-
SAUTI, Wakazi wa Kinshasa waandamana kuliunga mkono jeshi la Kongo DR, huku wakilitaka liache kuwatesa raia
Feb 23, 2020 12:26Wakazi wa mji wa Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamefanya maandamano makubwa ya kuliunga mkono jeshi la nchi hiyo katika juhudi zake za kukabiliana na wanamgambo wa kigeni na wale wa ndani wanaotekeleza jinai ndani ya ardhi ya taifa hilo.
-
Kiongozi Muadhamu ashiriki uchaguzi wa Bunge na wa Baraza la Wanavyuoni Wataalamu + Video
Feb 21, 2020 03:54Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo asubuhi, amepiga kura katika dakika za awali kabisa za kuanza zoezi la upigaji kura za uchaguzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na uchaguzi mdogo wa Baraza la Wanavyuoni Wataalamu Wanaomchagua na Kusimamia Kazi za Kiongozi Muadhamu.
-
Msemaji wa Jeshi: Anga ya Yemen si salama tena kwa ndege za kivita za Saudia + Video
Feb 21, 2020 03:12Msemaji wa Majeshi ya Yemen amesema kuwa, sasa ndege za kivita za wavamizi wa nchi hiyo hasa Saudi Arabia hazina usalama tena katika anga ya Yemen baada ya kuzinduliwa mifumo mipya ya ulinzi wa anga wa nchi hiyo.
-
Tume ya Uchaguzi Burundi CENI yakutana na wapiga kura wa jamii ya mbilikimo + Sauti
Feb 18, 2020 07:52Tume ya Uchaguzi Burundi CENI, imekutana na wajumbe wa mashirika ya kiraia ya watu wajamii ya mbilikimo ili kuwahamasisha wateue wagombea watakaowawakilisha katika uchaguzi wa bunge na seneti. Ceni imewaongezea mbilikimo hao muda wa siku 5 kwenye kalenda ya siku zilopangwa za kuhakikisha zoezi hilo limekamilika. Mwandishi wetu Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Burujumbura Burundi
-
Wilaya nyingine 15 zavamiwa na nzige nchini Uganda + Sauti
Feb 18, 2020 07:47Janga la nzige limezidi kuwa tishio barani Afrika huku wizara ya kushughulikia majanga nchini Uganda ikisema kuwa, wilaya nyingine 15 zimevamiwa na wadudu hao nchini humo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala
-
Kagame: Siwezi kuwavumilia wezi na watu wasio na nidhamu serikalini + Sauti
Feb 18, 2020 07:43Wiki moja baada ya kuwafuta kazi mawaziri wake watatu, Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema kwa mara nyingine tena kwamba hatavumilia hata kidogo viongozi wasio na nidhamu katika serikali yake. Ndani ya wiki moja tu Rais Paul Kagame amewafuta mawaziri watatu kutokana na makosa ya ulaji rushwa, udanganyifu pamoja na ukosefu wa nidhamu mbele ya wananchi. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi
-
UN yaumizwa na mauaji ya kiholela nchini Cameroon + Sauti
Feb 18, 2020 07:31Umoja wa Mataifa na asasi za kijamii nchini Cameroon zimeelezea kusikitishwa na mauaji ya kiholela ya watu zaidi ya 25 ambao taarifa zinasema kwamba wameuliwa nchini humo na watu waliokuwa wamevaa magwanda ya kijeshi. Mossi Mwasi na maelezo zaidi
-
Balozi Kairuki: Serikali Haitawarudisha Tanzania wanafunzi walioko China + Sauti
Feb 12, 2020 09:20Balozi wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki amesema wanafunzi wanaosoma katika mji wa Wuhan hawawezi kurudi kwa sababu kuna katazo la kutoingia wala kutoka kwenye mji huo kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
-
SAUTI, EAC: Tutatuma waangalizi wa uchaguzi nchini Burundi, pia yaipongeza serikali ya Bujumbura kwa maandalizi mazuri
Feb 11, 2020 04:07Jumuia ya Afrika imepanga kuwatuma waangalizi wake kwa ajili ya kufuatilia zoezi la uchaguzi ujao nchini Burundi.
-
Jumuiya ya Mabunge ya Kiarabu: Hakuna kufanya mapatano yoyote na utawala haramu wa Israel + Video
Feb 09, 2020 04:47Kikao cha dharura cha Jumuiya ya Mabunge ya Kiarabu kimesisitiza upinzani wake dhidi ya nchi za Kiarabu kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.