-
Kongamano la vijana wa Afrika mjini Kigali lazitaka nchi za Afrika kuwa na mabaraza yenye nguvu ya vijana + Sauti
Oct 11, 2018 02:33Kongamano la vijana kutoka nchi zote za Afrika linatajiwa kufikia kilele chake kwa kuziomba serikali zote za bara hilo kuanzisha mabaraza ya vijana kama jukwaa la kuwasiaida vijana hao kupaza sauti zao na kujadili yale yanayowasibu. Sylvanus Karemera na ripoti kamili...
-
SAUTI, Rais Museven, Waganda ishini pamoja kwa upendo kama watoto wa familia moja, ama wahalifu 40 zao zinahesabika
Oct 09, 2018 13:24Rais Yoweri Museven wa Uganda amewataka raia wa nchi hiyo kupendana na kuishi sawa na watoto wa familia moja, badala ya kuchukiana.
-
SAUTI, Mpinzani nchini Cameroon aliyejitangazia ushindi kwamba amefunga goli la penalti, sasa kuburuzwa mahakamani
Oct 09, 2018 12:51Kufuatia mgombe urais wa chama cha upinzani cha Movement for the Rebirth of Cameroon (MRC), Bwana Maurice Kamto kujitangazia ushindi, baashi ya shakhsia wameinuka na kuonya juu ya uwezekano wa kutokea machafuko ya kisiasa ndani ya nchi hiyo.
-
Miaka 56 ya uhuru wa Uganda + Sauti
Oct 09, 2018 02:12Uganda imeadhimisha mwaka wa 56 wa uhuru wake ikiwa imetekeleza miradi mingi ya maendeleo na kufeli katika sekta nyinginezo. Taarifa kamili anayo mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismael...
-
Mazungumzo ya Makamu wa Rais wa Iran na Waziri wa Viwanda na Biashara wa Kenya
Oct 04, 2018 10:49Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya elimu na teknolojia amekutana na kufanya mazungumzo mjini Nairobi na Waziri wa Viwanda na Biashara wa Kenya na kusisitiza juu ya kustawishwa usafirishwaji nje bidhaa za teknolojia.
-
Rais Rouhani ayashukuru majeshi ya Iran kwa jibu kali kwa magaidi + Video
Oct 03, 2018 23:12Rais Hassan Rouhani amevishukuru vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa majibu makali na ya kina dhidi ya viongozi wa magaidi waliohusika katika shambulizi la kigaidi la Ahvaz, kusini magharibi mwa Iran na kusisitiza kuwa: Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetoa majibu makali kabisa kwa magaidi ambao waliwashambulia bila huruma wanawake na watoto wadogo nchini Iran.
-
Sheria mpya ya jinai Rwanda yapokewa kwa hisia tofauti + Sauti
Oct 03, 2018 13:23Mabadiliko yaliyofanywa kwenye sheria ya jinai nchini Rwanda yamepokelewa kwa hisia tofauti miongoni mwa wadau wake katika jamii. Mabadiliko hayo ni pamoja marufuku kwa waandishi wa habari kuchora vibonzo vinavyowakashifu viongozi wa ngazi za juu akiwemo rais wa nchi .Waandishi wa habari wanahisi hilo linaloweza kusababisha wao kuwa matatani kwa njia rahisi. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi....
-
Pigo jingine kubwa kwa Trump: Mahakama ya juu zaidi ya UN yaiamrisha Marekani iiondolee vikwazo Iran + Video
Oct 03, 2018 10:59Tehran imepata ushindi mwingine mbele ya Marekani baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kutoa amri kwa Washington kusimamisha vikwazo vyake vya upande mmoja haraka iwezekanavyo dhidi ya Iran.
-
Zoezi la uandikishaji vitambulisho vya Mzanzibari Mkazi lakumbwa na malalamiko + Sauti
Oct 02, 2018 07:34Zoezi la kusajili vitambulisho vya Mzanzibari Mkazi limekamilika katika mikoa ya Kusini na Kaskazini Unguja na hivi sasa linaendelea katika mkoa wa mjini Magharibi. Hata hivyo usajili huo umegubikwa na malalamiko ya baadhi ya wananchi wanaodai kwamba licha ya kuwa na haki ya kusajiliwa lakini wananyimwa haki yao hiyo. Harith Subeit ametutayarishia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...
-
Burundi waadhimisha Siku ya Makazi Dunia + Sauti
Oct 02, 2018 07:05Wakati ulimwengu ukiadhimisha siku ya kimataifa ya makazi, nchini Burundi siku hiyo imeadhimishwa kwa kuhamasisha raia kukabiliana na takataka zinazotoka majumbani. Mwandishi wetu Hamida Issa na maelezo zaidi...