-
SAUTI, Mufti wa Tanzania Abubakar Zubeir atoa mwongozo kuhusu Corona, Waislamu Kenya walaani mauaji ya polisi wa nchi hiyo dhidi ya baba na watoto wake wawili
Jun 05, 2020 11:35Ripoti ya matukio ya Kiislamu inahusu mwongozo uliotolewa na Mufti wa Tanzanua Sheikh Abubakar Zubeir Ali leo Ijumaa kuhusiana na ugonjwa wa Corona ambapo amemshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuitikia Dua za watanzania.
-
SAUTI, Asasi za kiraia Burundi zawajibu maaskofu waliopinga matokeo ya uchaguzi kwamba; 'wafundishe tu Biblia na waachane kabisa na siasa'
May 28, 2020 12:35Wakati Kanisa Katoliki nchini Burundi likitilia shaka matokeo ya uchaguzi wa rais wa tarehe 20 mwezi huu uliompa ushindi mgombea wa chama tawala CNDD-FDD, mashirika ya kiraia yenye kuiunga mkono serikali yamelijia juu kanisa hilo.
-
SAUTI, Raia wa Kongo DR waandamana wakiitaka serikali kuchagua kati ya mambo mawili ima kuendekeza karantini au kusambaratika kwa uchumi
May 28, 2020 12:34Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano kulalamikia kuporomoka thamani ya sarafu ya nchi hiyo mkabala wa dola ya Marekani.
-
Iran yalaani ukatili wa polisi wa Marekani kwa kumuua raia mweusi + Video
May 27, 2020 11:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali ukatili wa polisi ya Marekani uliopelekea kupoteza maisha raia mwengine mwenye asili ya Afrika.
-
Evariste Ndayishimiye rais mpya wa Burundi + Sauti
May 25, 2020 21:50Tume ya uchaguzi ya Burundi, jana Jumapili ilimtangaza Evariste Ndayishimie kuwa rais mpya wa nchi hiyo huku ishara zote zikiwa zimeonesha tangu awali kabisa kwamba mgombea huyo wa chama tawala angelitangazwa mshindi katika uchaguzi wa rais.
-
Iran yaonesha ishara ya kuidhibiti corona, yafungua Haram za Imam Ridha na bibi Maasuma AS + Video
May 25, 2020 07:47Milango ya maeneo ya ibada na ziara yaani Haram za Imam Ridha AS, Imam wa Nane kutoka kizazi cha Bwana Mtume Muhammad SAW huko Mash'had na Haram ya Bibi Maasuma SA, ndugu wa kike wa Imam Ridha AS iliyoko Qum, kusini mwa Tehran leo Jumatatu asubuhi zimefunguliwa ikiwa ni ishara ya wazi ya kuzidi kudhibitiwa ugonjwa wa corona nchini Iran.
-
Zanzibar kupunguza marufuku za kukabiliana na COVID-19
May 24, 2020 12:38Serikali ya Zanzibar SMZ imesema imekusudia kupunguza masharti iliyokuwa imeyaweka hapo kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa COVID-19. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit na maelezo zaidi.
-
SAUTI, Serikali ya Rwanda: Washukiwa wote wa mauaji ya kimbari lazima watatiwa mbaroni wakati wowote ule
May 21, 2020 11:08Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali ya Rwanda amesema kuwa baada ya kumtia mbaroni mshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari ya nchi hiyo ya mwaka 1994, bwana Felician Kabuga, msako unaendelea.
-
SAUTI, Hatimaye fedha za CFA zinazotumika na nchi za Afrika Magharibi zitaanza kuagwa hivi karibuni na badala yake kutumika fedha za ECO
May 21, 2020 11:07Hatimaye bunge la Ufaransa limepitisha sheria ya kuondoa udhibiti wake kwenye fedha za CFA ambazo zilikuwa zikitumika katika makoloni yake ya zamani ya Afrika Magharibi.
-
Kwa uchache watu 11 wajeruhiwa Australia baada ya dereva mmoja kulipigiza gari na duka la Hijab + Video
May 21, 2020 03:38Kwa uchache watu 11 wamejeruhiwa baada ya gari moja kuvamia kwa makusudi duka moja la nguo za staha ya mwanamke Muislamu yaani Hijab huko Greenacre, New South Wales, Australia. Dereva wa gari hiyo amegonga gari nyingine kabla ya kukanyaga mafuta kwa nguvu zote na kuipigiza gari hiyo na duka hilo la Hijab.