hotuba za jana Ijumaa, Waislamu nchini humo walihimizwa kumtii Mola Karima na kuomba kusamehewa madhambi yao. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.
-
Askari usalama wa Uganda wamewatia mbaroni wafungwa kadhaa waliotoroka katika jela ya Moroto + SAUTI
Sep 18, 2020 09:04Askari usalama wa Uganda wamewatia mbaroni wafungwa kadhaa katika msako wa kuwanasa wafungwa zaidi ya 219 waliotoroka jela ya Moroto wakiwa na bunduki 15
-
Mahakama ya Rufaa ya Cameroon yathibitisha adhabu ya kifungo cha maisha aliyopewa kiongozi wa waasi wa Ambazonia + SAUTI
Sep 18, 2020 08:58Mahakama ya rufaa ya Cameroon imeidhinisha hukumu ya kifungo cha maisha jela iliyotolewa dhidi ya kiongozi wa waasi wa Ambazonia wanaopigania kujitenga maeneo mawili ya nchi hiyo ya wanaozungumza Kiingereza Julius Sisiku Ayuk Tabe pamoja na wenzake tisa
-
ACT Wazalendo yazindua rasmi kampeni zake Zanzibar kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 28 + SAUTI
Sep 15, 2020 14:10Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema akichaguliwa kuwa rais wa visiwa hivyo ataandika katiba mpya itakayohakikisha wananchi wote wanapata haki zao za kimsingi bila kujali itikadi zao za kisiasa.
-
Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM azindua kampeni za uchaguzi +SAUTI
Sep 12, 2020 12:34Chama cha Mapinduzi CCM visiwani Zanzibar kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi tayari kwa ajili ya kujiandaa na uchaguzi mkuu unaotarajiwa kuufanyika kote Tanzania mwezi ujao wa Oktoba.
-
Sherehe za harusi zaruhusiwa Rwanda, lakini...
Sep 07, 2020 11:10Wizara ya serikali za mitaa nchini Rwanda imetangaza masharti mapya kwa watu wanaojiandaa kufunga pingu za maisha kwa kuwataka watu watakaohudhuria harusi zao wawe wamepima corona kwa muda wa saa 72 zilizopita kabla ya harusi yenyewe. Hata hivyo gharaza upimaji zitakuwa dola 50 kwa kila mtu mmoja kitu ambacho wananchi wamekilalamikia. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.